Paul Kagame katoa onyo kwa Kiswahili, walengwa mmepata ujumbe?

Paul Kagame katoa onyo kwa Kiswahili, walengwa mmepata ujumbe?

. Binafsi naamini, haivuki miaka miwili (2) kuna mtu kwenye huu ukanda wetu wa maziwa makuu atatoa kilio kikubwa sana
Wacha Bhwanah!
Umezungukaweeee, kidogo nijiondokee zangu!

Hakuna kitu hapo mkuu, asipoangalia huu ndio utakuwa mwisho wa Bwana Fito. M23 ni jiwe litakalomwangamiza.

Lakini kinachonifurahisha ni kuona unafiki/utapeli wa baadhi ya mataifa ya ukanda huu wa kujitwisha mzigo kwa jina la Jumuia, halafu wanafanya ghelesha kupeleka jeshi huko eti kulinda maslahi yao (ya nchi yao) kwa mgongo wa Jumuia.

Haya, jeshi linafika eneo la mapambano, hapo hapo hadithi inabadilika, eti wao wamekuja kulinda amani na siyo kuimarisha amani! M23 anawaangalia tu na kucheka.

Nisitoe hadithi ndefu, lakini sasa ni wazi, waCongo wenyewe sasa wameamua, hawataki kuchezewa na hivi vikaragosi na vinyago.

Kinachonipa moyo kwa upande wetu, ni kutofuata mkumbo wa hao wanaotumia jina la Jumuia kujiingiza na kutumika kama 'tissue' bila ya kujitambua.
Lakini ifahamike, tukiona maslahi yetu yanachezewa, tusisite kuyalinda.
 
..Kagame anawatishia KENYA ambao wamepeleka jeshi lao kupambana na waasi wa M-23.
Hakuna kitu hapo mkuu 'Joka'. Usihadaiwe na utapeli wa hao jamaa, hasa huyo msuluhishi.

Walipiga kelele nyingi za vitisho vya kwenda kuwamaliza vikundi vinavyofanya fujo. Jeshi linafika huko kwenye mapambano hadithi za pembeni zinaanza, badala ya kufanya kweli kama walivyokuwa wakipiga kelele hapo kabla.
Na inaonekana huu mchezo hujausoma vizuri: Kenya anamkingia kifua Kagame kiaina. Wewe soma vizuri kelele nyingi zinazotoka huko utauelewa mchezo wanaocheza.

Sasa Mkongo mwenyewe kaamua kufanya kazi, na nina hakika ataifanya na kuimaliza ipasavyo.
 
Kuwa dhaifu kuwashinda wadhaifu wengine wakati una nguvu zaidi yao unawezaje kujisifia..labda km huelewi dhana ninayoisema, muhimu sio kushinda wengine, muhimu ni hicho ulichopata kulinganisha na unachostahili kupata..
Wamekuwa dhaifu Tena si unawaona wa maana wewe au? Huna msimamo na hata huelewi unachosimamia.
 
Raisi Paul Kagame alikuwa anaapisha mawaziri wapya hapo jana mapema. Alianza kutoa hotuba yake kwa lugha ya Kinyarwanda, lakini baadae akahamia kwenye lugha ya Kiingereza na baadaye akatoa kitisho kizito kwa lugha ya Kiswahili. Wengi wetu tumeona hicho kipande chenye lugha ya kiswahili kikisambaa huko mitandaoni hasahasa kwa raia wa Tanzania na Kenya. Kitendo cha kusambaa mtandaoni kwa kasi hivi, inaonesha kabisa walengwa wa ujumbe ni watu gani.

Kwenye FASIHI njia moja kuu ya kufikishia ujumbe ni kuifahamu HADHIRA, lakini kubwa zaidi ni kufahamu lugha ambayo HADHIRA hutumia. Siku zote kimetumika Kinyarwanda na Kiingereza, lakini leo hii na Kiswahili juu, tena sehemu ambayo anatoa vitisho. Kwenye Dakika ya 27, ameanza kuwaliza mawaziri wake kama wanafahamu lugha ya kiswahili, wakamjibu wanelewa, ndipo akaanza kuzungumza kiswahili.

