Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 16,036
Mtanzania ni kiumbe alieridhika na umaskin uliokithiri..na viongoz wanalijua hilo..hahhahaha.Sawa Ndugu Kitambi wewe endelea kujipimia kwa urefu wa kamba yako[emoji205]View attachment 2084035
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtanzania ni kiumbe alieridhika na umaskin uliokithiri..na viongoz wanalijua hilo..hahhahaha.Sawa Ndugu Kitambi wewe endelea kujipimia kwa urefu wa kamba yako[emoji205]View attachment 2084035
Hao wanene wanaendelea kunywa milk shake ni lazima watapata tatizo la coronary arteries itabidi wafanyiwe PCI TREATMENT !! UKILA SANA VINONO NI SHIDAAA !!Sawa Ndugu Kitambi wewe endelea kujipimia kwa urefu wa kamba yako🐒View attachment 2084035
Nakuunga mkono mkuu,....gharama za kupata leseni ni kubwa mno.Sawa watufanyie unafuu kidogo ya reseni ya udereva.
Reseni kisheria ilikuwa 40,000 ila kuipata ilikuwa shughuli Sasa hivi wamepandisha ni 70,000 na bado kuipata lazma utumie zaidi ya 150,000
keishakula kwa urefu wa kamba yake na mbele yake kidogo. kavimbiwa tayari wacha aropokeAma kweli mwenye shibe hamjui mwenye njaa. Naibu waziri Patrobas Katambi anatoa maneno ya nyodo kiasi hiki kwa vijana!!!?
View attachment 2083931
View attachment 2084257
kupiga simu sijaelewa. hebu mimi nipe hyo connection ya kwanzaKuna kwa ukweli bhna Kuna watu nawafahamu wanchagua San Kaz mtu anaitwa kwenda kupiga simu msharaha laki tano anaukatah .
Mwingine ninae hapa kakatah kwenda mtwara kwa dangote kisa mshara wa million na laki nne kagomeaaa. Naona aibu mm mtu Ana CPA miaka mitatu anatafuta kazi