LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
nyoko wewe, watu wa singida wanaingiaje hapo? Shika adabu zakoKagame ni snitch sana kanatumika na USA na UK.jamaa ni kanifiki kama walivyo watu wa Singida.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nyoko wewe, watu wa singida wanaingiaje hapo? Shika adabu zakoKagame ni snitch sana kanatumika na USA na UK.jamaa ni kanifiki kama walivyo watu wa Singida.
Kagame ni snitch sana kanatumika na USA na UK.jamaa ni kanifiki kama walivyo watu wa Singida.
Kagame ni snitch sana kanatumika na USA na UK.jamaa ni kanifiki kama walivyo watu wa Singida.
Kagame ni snitch sana kanatumika na USA na UK.jamaa ni kanifiki kama walivyo watu wa Singida.
Unazungumza kwa mihemko ila Kuna sehemu umesema wanafadhiliwa na Rwanda na Uganda Ni Kweli
Ila sas kosa kubwa alililifanya tshekedi Ni kujumuisha Uganda kwenye operation hyo ya kuwaondoa waasi na kuleta amani mashariki mwa Kongo[emoji41]
Kosa la kuwjulisha Uganda ktk Operation no kosa ambalo watajuta maishani
Kama anafurahia mateso ya wana Kongo, basi zaburi 109 imhusu🤨Rais Paul Kagame alikuwa anaapisha mawaziri wapya hapo jana mapema. Alianza kutoa hotuba yake kwa lugha ya Kinyarwanda, lakini baadae akahamia kwenye lugha ya Kiingereza na baadaye akatoa kitisho kizito kwa lugha ya Kiswahili. Wengi wetu tumeona hicho kipande chenye lugha ya kiswahili kikisambaa huko mitandaoni hasahasa kwa raia wa Tanzania na Kenya. Kitendo cha kusambaa mtandaoni kwa kasi hivi, inaonesha kabisa walengwa wa ujumbe ni watu gani.
Kwenye FASIHI njia moja kuu ya kufikishia ujumbe ni kuifahamu HADHIRA, lakini kubwa zaidi ni kufahamu lugha ambayo HADHIRA hutumia. Siku zote kimetumika Kinyarwanda na Kiingereza, lakini leo hii na Kiswahili juu, tena sehemu ambayo anatoa vitisho. Kwenye Dakika ya 27, ameanza kuwaliza mawaziri wake kama wanafahamu lugha ya kiswahili, wakamjibu wanelewa, ndipo akaanza kuzungumza kiswahili.
Huu ujumbe siyo wa wanyarwanda, wazungumzaji wakubwa wa lugha ya kiswahili wanafahamika, hivyo hicho kitisho ni ujumbe kwenu. Hajataja mhusika, mimi binafsi sitamtaja, lakini naamini walengwa mapema leo, watakuwa washafikiwa na huu ujumbe.
Alichokisema Rais Paul Kagame ni kwamba ukubwa wa pua siyo wingi wa kamasi. Kwamba Rwanda doesn't have the means, but they have the methods (ways). Hivyo kijiografia Rwanda ni nchi ndogo isiyo na rasilimali nyingi, lakini wao siyo migomba mifupi kama wanavyofikiriwa. Binafsi naamini, haivuki miaka miwili (2) kuna mtu kwenye huu ukanda wetu wa maziwa makuu atatoa kilio kikubwa sana.
View attachment 2433276
Ndio maana umenilewa kama ambavyo umeelewa mkuu unasaba huo ni hatari sana mtu yupo uvunguniMkuu,kwani mnyambo mwenye nasaba na wanyankole hana nasaba na watutsi wa Burundi au Rwanda!?
Hata kama,, Rwanda ni landlocked, inategemea Tanzania na kenya kwa bidhaa zake kufika rwanda,, ikitokea mtifuano, kenya na Tz wakamblock, atabakiza air corridor,,Rwanda hana airforce,, ndege yeyote inayomsupply, inaweza kutangwa njiani na ikashusha mzigo kenya au Tz,Labda hizo methods apate kwa mabwana zake huko USA na Ulaya na njia kubwa wanayoweza kutumia Ni kuratibu mapinduzi au sumu kwa Viongozi na sio kwenda front hiyo jeuri hawana.
PK hana lolote zaidi ya mdomo kama wa yule msemaji wa Sadam Hussein, Abou Sahaff. Mtu mwenye uwezo huwa haongei, ni matendo tu.Rais Paul Kagame alikuwa anaapisha mawaziri wapya hapo jana mapema. Alianza kutoa hotuba yake kwa lugha ya Kinyarwanda, lakini baadae akahamia kwenye lugha ya Kiingereza na baadaye akatoa kitisho kizito kwa lugha ya Kiswahili. Wengi wetu tumeona hicho kipande chenye lugha ya kiswahili kikisambaa huko mitandaoni hasahasa kwa raia wa Tanzania na Kenya. Kitendo cha kusambaa mtandaoni kwa kasi hivi, inaonesha kabisa walengwa wa ujumbe ni watu gani.
