Paul Christian Makonda (PCM) ndo kijana mwenye Akili zaidi ya siasa za Tanzania kwa kizazi hiki.

Paul Christian Makonda (PCM) ndo kijana mwenye Akili zaidi ya siasa za Tanzania kwa kizazi hiki.

Sawa hakufaulu darasani, je alili zake ziko wapi Hizo za ku promote wadudu? Hebu msituchoshe na huyu shoga mjane wa Samuel wa Urambo
Na wewe kuwa shoga ili uwe kama yeye! Malengo yenu mabaya kuwa afe kabisa yamefeli na mmedondokea pua!
Mnajidai kuwa ni watu wenye nia njema na taifa hili huku mkiwa mmebeba mabaya katika nafsi zetu kwa kifupi ni maajenti wa shetani kwa sababu mtu mwenye akili ya kimungu hawezi kumwazia mwenzake mabaya kama hayo!
 
Kuweka kumbukumbu sawa akiwa miongoni mwa wabunge kwenyr bunge la katiba awamu ya Jk ,Makonda alipongeza uwezo wa Samia Suluhu Sahan kusimamia bunge la katiba kama naibu spika.lakin pia aliona maona na kuyasema nanukui ikipenda uko mbeleni huyu mama aje awe makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungano wa. Tanzania uko mbeleni'',mwisho wa kunukuu.suddenly watu wakiwa wamesahau kauli ya Makonda Mama samia anakua Makamu wa Rais na yeye binafsi kukumbushia kua maneno yanaumba akikumbushia utabiri wa Paul Makonda wakati wa Bunge la Katiba,anyway to make story short ni kua nimemufatilia kwa kiasi historia ya kisiasa ya Comred paul christina Makonda tangu akiwa chuo kikuu cha ushiriaka Moshi na kua Rais wa shirikisho la vyuo vikuu na vyuo vya kati Tanzinia,kisha Uvccm Taifa kama katibu na uenezi na chipkizi,badae Jk anamteua kua mkuu wa wilaya Kinondoni ,mchango wake kwenye secta ya elimu haukuanza tu akiwa mkuu wa mkoa Dar es bali tangu akiwa mkuu wa wilaya kinondoni alisaidia ,baadae anakua mkuu wa mkoa na akijipmbanau kusaidia wajane na wagane wa jiji la dar,vifaa elimu na vyezo elimu kwa wanafunzi na walimu,ubora wa jeshi la police katika wa dar es ,na kusimamia miradi mingi mikubwa ambayo leo inalipendenzesha jiji la dar .badae makondo anakosa jimbo la kigamboni na kurudi backbancher kwa muda ,then mama samia anakua Rais Wa jamhuri ya muungano wa Tanzania navkumrudisha comred makonda kwenye nafasi nyeti ya chama kama katibu mwenezi na kukiamusha chama kuwastua wapinzani kuwarudsha watzania matumaini ya kutatuliwa matatito yao papo hapo ,makonda alifanya kazi nyingi kama katibu mwenezi had kuleta mijadala kua anaingili majukumu yasiyomuhusu lakn bado alijikita kutatua kero za wananchi kila anapopita,badae Rais anaamua kurudisha makonda katika nafasi ya ukuu wa mkoa wa arusha,Makonda analiamusha tena jiji la arusha mapokezi yake na kua karibu na makundi yote ya mkoa wa arusha,vijana ,wahuni au wadudu,bodaboda,mama wa sokoni nk,kutatua matatzo ya wananchi ,kutembela wilaya kwa wilaya kwa wilaya ,uwanja mpya wa mpira,masoko nk.kama alivyobuni clinic ya kutatua matatizo ya kisheria jiji la dar kwa kina mama nk,galfa anaibuka na ubunifu wa medica camp jiji la arusha medical camp ya kihistoria katika nchi yetu ,binafsi nilikua jiji la arusha nilishuhudia kwa macho yangu madkatri bingwa wakitoa huduma ,taasisi kubwa za afya zilikuepo huduma zilitolewa bure watu walizid uwezo kiufupi ilikua ni historia.baadae kidogo makonda anapotea ofisn na mitando ya kijamii watu wanmtafuta tetesi zinakuja anaumwa yuko hoi kwa madiba mara yuko vacation mara amekufa,mara ooh hajamaliza hata mwaka kazin kwann aende likizo baada ya mwenzi PCM anatokea uwanja wa ndege wa arusha kisongo anatoa maelekezo namna ya kuboresha uwanja wao .anyway huyo ndo Paul Chritian Makonda Master Mind wa siasa za kizazi cha sasa Bongo.🙌
Mikono yake imejaa damu. Ni muuaji huyu hafai kabisa
 
