Paul Kagame katoa onyo kwa Kiswahili, walengwa mmepata ujumbe?

Paul Kagame katoa onyo kwa Kiswahili, walengwa mmepata ujumbe?

Unazungumza kwa mihemko ila Kuna sehemu umesema wanafadhiliwa na Rwanda na Uganda Ni Kweli

Ila sas kosa kubwa alililifanya tshekedi Ni kujumuisha Uganda kwenye operation hyo ya kuwaondoa waasi na kuleta amani mashariki mwa Kongo[emoji41]


Kosa la kuwjulisha Uganda ktk Operation no kosa ambalo watajuta maishani

..kisingizio cha Rwana na Uganda ni kwamba Drc inahifadhi au kufadhili makundi ya maasi toka mataifa hayo.

..Ndio maana kuna wakati Rwanda na Drc walifanya joint operation dhidi ya Fdlr.

..Vilevile Uganda amealikwa ili awashughulikie magaidi wa Adf.

..Hiyo yote ni kuithibitishia dunia kwamba DRC sio tishio la usalama wa Rwanda na Uganda.
 
Rais Paul Kagame alikuwa anaapisha mawaziri wapya hapo jana mapema. Alianza kutoa hotuba yake kwa lugha ya Kinyarwanda, lakini baadae akahamia kwenye lugha ya Kiingereza na baadaye akatoa kitisho kizito kwa lugha ya Kiswahili. Wengi wetu tumeona hicho kipande chenye lugha ya kiswahili kikisambaa huko mitandaoni hasahasa kwa raia wa Tanzania na Kenya. Kitendo cha kusambaa mtandaoni kwa kasi hivi, inaonesha kabisa walengwa wa ujumbe ni watu gani.

Kwenye FASIHI njia moja kuu ya kufikishia ujumbe ni kuifahamu HADHIRA, lakini kubwa zaidi ni kufahamu lugha ambayo HADHIRA hutumia. Siku zote kimetumika Kinyarwanda na Kiingereza, lakini leo hii na Kiswahili juu, tena sehemu ambayo anatoa vitisho. Kwenye Dakika ya 27, ameanza kuwaliza mawaziri wake kama wanafahamu lugha ya kiswahili, wakamjibu wanelewa, ndipo akaanza kuzungumza kiswahili.

Huu ujumbe siyo wa wanyarwanda, wazungumzaji wakubwa wa lugha ya kiswahili wanafahamika, hivyo hicho kitisho ni ujumbe kwenu. Hajataja mhusika, mimi binafsi sitamtaja, lakini naamini walengwa mapema leo, watakuwa washafikiwa na huu ujumbe.

Alichokisema Rais Paul Kagame ni kwamba ukubwa wa pua siyo wingi wa kamasi. Kwamba Rwanda doesn't have the means, but they have the methods (ways). Hivyo kijiografia Rwanda ni nchi ndogo isiyo na rasilimali nyingi, lakini wao siyo migomba mifupi kama wanavyofikiriwa. Binafsi naamini, haivuki miaka miwili (2) kuna mtu kwenye huu ukanda wetu wa maziwa makuu atatoa kilio kikubwa sana.

View attachment 2433276
Kama anafurahia mateso ya wana Kongo, basi zaburi 109 imhusu🤨
 
Labda hizo methods apate kwa mabwana zake huko USA na Ulaya na njia kubwa wanayoweza kutumia Ni kuratibu mapinduzi au sumu kwa Viongozi na sio kwenda front hiyo jeuri hawana.
Hata kama,, Rwanda ni landlocked, inategemea Tanzania na kenya kwa bidhaa zake kufika rwanda,, ikitokea mtifuano, kenya na Tz wakamblock, atabakiza air corridor,,Rwanda hana airforce,, ndege yeyote inayomsupply, inaweza kutangwa njiani na ikashusha mzigo kenya au Tz,
Anachojivunia huyu kagame,, amesoma sana novels, zinamdanganya, kuwa anaweza kupenyeza hitman wake nchi za east africa,,
Lakini nchi yeyote inaweza kutuma hitmen kufanya Termination,
Kinachosekana ni nia tu🤷🏾‍♂️
 
banana-tree-growing-profile-3269353-recirc-55a228cd3fa74023bfc392579aed763c.jpg

Enough is enough jaribuni tena kuugusa.
 
Rais Paul Kagame alikuwa anaapisha mawaziri wapya hapo jana mapema. Alianza kutoa hotuba yake kwa lugha ya Kinyarwanda, lakini baadae akahamia kwenye lugha ya Kiingereza na baadaye akatoa kitisho kizito kwa lugha ya Kiswahili. Wengi wetu tumeona hicho kipande chenye lugha ya kiswahili kikisambaa huko mitandaoni hasahasa kwa raia wa Tanzania na Kenya. Kitendo cha kusambaa mtandaoni kwa kasi hivi, inaonesha kabisa walengwa wa ujumbe ni watu gani.

Kwenye FASIHI njia moja kuu ya kufikishia ujumbe ni kuifahamu HADHIRA, lakini kubwa zaidi ni kufahamu lugha ambayo HADHIRA hutumia. Siku zote kimetumika Kinyarwanda na Kiingereza, lakini leo hii na Kiswahili juu, tena sehemu ambayo anatoa vitisho. Kwenye Dakika ya 27, ameanza kuwaliza mawaziri wake kama wanafahamu lugha ya kiswahili, wakamjibu wanelewa, ndipo akaanza kuzungumza kiswahili.

