Patrick Nyembera ndio adui mkubwa wa Yanga. Wananchi tuunganishe nguvu kuingia nae vitani

Patrick Nyembera ndio adui mkubwa wa Yanga. Wananchi tuunganishe nguvu kuingia nae vitani

Umesikia habari ya upande mmoja una hakika gani kilicho ongelewa siyo uongo?
Na ww unajuaje n ukweli au uongo wakati Yanga hawajaongea zaid ya kuwaambia Azam wafute video, bc na wao wangeacha hy video na kumjibu mayele
 
Tumehama kwenye goli letu tuliloporwa SASA Yuko na na Azam na Mayele. Tukimaliza tunaenda kuchochea Simba ' Hatumtaki Mangungu'. Yuko busy 😂😂
Trh 20 tuu hapo tunapata ajenda mpya ya kuijadili baada ya timu kula kipigo na hizo story zilizopita ndo itakuwa mwisho wake
 
Na ww unajuaje n ukweli au uongo wakati Yanga hawajaongea zaid ya kuwaambia Azam wafute video, bc na wao wangeacha hy video na kumjibu mayele
Mimi sijasema nani kaongea ukweli kama upo makini umesoma vizuri.
 
Ushabiki unakuondoa akili za kawaida kabisa team sio familia kuna mambo mengi ya kujiongezea kipato yafikirie ,sijajua watanzania tumerogwa au kitu gani ,nimeishi UK ni wendawazimu wa football lakini team ni team maisha ni maisha.Huku team na maisha ni sawasawa
Kwangu Yanga ni muhimu kuliko chochote unachofikiria
 
Mtagombana mpk na majirani zenu,wake zenu,wtt wenu wenye ushabiki tofauti na nyie n.k kwa akili hizi...
 
Ushabiki unakuondoa akili za kawaida kabisa team sio familia kuna mambo mengi ya kujiongezea kipato yafikirie ,sijajua watanzania tumerogwa au kitu gani ,nimeishi UK ni wendawazimu wa football lakini team ni team maisha ni maisha.Huku team na maisha ni sawasawa
UK ya Kiembesamaki.😀😃😁😆
 
"MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI" - DR LUC EYMAEL 2020
 
FB_IMG_1682646137959 (3).jpg
 
Nyembera ndio aache umama hatutaki kabisa ajiusishe na mambo yetu ya Yanga tutapewa kesi mbaya
Kosa la nyembera au huyo virasta!?..yaani umlaumu anayehoji kwa majibu ya anayehojiwa,we mzima kweli
 
Kosa la nyembera au huyo virasta!?..yaani umlaumu anayehoji kwa majibu ya anayehojiwa,we mzima kweli
Kuna kuhoji na kuchochea... huwezi sema mashabiki wanapewa bundle watukane alafu unataka player afafanue ukasema hiyo ni journalism sisi tutamshighulikia kama mhuni na adui wa Yanga
 
Tumehama kwenye goli letu tuliloporwa SASA Yuko na na Azam na Mayele. Tukimaliza tunaenda kuchochea Simba ' Hatumtaki Mangungu'. Yuko busy [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaa!!!
 
Chuki tu, kwa hiyo kupiga picha na waachezaji wa Simba ndio uadui? acha ushamba.
 
Back
Top Bottom