Halafu nimejifunza kitu kutokana na matukio mbalimbali,

Matukio yananionyesha kwamba, waliowahi kupendwa saana huko kwenye siasa na wakawa na majina makuubwa sana, hawakupata kile tulidhani ni sahihi wao kukipata,

Na hata Mh Tundu lissu, huwenda asiwe na asiipate hiyo nafasi ambayo wengi wamekuwa wakiamini ataipata

Tulikuwa na Edo, tulikuwa na kina Membe, tulikuwa na kina Maalim seifu, tulikuwa na kina prof Mwandosya n.k lakini kiko wapi leo

Nani aliyeamini siku moja Tutakuwa na Samia akisimama kama kiongozi mkuu wa nchi na Rais wetu?

Sishangai siku moja Makonda akafika mbaali sana

Na Makonda anaweza akafika mbaali kwa sabb kama za kijinga tu hapa

Kwanza, ni mtu amnaye ameshambuliwa vya kutosha na kila anayejisikia kumshambulia, ni kana kwamba wanadamu hawamtaki, ila mahali yupo, n8 kama kuna nguvu tu isiyoonekana ndiyo inayomfanya awepo hapo

Kama ndivyo, nguvu hiyo hiyo, inaweza pia kumfanya awe juu zaidi kuliko hiyo ngivu ya wanadamu ambayo ni dhaifu milele
 
Halafu nimejifunza kitu kutokana na matukio mbalimbali,

Matukio yananionyesha kwamba, waliowahi kupendwa saana huko kwenye siasa na wakawa na majina makuubwa sana, hawakupata kile tulidhani ni sahihi wao kukipata,

Na hata Mh Tundu lissu, huwenda asiwe na asiipate hiyo nafasi ambayo wengi wamekuwa wakiamini ataipata

Tulikuwa na Edo, tulikuwa na kina Membe, tulikuwa na kina Maalim seifu, tulikuwa na kina prof Mwandosya n.k lakini kiko wapi leo

Nani aliyeamini siku moja Tutakuwa na Samia akisimama kama kiongozi mkuu wa nchi na Rais wetu?

Sishangai siku moja Makonda akafika mbaali sana

Na Makonda anaweza akafika mbaali kwa sabb kama za kijinga tu hapa

Kwanza, ni mtu amnaye ameshambuliwa vya kutosha na kila anayejisikia kumshambulia, ni kana kwamba wanadamu hawamtaki, ila mahali yupo, n8 kama kuna nguvu tu isiyoonekana ndiyo inayomfanya awepo hapo

Kama ndivyo, nguvu hiyo hiyo, inaweza pia kumfanya awe juu zaidi kuliko hiyo ngivu ya wanadamu ambayo ni dhaifu milele
Kwa taarifa yako, baada ya Samia kutoka tunamfungulia mashtaka ya mauaji, utekaji na dhuluma ya mali. Jinai haiozi.

Mwambie kabisa
 
Kwa taarifa yako, baada ya Samia kutoka tunamfungulia mashtaka ya mauaji, utekaji na dhuluma ya mali. Jinai haiozi.

Mwambie kabisa
Kinachokufanya ushindwe sasa ni kipi

Maana kauli yako ni hii hii toka enzi za Magufuli, Magufuli aliondoka hukumpeleka mahakamani, wewe ni mtu bule tu
 
Halafu nimejifunza kitu kutokana na matukio mbalimbali,

Matukio yananionyesha kwamba, waliowahi kupendwa saana huko kwenye siasa na wakawa na majina makuubwa sana, hawakupata kile tulidhani ni sahihi wao kukipata,

Na hata Mh Tundu lissu, huwenda asiwe na asiipate hiyo nafasi ambayo wengi wamekuwa wakiamini ataipata

Tulikuwa na Edo, tulikuwa na kina Membe, tulikuwa na kina Maalim seifu, tulikuwa na kina prof Mwandosya n.k lakini kiko wapi leo

Nani aliyeamini siku moja Tutakuwa na Samia akisimama kama kiongozi mkuu wa nchi na Rais wetu?