Huu ujumbe siyo wa wanyarwanda, wazungumzaji wakubwa wa lugha ya kiswahili wanafahamika, hivyo hicho kitisho ni ujumbe kwenu. Hajataja mhusika, mimi binafsi sitamtaja, lakini naamini walengwa mapema leo, watakuwa washafikiwa na huu ujumbe.

Alichokisema Rais Paul Kagame ni kwamba ukubwa wa pua siyo wingi wa kamasi. Kwamba Rwanda doesn't have the means, but they have the methods (ways). Hivyo kijiografia Rwanda ni nchi ndogo isiyo na rasilimali nyingi, lakini wao siyo migomba mifupi kama wanavyofikiriwa. Binafsi naamini, haivuki miaka miwili (2) kuna mtu kwenye huu ukanda wetu wa maziwa makuu atatoa kilio kikubwa sana.

View attachment 2433276
PK hana lolote zaidi ya mdomo kama wa yule msemaji wa Sadam Hussein, Abou Sahaff. Mtu mwenye uwezo huwa haongei, ni matendo tu.
Sisi majirani na nchi zingine za kimataifa tumekuwa tuna sympathise na ile genocide ya 1994, kwa hiyo kila akifanya uovu DRC tumekuwa kimya.

Sasa kama kuna Wanyarwanda humu wanasoma JF, niwataarifu tu kuwa this time around kama ana brag dhidi ya Tanzania au Kenya basi muambieni siku zake za kupigwa kama Iddi Amini Dada zimefika. Dont mess up with East Africa superpowers, you gonna be swept.
 
Tunasikia M23 wamesalimu amri. Sasa Kagame sijui anasema nini. We will just stay tuned to the radio.
 
Rais Paul Kagame alikuwa anaapisha mawaziri wapya hapo jana mapema. Alianza kutoa hotuba yake kwa lugha ya Kinyarwanda, lakini baadae akahamia kwenye lugha ya Kiingereza na baadaye akatoa kitisho kizito kwa lugha ya Kiswahili. Wengi wetu tumeona hicho kipande chenye lugha ya kiswahili kikisambaa huko mitandaoni hasahasa kwa raia wa Tanzania na Kenya. Kitendo cha kusambaa mtandaoni kwa kasi hivi, inaonesha kabisa walengwa wa ujumbe ni watu gani.

Kwenye FASIHI njia moja kuu ya kufikishia ujumbe ni kuifahamu HADHIRA, lakini kubwa zaidi ni kufahamu lugha ambayo HADHIRA hutumia. Siku zote kimetumika Kinyarwanda na Kiingereza, lakini leo hii na Kiswahili juu, tena sehemu ambayo anatoa vitisho. Kwenye Dakika ya 27, ameanza kuwaliza mawaziri wake kama wanafahamu lugha ya kiswahili, wakamjibu wanelewa, ndipo akaanza kuzungumza kiswahili.

Huu ujumbe siyo wa wanyarwanda, wazungumzaji wakubwa wa lugha ya kiswahili wanafahamika, hivyo hicho kitisho ni ujumbe kwenu. Hajataja mhusika, mimi binafsi sitamtaja, lakini naamini walengwa mapema leo, watakuwa washafikiwa na huu ujumbe.

Alichokisema Rais Paul Kagame ni kwamba ukubwa wa pua siyo wingi wa kamasi. Kwamba Rwanda doesn't have the means, but they have the methods (ways). Hivyo kijiografia Rwanda ni nchi ndogo isiyo na rasilimali nyingi, lakini wao siyo migomba mifupi kama wanavyofikiriwa. Binafsi naamini, haivuki miaka miwili (2) kuna mtu kwenye huu ukanda wetu wa maziwa makuu atatoa kilio kikubwa sana.

View attachment 2433276
Huu mkwara uwezi ukaelewa😂😂
 
Hata kama,, Rwanda ni landlocked, inategemea Tanzania na kenya kwa bidhaa zake kufika rwanda,, ikitokea mtifuano, kenya na Tz wakamblock, atabakiza air corridor,,Rwanda hana airforce,, ndege yeyote inayomsupply, inaweza kutangwa njiani na ikashusha mzigo kenya au Tz,
Anachojivunia huyu kagame,, amesoma sana novels, zinamdanganya, kuwa anaweza kupenyeza hitman wake nchi za east africa,,
Lakini nchi yeyote inaweza kutuma hitmen kufanya Termination,
Kinachosekana ni nia tu🤷🏾‍♂️
Novels kama the Art of war!?
 
CongoZAIRE/DRC always imekuwa ikiingilia migogoro ya Rwanda kwenda kusaidia Wahutu kwasababu eti wanafanana nao leo hii wanalialia nini?

Wakati wa Dikteta Mobutu alituma Jeshi kwenda kupigana na Inkhotanyi RPF na baadae kuruhusu Interahamwe ziue Wakongo wenye asili ya Kitutsi ndio hawa leo wameform M23 wamechoka kunyanyaswa na Interahamwe kutoka Nchi jirani ya Rwanda.
 
Leo nimeanza kusikia tone imebadilika Jeshi la Afrika ya Mashariki linasema linataka kudili na Vikundi vyote ikiwemo vya Kihutu lakini swali linabaki palepale kwa Cogolese Tutsis 23 iwapo watanyang'anywa silaha kuna hatari ya Genocide nyingine ikatokea huko Congo dhidi yao.

Waingizwe kwenye Jeshi la Kongo na Rank zao halafu wabakizwe kwenye Command ya North Kivu tena watasaidia kuiondoa ADF ya Magaidi.
 
Back
Top Bottom