Huu ujumbe siyo wa wanyarwanda, wazungumzaji wakubwa wa lugha ya kiswahili wanafahamika, hivyo hicho kitisho ni ujumbe kwenu. Hajataja mhusika, mimi binafsi sitamtaja, lakini naamini walengwa mapema leo, watakuwa washafikiwa na huu ujumbe.

Alichokisema Raisi Paul Kagame ni kwamba ukubwa wa pua siyo wingi wa kamasi. Kwamba Rwanda doesn't have the means, but they have the methods (ways). Hivyo kijiografia Rwanda ni nchi ndogo isiyo na rasilimali nyingi, lakini wao siyo migomba mifupi kama wanavyofikiriwa. Binafsi naamini, haivuki miaka miwili (2) kuna mtu kwenye huu ukanda wetu wa maziwa makuu atatoa kilio kikubwa sana.
Hujamuelewa naona katumia Kiswahili ili kuongea na wakongomani wa kunako uwanja wa mapambano maana wanazungumza Kiswahili cha ‘kwa fasi ya’
 
Raisi Paul Kagame alikuwa anaapisha mawaziri wapya hapo jana mapema. Alianza kutoa hotuba yake kwa lugha ya Kinyarwanda, lakini baadae akahamia kwenye lugha ya Kiingereza na baadaye akatoa kitisho kizito kwa lugha ya Kiswahili. Wengi wetu tumeona hicho kipande chenye lugha ya kiswahili kikisambaa huko mitandaoni hasahasa kwa raia wa Tanzania na Kenya. Kitendo cha kusambaa mtandaoni kwa kasi hivi, inaonesha kabisa walengwa wa ujumbe ni watu gani.

Kwenye FASIHI njia moja kuu ya kufikishia ujumbe ni kuifahamu HADHIRA, lakini kubwa zaidi ni kufahamu lugha ambayo HADHIRA hutumia. Siku zote kimetumika Kinyarwanda na Kiingereza, lakini leo hii na Kiswahili juu, tena sehemu ambayo anatoa vitisho. Kwenye Dakika ya 27, ameanza kuwaliza mawaziri wake kama wanafahamu lugha ya kiswahili, wakamjibu wanelewa, ndipo akaanza kuzungumza kiswahili.

Huu ujumbe siyo wa wanyarwanda, wazungumzaji wakubwa wa lugha ya kiswahili wanafahamika, hivyo hicho kitisho ni ujumbe kwenu. Hajataja mhusika, mimi binafsi sitamtaja, lakini naamini walengwa mapema leo, watakuwa washafikiwa na huu ujumbe.

Alichokisema Raisi Paul Kagame ni kwamba ukubwa wa pua siyo wingi wa kamasi. Kwamba Rwanda doesn't have the means, but they have the methods (ways). Hivyo kijiografia Rwanda ni nchi ndogo isiyo na rasilimali nyingi, lakini wao siyo migomba mifupi kama wanavyofikiriwa. Binafsi naamini, haivuki miaka miwili (2) kuna mtu kwenye huu ukanda wetu wa maziwa makuu atatoa kilio kikubwa sana.
Tanzania kuviacha vinchi vidogo vidogo vinashambulia mshirika wetu kibiashara inaonyesha ni jinsi gani tusivyoijua safari yetu.

Nilimwelewa sana Mkwere alipoenda kuwapiga M23
 
Uwepo wa vurugu Congo ni aibu kwa majirani zake....huwezi kusema haikuhusu.
Huu ni ukweli mtupu, Mkwere alipopeleka jeshi DRC hawa wahuni walisambaratika wakabaki kubwatukia vyumbani mwao.

Kama DRC ameshakuwa mwanachama wa EAC nchi wanachama angalau basi zionyeshe kupambana na hali anayoipitia mwanachama mwenzao.

DRC ni soko kubwa sana kwa Tz.
 
Hakuna kitu hapo mkuu 'Joka'. Usihadaiwe na utapeli wa hao jamaa, hasa huyo msuluhishi.