Sishangai siku moja Makonda akafika mbaali sana

Na Makonda anaweza akafika mbaali kwa sabb kama za kijinga tu hapa

Kwanza, ni mtu amnaye ameshambuliwa vya kutosha na kila anayejisikia kumshambulia, ni kana kwamba wanadamu hawamtaki, ila mahali yupo, n8 kama kuna nguvu tu isiyoonekana ndiyo inayomfanya awepo hapo

Kama ndivyo, nguvu hiyo hiyo, inaweza pia kumfanya awe juu zaidi kuliko hiyo ngivu ya wanadamu ambayo ni dhaifu milele
Umeongea kinabii sana sana ubarikiwe
 
Kuweka kumbukumbu sawa akiwa miongoni mwa wabunge kwenyr bunge la katiba awamu ya Jk ,Makonda alipongeza uwezo wa Samia Suluhu Sahan kusimamia bunge la katiba kama naibu spika.lakin pia aliona maona na kuyasema nanukui ikipenda uko mbeleni huyu mama aje awe makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungano wa. Tanzania uko mbeleni'',mwisho wa kunukuu.suddenly watu wakiwa wamesahau kauli ya Makonda Mama samia anakua Makamu wa Rais na yeye binafsi kukumbushia kua maneno yanaumba akikumbushia utabiri wa Paul Makonda wakati wa Bunge la Katiba,anyway to make story short ni kua nimemufatilia kwa kiasi historia ya kisiasa ya Comred paul christina Makonda tangu akiwa chuo kikuu cha ushiriaka Moshi na kua Rais wa shirikisho la vyuo vikuu na vyuo vya kati Tanzinia,kisha Uvccm Taifa kama katibu na uenezi na chipkizi,badae Jk anamteua kua mkuu wa wilaya Kinondoni ,mchango wake kwenye secta ya elimu haukuanza tu akiwa mkuu wa mkoa Dar es bali tangu akiwa mkuu wa wilaya kinondoni alisaidia ,baadae anakua mkuu wa mkoa na akijipmbanau kusaidia wajane na wagane wa jiji la dar,vifaa elimu na vyezo elimu kwa wanafunzi na walimu,ubora wa jeshi la police katika wa dar es ,na kusimamia miradi mingi mikubwa ambayo leo inalipendenzesha jiji la dar .badae makondo anakosa jimbo la kigamboni na kurudi backbancher kwa muda ,then mama samia anakua Rais Wa jamhuri ya muungano wa Tanzania navkumrudisha comred makonda kwenye nafasi nyeti ya chama kama katibu mwenezi na kukiamusha chama kuwastua wapinzani kuwarudsha watzania matumaini ya kutatuliwa matatito yao papo hapo ,makonda alifanya kazi nyingi kama katibu mwenezi had kuleta mijadala kua anaingili majukumu yasiyomuhusu lakn bado alijikita kutatua kero za wananchi kila anapopita,badae Rais anaamua kurudisha makonda katika nafasi ya ukuu wa mkoa wa arusha,Makonda analiamusha tena jiji la arusha mapokezi yake na kua karibu na makundi yote ya mkoa wa arusha,vijana ,wahuni au wadudu,bodaboda,mama wa sokoni nk,kutatua matatzo ya wananchi ,kutembela wilaya kwa wilaya kwa wilaya ,uwanja mpya wa mpira,masoko nk.kama alivyobuni clinic ya kutatua matatizo ya kisheria jiji la dar kwa kina mama nk,galfa anaibuka na ubunifu wa medica camp jiji la arusha medical camp ya kihistoria katika nchi yetu ,binafsi nilikua jiji la arusha nilishuhudia kwa macho yangu madkatri bingwa wakitoa huduma ,taasisi kubwa za afya zilikuepo huduma zilitolewa bure watu walizid uwezo kiufupi ilikua ni historia.baadae kidogo makonda anapotea ofisn na mitando ya kijamii watu wanmtafuta tetesi zinakuja anaumwa yuko hoi kwa madiba mara yuko vacation mara amekufa,mara ooh hajamaliza hata mwaka kazin kwann aende likizo baada ya mwenzi PCM anatokea uwanja wa ndege wa arusha kisongo anatoa maelekezo namna ya kuboresha uwanja wao .anyway huyo ndo Paul Chritian Makonda Master Mind wa siasa za kizazi cha sasa Bongo.🙌
Kilaza
 
