Paul Kagame atuma ujumbe mzito kwa majirani zake

Paul Kagame atuma ujumbe mzito kwa majirani zake

... succession plan ikoje? Muda wake umeenda hatari sana kama taifa kumtegemea mtu mmoja.
Huko Rwanda jamaa ana abudiwa sana, ole wako umseme vibaya, kesho yako iko hatarini
 
Wewe huijui Japan wewe! Wajapan wanakuwaga wanatishia? Hakuna superior race duniani zaidi ya wajapan..ndo maana marekani alikimbilia nuclear maana alijua hawawezi. Na hata ishu ya kusitisha vita ilikuwa ya mfalme binafsi... mpaka leo wajapan wanamlaumu. Walitaka waipeleke kamikaze marekani wafurahie
Vita tangu inaanza mpaka inaisha Japan hajawahi peleka pua yake kwenye ardhi yoyote ya Marekani alafu unakuja na porojo kuwa wangeshinda. Pearl Harbour iliwezekana kwa kuwa ni ambush hata Tanzania sahivi inaweza jitutumua ikashambulia Misri kwa kuanzia, ila kitakachofuata ndio kingine. Au wewe unaijua ile vita kuliko waandishi wa Japan wote, kama walikuwa wanajua kilichowashinda kushinda vita ni kipi?

Vita sio mpira kwamba refa kawaonea. Wamepigana miaka, Marekani alikuwa na ammunition stockpile mara 40 zaidi ya Japan, anaweza tengeneza meli nyingi zaidi ya zinazoharibiwa na Japan, kazamisha aircraft carriers nne zote za Japan kwenye battle of Midway na kuuza zaidi ya marubani 300 kwa siku hiyo, kazamisha battleships zote kina Mushashi, Yamato na Kuga. Yet hakuna aircraft carrier hata moja ya Marekani ilizamishwa. Marekani kaingia vitani mpaka anamaliza ametoa fighters types nne na Japan anazo Mitsubishi Zero zilezile alizoanza nazo.

Marekani hakushindwa battle yoyote dhidi ya Japan. In fact hao unaosema wanamlaumu Emperor Hiroito kutangaza kuacha vita ndio wanalaumiwa kuanzisha vita, waliona vita ikiisha msako unawafuata kuwakamata kwa war crimes especially in China and South Korea. They were bunch of hooligans, poor mindend people waliodhani wakifanya attack kwenye Pearl Harbor Marekani ataogopa aombe mkataba wa makubaliano. Na ndio haohao walijiua na kunyongwa kwa war crimes. Walidhani Marekani ni kina Manchuria ya China
 
Tatizo hapo ni unity sio namba, namba ni ya mhimu mno jidanganye

unaijua 6days war ww ambayo israel kwa kutumia only airforce ilizichamba nchi zote za kiarabu majiran???
ni old way ya kudhan no ina matter kwene vita? technologie does
 
Kabisa aishie hukohuko ila asije jaribu kuigusa Tanzania maana Rwanda tutaigeuza kuwa mkoa wa Tanzania.

tuko katika nchi ambayo mabomu yanajiripukia yenyewe kila mara!!
nchi ya watu wazembe afu tujiringanishe na rwanda kweli!!… naikubali tz lakin hatuna uongozi
 
Wahutu watakuja kuwamalizia watutsi waliobaki....vita ya kikabila haijaisha, wahutu wanajipanga. Maana kawawinda duniani kote lakin hawajaisha. Wananoa mapanga tu
Pop ya rwanda wahutu ni 85% lakini now kila mahala wanatamba watutsi,jamaa wametupwa huko siku ile nchi ikirudi mikononi mwao watalipiza
 
Vita tangu inaanza mpaka inaisha Japan hajawahi peleka pua yake kwenye ardhi yoyote ya Marekani alafu unakuja na porojo kuwa wangeshinda. Pearl Harbour iliwezekana kwa kuwa ni ambush hata Tanzania sahivi inaweza jitutumua ikashambulia Misri kwa kuanzia, ila kitakachofuata ndio kingine. Au wewe unaijua ile vita kuliko waandishi wa Japan wote, kama walikuwa wanajua kilichowashinda kushinda vita ni kipi?

Vita sio mpira kwamba refa kawaonea. Wamepigana miaka, Marekani alikuwa na ammunition stockpile mara 40 zaidi ya Japan, anaweza tengeneza meli nyingi zaidi ya zinazoharibiwa na Japan, kazamisha aircraft carriers nne zote za Japan kwenye battle of Midway na kuuza zaidi ya marubani 300 kwa siku hiyo, kazamisha battleships zote kina Mushashi, Yamato na Kuga. Yet hakuna aircraft carrier hata moja ya Marekani ilizamishwa. Marekani kaingia vitani mpaka anamaliza ametoa fighters types nne na Japan anazo Mitsubishi Zero zilezile alizoanza nazo.

Marekani hakushindwa battle yoyote dhidi ya Japan. In fact hao unaosema wanamlaumu Emperor Hiroito kutangaza kuacha vita ndio wanalaumiwa kuanzisha vita, waliona vita ikiisha msako unawafuata kuwakamata kwa war crimes especially in China and South Korea. They were bunch of hooligans, poor mindend people waliodhani wakifanya attack kwenye Pearl Harbor Marekani ataogopa aombe mkataba wa makubaliano. Na ndio haohao walijiua ya kunyongwa kwa war crimes. Walidhani Marekani ni kina Manchuria ya China
Wewe ni mjinga flani tu usieijua Japan, Japan ndo nchi pekee kuipiga marekani ndani ya Ardhi yake yenyewe.. Japan kapigana na nchi zote za Indo China (ikiwemo na hiyo Vietnam iliyomshinda marekani), Korea, China, Russia akashinda, aje ashindwe marekani, ambayo hakuna vita iliyopigana peke yake ikashinda?! Ameishindwa hata Vietnam tu... unasema nini wewe!
 