Kwenye FASIHI njia moja kuu ya kufikishia ujumbe ni kuifahamu HADHIRA, lakini kubwa zaidi ni kufahamu lugha ambayo HADHIRA hutumia. Siku zote kimetumika Kinyarwanda na Kiingereza, lakini leo hii na Kiswahili juu, tena sehemu ambayo anatoa vitisho. Kwenye Dakika ya 27, ameanza kuwaliza mawaziri wake kama wanafahamu lugha ya kiswahili, wakamjibu wanelewa, ndipo akaanza kuzungumza kiswahili.
Huu ujumbe siyo wa wanyarwanda, wazungumzaji wakubwa wa lugha ya kiswahili wanafahamika, hivyo hicho kitisho ni ujumbe kwenu. Hajataja mhusika, mimi binafsi sitamtaja, lakini naamini walengwa mapema leo, watakuwa washafikiwa na huu ujumbe.
Alichokisema Rais Paul Kagame ni kwamba ukubwa wa pua siyo wingi wa kamasi. Kwamba Rwanda doesn't have the means, but they have the methods (ways). Hivyo kijiografia Rwanda ni nchi ndogo isiyo na rasilimali nyingi, lakini wao siyo migomba mifupi kama wanavyofikiriwa. Binafsi naamini, haivuki miaka miwili (2) kuna mtu kwenye huu ukanda wetu wa maziwa makuu atatoa kilio kikubwa sana.
View attachment 2433276
Wameanza ofensive mpya weweunasikiliza redio za Maimai?Tunasikia M23 wamesalimu amri. Sasa Kagame sijui anasema nini. We will just stay tuned to the radio.
Huu mkwara uwezi ukaelewa😂😂Rais Paul Kagame alikuwa anaapisha mawaziri wapya hapo jana mapema. Alianza kutoa hotuba yake kwa lugha ya Kinyarwanda, lakini baadae akahamia kwenye lugha ya Kiingereza na baadaye akatoa kitisho kizito kwa lugha ya Kiswahili. Wengi wetu tumeona hicho kipande chenye lugha ya kiswahili kikisambaa huko mitandaoni hasahasa kwa raia wa Tanzania na Kenya. Kitendo cha kusambaa mtandaoni kwa kasi hivi, inaonesha kabisa walengwa wa ujumbe ni watu gani.
Kwenye FASIHI njia moja kuu ya kufikishia ujumbe ni kuifahamu HADHIRA, lakini kubwa zaidi ni kufahamu lugha ambayo HADHIRA hutumia. Siku zote kimetumika Kinyarwanda na Kiingereza, lakini leo hii na Kiswahili juu, tena sehemu ambayo anatoa vitisho. Kwenye Dakika ya 27, ameanza kuwaliza mawaziri wake kama wanafahamu lugha ya kiswahili, wakamjibu wanelewa, ndipo akaanza kuzungumza kiswahili.
Huu ujumbe siyo wa wanyarwanda, wazungumzaji wakubwa wa lugha ya kiswahili wanafahamika, hivyo hicho kitisho ni ujumbe kwenu. Hajataja mhusika, mimi binafsi sitamtaja, lakini naamini walengwa mapema leo, watakuwa washafikiwa na huu ujumbe.
Alichokisema Rais Paul Kagame ni kwamba ukubwa wa pua siyo wingi wa kamasi. Kwamba Rwanda doesn't have the means, but they have the methods (ways). Hivyo kijiografia Rwanda ni nchi ndogo isiyo na rasilimali nyingi, lakini wao siyo migomba mifupi kama wanavyofikiriwa. Binafsi naamini, haivuki miaka miwili (2) kuna mtu kwenye huu ukanda wetu wa maziwa makuu atatoa kilio kikubwa sana.
View attachment 2433276
Novels kama the Art of war!?Hata kama,, Rwanda ni landlocked, inategemea Tanzania na kenya kwa bidhaa zake kufika rwanda,, ikitokea mtifuano, kenya na Tz wakamblock, atabakiza air corridor,,Rwanda hana airforce,, ndege yeyote inayomsupply, inaweza kutangwa njiani na ikashusha mzigo kenya au Tz,
Anachojivunia huyu kagame,, amesoma sana novels, zinamdanganya, kuwa anaweza kupenyeza hitman wake nchi za east africa,,
Lakini nchi yeyote inaweza kutuma hitmen kufanya Termination,
Kinachosekana ni nia tu🤷🏾♂️
Peleka ushetani wako kuzimu..baradhuli mkubwa.Mjinga mama yako
Novels kama the Art of war!?
Hicho siyo novel, naongelea novels za akina Tom clancy, Mark Greaney, Brad thor..Novels kama the Art of war!?
Kha kumbe bash ni wa huko alahMama kamuweka BASHUNGWA wizara ya Ulinzi hakika atavuna alichokipanda kwa Mnyarwanda huyu