Kuweka kumbukumbu sawa akiwa miongoni mwa wabunge kwenyr bunge la katiba awamu ya Jk ,Makonda alipongeza uwezo wa Samia Suluhu Sahan kusimamia bunge la katiba kama naibu spika.lakin pia aliona maona na kuyasema nanukui ikipenda uko mbeleni huyu mama aje awe makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungano wa. Tanzania uko mbeleni'',mwisho wa kunukuu.suddenly watu wakiwa wamesahau kauli ya Makonda Mama samia anakua Makamu wa Rais na yeye binafsi kukumbushia kua maneno yanaumba akikumbushia utabiri wa Paul Makonda wakati wa Bunge la Katiba,anyway to make story short ni kua nimemufatilia kwa kiasi historia ya kisiasa ya Comred paul christina Makonda tangu akiwa chuo kikuu cha ushiriaka Moshi na kua Rais wa shirikisho la vyuo vikuu na vyuo vya kati Tanzinia,kisha Uvccm Taifa kama katibu na uenezi na chipkizi,badae Jk anamteua kua mkuu wa wilaya Kinondoni ,mchango wake kwenye secta ya elimu haukuanza tu akiwa mkuu wa mkoa Dar es bali tangu akiwa mkuu wa wilaya kinondoni alisaidia ,baadae anakua mkuu wa mkoa na akijipmbanau kusaidia wajane na wagane wa jiji la dar,vifaa elimu na vyezo elimu kwa wanafunzi na walimu,ubora wa jeshi la police katika wa dar es ,na kusimamia miradi mingi mikubwa ambayo leo inalipendenzesha jiji la dar .badae makondo anakosa jimbo la kigamboni na kurudi backbancher kwa muda ,then mama samia anakua Rais Wa jamhuri ya muungano wa Tanzania navkumrudisha comred makonda kwenye nafasi nyeti ya chama kama katibu mwenezi na kukiamusha chama kuwastua wapinzani kuwarudsha watzania matumaini ya kutatuliwa matatito yao papo hapo ,makonda alifanya kazi nyingi kama katibu mwenezi had kuleta mijadala kua anaingili majukumu yasiyomuhusu lakn bado alijikita kutatua kero za wananchi kila anapopita,badae Rais anaamua kurudisha makonda katika nafasi ya ukuu wa mkoa wa arusha,Makonda analiamusha tena jiji la arusha mapokezi yake na kua karibu na makundi yote ya mkoa wa arusha,vijana ,wahuni au wadudu,bodaboda,mama wa sokoni nk,kutatua matatzo ya wananchi ,kutembela wilaya kwa wilaya kwa wilaya ,uwanja mpya wa mpira,masoko nk.kama alivyobuni clinic ya kutatua matatizo ya kisheria jiji la dar kwa kina mama nk,galfa anaibuka na ubunifu wa medica camp jiji la arusha medical camp ya kihistoria katika nchi yetu ,binafsi nilikua jiji la arusha nilishuhudia kwa macho yangu madkatri bingwa wakitoa huduma ,taasisi kubwa za afya zilikuepo huduma zilitolewa bure watu walizid uwezo kiufupi ilikua ni historia.baadae kidogo makonda anapotea ofisn na mitando ya kijamii watu wanmtafuta tetesi zinakuja anaumwa yuko hoi kwa madiba mara yuko vacation mara amekufa,mara ooh hajamaliza hata mwaka kazin kwann aende likizo baada ya mwenzi PCM anatokea uwanja wa ndege wa arusha kisongo anatoa maelekezo namna ya kuboresha uwanja wao .anyway huyo ndo Paul Chritian Makonda Master Mind wa siasa za kizazi cha sasa Bongo.🙌
Kama BASHITE anae akili Mimi naomba nirudi darasa LA kwanza..
 
