Na ww unajuaje n ukweli au uongo wakati Yanga hawajaongea zaid ya kuwaambia Azam wafute video, bc na wao wangeacha hy video na kumjibu mayeleUmesikia habari ya upande mmoja una hakika gani kilicho ongelewa siyo uongo?
Trh 20 tuu hapo tunapata ajenda mpya ya kuijadili baada ya timu kula kipigo na hizo story zilizopita ndo itakuwa mwisho wakeTumehama kwenye goli letu tuliloporwa SASA Yuko na na Azam na Mayele. Tukimaliza tunaenda kuchochea Simba ' Hatumtaki Mangungu'. Yuko busy ππ
Nadhani kabla ya kuanza na huyu tungeanza na Maadui wakubwa wa Simba SC akina Kitenge, Kampista na Katanga.View attachment 2961090
View attachment 2961092
View attachment 2961093
View attachment 2961094
Wananchi huyu shabiki wa Simba aitwae Patrick Nyembera anaefanya kazi Azam media amekuwa akitumia nafasi yake pale Azam kuihujumu Yanga.
Popote utapomuona huyu kolo mwambie kaa mbali na Yanga ikibidi tumia ile kauli mbiu sisi tuna watu.
Mimi sijasema nani kaongea ukweli kama upo makini umesoma vizuri.Na ww unajuaje n ukweli au uongo wakati Yanga hawajaongea zaid ya kuwaambia Azam wafute video, bc na wao wangeacha hy video na kumjibu mayele
Kwangu Yanga ni muhimu kuliko chochote unachofikiriaUshabiki unakuondoa akili za kawaida kabisa team sio familia kuna mambo mengi ya kujiongezea kipato yafikirie ,sijajua watanzania tumerogwa au kitu gani ,nimeishi UK ni wendawazimu wa football lakini team ni team maisha ni maisha.Huku team na maisha ni sawasawa
Wanataka waandishi wote waandike kuwafurahisha waoHayo ni mawazo yako binafsi, yeye ni muandishi wa habari hvy amefanya kazi yake, ingekuwa kilichoongelewa ni uongo au kimetoka kwenye mdomo wako bc ungekuwa na hoja.
Sema utapewa kesi wewe unahisi washabiki wa yanga wote ni wendawazimu kama wewe?Nyembera ndio aache umama hatutaki kabisa ajiusishe na mambo yetu ya Yanga tutapewa kesi mbaya
Pelekeni majungu kwa bakhresa ili afukuzwe kaziView attachment 2961090
View attachment 2961092
View attachment 2961093
View attachment 2961094
Wananchi huyu shabiki wa Simba aitwae Patrick Nyembera anaefanya kazi Azam media amekuwa akitumia nafasi yake pale Azam kuihujumu Yanga.
Popote utapomuona huyu kolo mwambie kaa mbali na Yanga ikibidi tumia ile kauli mbiu sisi tuna watu.
UK ya Kiembesamaki.ππππUshabiki unakuondoa akili za kawaida kabisa team sio familia kuna mambo mengi ya kujiongezea kipato yafikirie ,sijajua watanzania tumerogwa au kitu gani ,nimeishi UK ni wendawazimu wa football lakini team ni team maisha ni maisha.Huku team na maisha ni sawasawa
Vitu vifupi shida sana!View attachment 2961090
View attachment 2961092
View attachment 2961093
View attachment 2961094
Wananchi huyu shabiki wa Simba aitwae Patrick Nyembera anaefanya kazi Azam media amekuwa akitumia nafasi yake pale Azam kuihujumu Yanga.
Popote utapomuona huyu kolo mwambie kaa mbali na Yanga ikibidi tumia ile kauli mbiu sisi tuna watu.
Kosa la nyembera au huyo virasta!?..yaani umlaumu anayehoji kwa majibu ya anayehojiwa,we mzima kweliNyembera ndio aache umama hatutaki kabisa ajiusishe na mambo yetu ya Yanga tutapewa kesi mbaya
Kuna kuhoji na kuchochea... huwezi sema mashabiki wanapewa bundle watukane alafu unataka player afafanue ukasema hiyo ni journalism sisi tutamshighulikia kama mhuni na adui wa YangaKosa la nyembera au huyo virasta!?..yaani umlaumu anayehoji kwa majibu ya anayehojiwa,we mzima kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaa!!!Tumehama kwenye goli letu tuliloporwa SASA Yuko na na Azam na Mayele. Tukimaliza tunaenda kuchochea Simba ' Hatumtaki Mangungu'. Yuko busy [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtagombana mpk na majirani zenu,wake zenu,wtt wenu wenye ushabiki tofauti na nyie n.k kwa akili hizi...