I hope huyu mzee haizungumzii TZ atakuwa anapeleka ujumbe UG na wengine. Hii new development ya DRC kujiunga na EAC sio nzuri kweke pia. Kune geopilitical anazotaka kuzicheza. Ila awe macho kweni anaweza kuitumbukiza EAC nzima into Wars. Let us see and be prepared for any eventuality. It will be a wrong calculation to fight a war with Tanzania even out of Tanzanian borders.
Uzuri Tanganyika inawajua wote vyema..mana imewapa hifadhi..mafunzo na kila msaada hadi hapo walipo.

#MaendeleoHayanaChama
 
I have given you the facts but you are still adamant on defending Rwanda. What military capability does Rwanda posess? Since you are a Rwandan apologist tell your friend that he should never over rate himself that much. He is yet to be tasted for really battles. The ones he claimed credit in Mozambique were ragtag islamists rebels with no know how of how real battles are fought hence their defeat. Murakoze 🙏
A) So what? When the deal between Total France etc and Rwandan government was signed in secrecy to FIGHT on BEHALF of France, France gave Rwanda Monies, Weaponry, and Logistics🙁Your argument)1

B) Let me jog up your mind a little bit. Who began ASKING permission to be allowed to go and fight in Mozambique? The answer is RWANDA. (Your argument)2

(C)By Isaac Mugabi| 13.07.2021 DW. Let me be frank with you France approached Mozambique covertly to convince Maputo how important Rwanda would be on that battle. The President bought the idea at the BEHEST of FRANCE and the rest is history. (Your Fact)

Totally contradicting,
Any way have good day;
Murakoze nawe🙏🙏
 
Wewe ni mjinga flani tu usieijua Japan, Japan ndo nchi pekee kuipiga marekani ndani ya Ardhi yake yenyewe.. Japan kapigana na nchi zote za Indo China (ikiwemo na hiyo Vietnam iliyomshinda marekani), Korea, China, Russia akashinda, aje ashindwe marekani, ambayo hakuna vita iliyopigana peke yake ikashinda?! Ameishindwa hata Vietnam tu... unasema nini wewe!
Siwezi bishana na mtu anayetumia kichwa kama sanduku la kuhifadhia meno. Tangu Marekani inashinda vita mwaka 1945 mpaka 1952 General wa Marekani, Douglas MacArthur ndiye aliiongoza Japan kuiinua kiuchumi, kijeshi, kisiasa na kijamii. Mpaka leo Japan inalindwa na base ya Mmarekani ipo na mifumo kama THAAD ipo na meli za Aegis, na ndege za F-35 na vitu vingine kibao. Vyote hivyo ni Mmarekani.

Japan hajawahi vamia mainland ya Marekani, hujui maana ya mainland. And then, Marekani hajawahi vamiwa kwake na nchi yeyote ukiachana na Pearl Harbor attack. Hujui tofauti ya attack, battle na war. Marekani hakuwahi shindwa battle yoyote dhidi ya Japan wala kushindwa vita ile.

Vietnam na kwingineko ni kiherehere, Marekani hajawahi vamiwa na Vietnam wala Ujerumani wala Afghanistan wala Somalia. Hizo sio vita zake so hakutumia hata 20% ya uwezo wake, huwezi sema JWTZ imeshindwa vita ya DRC wakati imepeleka kamanda mmoja tu na viwanajeshi mia ngapi?

Kati ya Marekani na Japan nani alitangaza surrender??
Huijui historia, hujui vita unatumia mihemko
 
A) So what? When the deal between Total France etc and Rwandan government was signed in secrecy to FIGHT on BEHALF of France, France gave Rwanda Monies, Weaponry, and Logistics🙁Your argument)1

B) Let me jog up your mind a little bit. Who began ASKING permission to be allowed to go and fight in Mozambique? The answer is RWANDA. (Your argument)2

(C)By Isaac Mugabi| 13.07.2021 DW. Let me be frank with you France approached Mozambique covertly to convince Maputo how important Rwanda would be on that battle. The President bought the idea at the BEHEST of FRANCE and the rest is history. (Your Fact)

Totally contradicting,
Any way have good day;
Murakoze nawe🙏🙏
Let's agree to disagree. It was a nice discourse though! 🙏
 
Kapigana na Zimbabwe, Angola, Namibia, DRC, Uganda.
Majeshi yake ndiyo yanalinda ikulu ya Raisi wa Central Africa..
Wewe mission nazo unaita vita. Vita ambayo Rwanda waliwahi pigana ni ya wenyewe kwa wenyewe ambayo mara nyingi walitumia zana za kilimo kuuana. Huwezi sema Tanzania imepigana vita na Uganda kisha ukaongeza kina Comoros, DRC na Sudan.
 
Wewe mission nazo unaita vita. Vita ambayo Rwanda waliwahi pigana ni ya wenyewe kwa wenyewe ambayo mara nyingi walitumia zana za kilimo kuuana. Huwezi sema Tanzania imepigana vita na Uganda kisha ukaongeza kina Comoros, DRC na Sudan.
Sio mission ndugu, vita yenye POW na kuteka miji sio mission search Congo second war utaelewa ninacho ongea..
Au search operation Kitona.
Fuatilia nani alimuondoa Mobutu madarakani na nani alikuwa mkuu wa majeshi ya Congo baada ya Mobutu kuondolewa and why.
 
Back
Top Bottom