Kuweka kumbukumbu sawa akiwa miongoni mwa wabunge kwenyr bunge la katiba awamu ya Jk ,Makonda alipongeza uwezo wa Samia Suluhu Sahan kusimamia bunge la katiba kama naibu spika.lakin pia aliona maona na kuyasema nanukui ikipenda uko mbeleni huyu mama aje awe makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungano wa. Tanzania uko mbeleni'',mwisho wa kunukuu.suddenly watu wakiwa wamesahau kauli ya Makonda Mama samia anakua Makamu wa Rais na yeye binafsi kukumbushia kua maneno yanaumba akikumbushia utabiri wa Paul Makonda wakati wa Bunge la Katiba,anyway to make story short ni kua nimemufatilia kwa kiasi historia ya kisiasa ya Comred paul christina Makonda tangu akiwa chuo kikuu cha ushiriaka Moshi na kua Rais wa shirikisho la vyuo vikuu na vyuo vya kati Tanzinia,kisha Uvccm Taifa kama katibu na uenezi na chipkizi,badae Jk anamteua kua mkuu wa wilaya Kinondoni ,mchango wake kwenye secta ya elimu haukuanza tu akiwa mkuu wa mkoa Dar es bali tangu akiwa mkuu wa wilaya kinondoni alisaidia ,baadae anakua mkuu wa mkoa na akijipmbanau kusaidia wajane na wagane wa jiji la dar,vifaa elimu na vyezo elimu kwa wanafunzi na walimu,ubora wa jeshi la police katika wa dar es ,na kusimamia miradi mingi mikubwa ambayo leo inalipendenzesha jiji la dar .badae makondo anakosa jimbo la kigamboni na kurudi backbancher kwa muda ,then mama samia anakua Rais Wa jamhuri ya muungano wa Tanzania navkumrudisha comred makonda kwenye nafasi nyeti ya chama kama katibu mwenezi na kukiamusha chama kuwastua wapinzani kuwarudsha watzania matumaini ya kutatuliwa matatito yao papo hapo ,makonda alifanya kazi nyingi kama katibu mwenezi had kuleta mijadala kua anaingili majukumu yasiyomuhusu lakn bado alijikita kutatua kero za wananchi kila anapopita,badae Rais anaamua kurudisha makonda katika nafasi ya ukuu wa mkoa wa arusha,Makonda analiamusha tena jiji la arusha mapokezi yake na kua karibu na makundi yote ya mkoa wa arusha,vijana ,wahuni au wadudu,bodaboda,mama wa sokoni nk,kutatua matatzo ya wananchi ,kutembela wilaya kwa wilaya kwa wilaya ,uwanja mpya wa mpira,masoko nk.kama alivyobuni clinic ya kutatua matatizo ya kisheria jiji la dar kwa kina mama nk,galfa anaibuka na ubunifu wa medica camp jiji la arusha medical camp ya kihistoria katika nchi yetu ,binafsi nilikua jiji la arusha nilishuhudia kwa macho yangu madkatri bingwa wakitoa huduma ,taasisi kubwa za afya zilikuepo huduma zilitolewa bure watu walizid uwezo kiufupi ilikua ni historia.baadae kidogo makonda anapotea ofisn na mitando ya kijamii watu wanmtafuta tetesi zinakuja anaumwa yuko hoi kwa madiba mara yuko vacation mara amekufa,mara ooh hajamaliza hata mwaka kazin kwann aende likizo baada ya mwenzi PCM anatokea uwanja wa ndege wa arusha kisongo anatoa maelekezo namna ya kuboresha uwanja wao .anyway huyo ndo Paul Chritian Makonda Master Mind wa siasa za kizazi cha sasa Bongo.🙌
🚮
 
Back
Top Bottom