NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
haaa!!.Huyu nae akae kimya tu,kwetu akija na nywele ataondoka na kipara,maana tutamyoa kwa chupa.
Tanzania kuna majenerali wengi,lakini jenerali James Aloizi Mwakibolwa ni moto wa gesi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haaa!!.Huyu nae akae kimya tu,kwetu akija na nywele ataondoka na kipara,maana tutamyoa kwa chupa.
Namba bila akili, ujuzi na maarifa ni kazi bure, Waarabu ni wengi kuliko waisrael lkn hadi leo wanaburuzwa tuu, waafrika tupo wengi kuliko wazungu lkn hadi leo wazungu wanatufanya wanavyotaka.Haya haya ya Japan during WW2 , kujitutumua kwingi , wakat namba ni mhimu Sana kwenye ulimwengu wa vita
Hivi unajua kuwa japan alikuwa yuko mbioni kusurrender na bado USA akadondosha bomu japo alijua kabisa Japan anaandaa mpango wa kusurrender.Haya haya ya Japan during WW2 , kujitutumua kwingi , wakat namba ni mhimu Sana kwenye ulimwengu wa vita
The problem with this guy lies purely on his misplaced hubris and wrong optics among his neighbours. He feels he is the "ONLY one" "Mr Fixer" be it economically Politically and Militarily. Hence deceiving himself and his counrty as an indispensable force. Forgetting that we know that his troops are in Mozambique under the payroll of his former Masters France ostensibly to safeguard their interests notably oil infrastructures.Let's wait and see, whose message is this? TZ, DRC, UG, BRND,? Hegemonic sentiment be warned geopolitical muscles and expansionist policy, " Fight on enemy territory" serious phrase and it should be dealt with seriously.
Rwanda is small in size, however their doctrine is .... Mtikila aliona mbali sana, particularly speaking someone who assumes mental horizon supremacy has uttered.
Mna muoverate sana Kagame! Unajua vita wewe? umeshawahi kushika silaha?Kagame ni smart sana na ana intelijensia isiyo na mashaka katika ukanda wa afrika mashariki! Huyo siyo wa kubeza huenda kashapata taarifa zinazohusu nchi yake na maadui zake ndiyo maana ametoa neno.
Vita ngapi amepigana Rwanda?Anadai Rwanda ni ndogo kwa eneo, ila mbinu yao ni kupigana vita kwenye ardhi ya adui na ana wanajeshi waliofuzu kwa kazi hiyo.
Haya maneno sijui anatuambia sisi, waganda au wakongo?
Tatizo hapo ni unity sio namba, namba ni ya mhimu mno jidanganyeNamba bila akili, ujuzi na maarifa ni kazi bure, Waarabu ni wengi kuliko waisrael lkn hadi leo wanaburuzwa tuu, waafrika tupo wengi kuliko wazungu lkn hadi leo wazungu wanatufanya wanavyotaka.
Dunia imebadilika sanaa mkuu pamoja na maendeleo ya Science na Technology.Tatizo hapo ni unity sio namba, namba ni ya mhimu mno jidanganye
Hilo hatukatai, kwanza Rwanda ni nchi ndogo sana, Pili Kagame amekaa muda mrefu madarakani, Tatu Rwanda hakuna demokrasia, Hana Upinzani katika kila anachotaka kufanya, Rwanda ni One Man show regime kama Russia.Tunaweza kuongea gadhabu zetu tunavyotaka lakini Kagame bado ana credit nyingi sana ukilinganisha na Maraisi wa Africa Mashariki.
Kwa wale waliokuwa na utambuzi wa mambo enzi za Rwanda wakati Kagame anachukua madaraka na Leo atakubaliana Kagame sio mtu wa porojo tupu
Ambition, focus, strategies and seriousness yake ni ya kuigwa sio tu na viongozi bali hata na vijana katika kufikia malengo ktk maisha
Adui ake Uganda huyo hawez kuweka uadui na wakubwa ka tzKagame ni smart sana na ana intelijensia isiyo na mashaka katika ukanda wa afrika mashariki! Huyo siyo wa kubeza huenda kashapata taarifa zinazohusu nchi yake na maadui zake ndiyo maana ametoa neno.
Kule kwake watu wanaishi kama kondoo. Mitutu kila sehemu. Mapanga ndii usiseme. Watu wameshakubali wasevu maisha yao. wakajikalia kimya. Yeye anajiona ni mpiganaji ameshindaGeorgia alijifanya ana back up ya wazungu mrusi alipoingia hamna hata aliyethubutu kumsaidia,juzi kati the same albania acha achonge azebairjan akamtimba ipasavyo hamna aliemsaidia,kagame ni kama savimbi flan anaetumika na magharibi siku wakimchoka genocide itakayopigwa pale si ya kitoto maana kagame ameshindwa kuwaunganisha warwanda zaidi ya kuwaletea ubabe wahutu,wale jamaa miaka yote wanaishi kinyonge sana kwenye nchi yao
mzalendo wa kweli?? kwa imaskini ule?? Nguvu nyingi na pesa nyingi za rwanda zinatumika kujilinda yeye na comrades wake tu. Sehemu nyingine ya finance inatumika kwenye propaganda tu.Hilo hatukatai, kwanza Rwanda ni nchi ndogo sana, Pili Kagame amekaa muda mrefu madarakani, Tatu Rwanda hakuna demokrasia, Hana Upinzani katika kila anachotaka kufanya, Rwanda ni One Man show regime kama Russia.
Na mwisho ni Mzalendo wa kweli, Ila ana kiburi sana utafikiri Rwanda ni kama US.
Jamaa amecreate enemies ndani ya nchi yake na nje yake angejifunza kwa mrusi kwanini anapambana ukraine ibaki upande wake,sasa kagame ndani kwake ana wahutu ambao nin85% ya warwanda wote ambao wanamtamani kama mabaharia wanavyomtamani demu mgeni anayekuja kuanza kuishi kwenye kitaa chao,kila baharia anataka awe first kula tunda kimasiharakagame na rwanda yake ya watusi ni suala la muda tu.
Kwahiyo hapa anamaanisha watakuja kupigania Tz au halafu mbona kama hajamtaja masanja kwenye hicho kihotuba chakeRwanda is small in size, our doctrine is to fight war on enemy territory when it calls for it.
mjapan kama asiingeia ww2 angekuwa ana eneo kubwa sana upande wa China mainland , Korea yote ilikuwa yake Taiwan na kile kisiwa kikubwa cha mrusi sakhakin alipwega nusu aliposhinda vita na urusi 1905Hivi unajua kuwa japan alikuwa yuko mbioni kusurrender na bado USA akadondosha bomu japo alijua kabisa Japan anaandaa mpango wa kusurrender.
Ile ilikuwa ni zaidi ya noma
Kabisa aishie hukohuko ila asije jaribu kuigusa Tanzania maana Rwanda tutaigeuza kuwa mkoa wa Tanzania.Hii ni threat.
Aliongelea wishing a peace na hakuidadavua zaidi kama.alivyodadavua war.
Hiyo doctrine kaipractice DRC na Uganda.
Aje bongo basi tumnyonyoe