Paul Kagame atuma ujumbe mzito kwa majirani zake

With France I wouldn't be any closer to that front of beliefs, basically he belongs to a cartel of World thugs hybriding within and political inducement. He is a frontliner with operationalisation of defaulting power structure of wealthy emerging states.
 
Anyone who wishes us a war, we give it to him..thats PK
 
You bet!
 
chanzo cha taarifa yako tafadhali. "rwanda wana intelijensia isiyo na mashaka katika ukanda wa afrika ya mashariki"
Kwani wewe ni Mnyarwanda?
Inteligensia ni nini?
Pengine unaweza kuwa wewe unasoma kurasa mwingine.
Nini kinakufanya ufikirie hivyo hadi ETI Afrika Mashariki. Haya tueleze basi unavyojua jinsi wanavyoyazidi mataifa mengine ya A/Mashariki.!
 
Museveni anandege vita za kisasa kabisa huyu Rwanda atavurugwa mno...
 
Si kweli hata kidogo mkuu.
 
Safari hii watauwana ma milioni na mamilioni...
 
Namba bila akili, ujuzi na maarifa ni kazi bure, Waarabu ni wengi kuliko waisrael lkn hadi leo wanaburuzwa tuu, waafrika tupo wengi kuliko wazungu lkn hadi leo wazungu wanatufanya wanavyotaka.
Acha Kudanganya wewe.

Population ya watu weusi Duniani ni 1.3B. Waliobaki wote ni Weupe ambao ni zaidi ya 6B.

Waafrika ni wachache kuliko Wazungu ndio maana tunanyanyaswa dunia nzima.
 
Tz tuna muangalia kwa ukaribu.. mwache ajitekenye nakucheka mwenyewe... One man show while sisi ni mass show
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…