Walipiga kelele nyingi za vitisho vya kwenda kuwamaliza vikundi vinavyofanya fujo. Jeshi linafika huko kwenye mapambano hadithi za pembeni zinaanza, badala ya kufanya kweli kama walivyokuwa wakipiga kelele hapo kabla.
Na inaonekana huu mchezo hujausoma vizuri: Kenya anamkingia kifua Kagame kiaina. Wewe soma vizuri kelele nyingi zinazotoka huko utauelewa mchezo wanaocheza.

Sasa Mkongo mwenyewe kaamua kufanya kazi, na nina hakika ataifanya na kuimaliza ipasavyo.
Kwanini mwanajumuia mkubwa kuliko wote amekaa kimya ?
 
..Kagame anawatishia KENYA ambao wamepeleka jeshi lao kupambana na waasi wa M-23.

You are my hero.
Quote Tweet
Muhoozi Kainerugaba
@mkainerugaba
·
Nov 6
As for M23, I think it is very, very dangerous for anybody to fight those brothers of ours. They are NOT terrorists! They are fighting for the rights of Tutsi in DRC.


Je wajua kwa nini Kagame na Museven hawatoki madarakani? Wajua kwa nini wanapigana kule DRC? The answer is said by Museven son!!
 
Raisi Paul Kagame alikuwa anaapisha mawaziri wapya hapo jana mapema. Alianza kutoa hotuba yake kwa lugha ya Kinyarwanda, lakini baadae akahamia kwenye lugha ya Kiingereza na baadaye akatoa kitisho kizito kwa lugha ya Kiswahili. Wengi wetu tumeona hicho kipande chenye lugha ya kiswahili kikisambaa huko mitandaoni hasahasa kwa raia wa Tanzania na Kenya. Kitendo cha kusambaa mtandaoni kwa kasi hivi, inaonesha kabisa walengwa wa ujumbe ni watu gani.

Kwenye FASIHI njia moja kuu ya kufikishia ujumbe ni kuifahamu HADHIRA, lakini kubwa zaidi ni kufahamu lugha ambayo HADHIRA hutumia. Siku zote kimetumika Kinyarwanda na Kiingereza, lakini leo hii na Kiswahili juu, tena sehemu ambayo anatoa vitisho. Kwenye Dakika ya 27, ameanza kuwaliza mawaziri wake kama wanafahamu lugha ya kiswahili, wakamjibu wanelewa, ndipo akaanza kuzungumza kiswahili.

Huu ujumbe siyo wa wanyarwanda, wazungumzaji wakubwa wa lugha ya kiswahili wanafahamika, hivyo hicho kitisho ni ujumbe kwenu. Hajataja mhusika, mimi binafsi sitamtaja, lakini naamini walengwa mapema leo, watakuwa washafikiwa na huu ujumbe.

Alichokisema Raisi Paul Kagame ni kwamba ukubwa wa pua siyo wingi wa kamasi. Kwamba Rwanda doesn't have the means, but they have the methods (ways). Hivyo kijiografia Rwanda ni nchi ndogo isiyo na rasilimali nyingi, lakini wao siyo migomba mifupi kama wanavyofikiriwa. Binafsi naamini, haivuki miaka miwili (2) kuna mtu kwenye huu ukanda wetu wa maziwa makuu atatoa kilio kikubwa sana.
Kuna tofauti gani kati ya means na methods
 
tuko busy na uchaguzi 2025.
Huko barabarani tuko busy na maving'ora 24/7 maspeed na kuweka mafoleni, sijui huwa tunawahi wapi na tunawahi nini maana yale ya msingi tunayopaswa kuyafanya hatuyafanyi..

Ruto anapambana kuongeza idadi ya diaspora wakenya duniani, wakati huo anaendeleza utaratibu wa kuzalisha skilled and intelligent workforce ya kenya ili itapakae kila kona duniani..

Tupo busy kubrainwash vijana na kuendelea kuwa chawa wa viongozi, tuko busy kuendelea kuongeza workforce pumbavu inayowaza siasa, tuko busy kufanya vijana wawe tegemezi wa baba zao wezi waliokwenye system.. We paralysized kila mahala na maadui wetu wanafuatilia nyendo zetu kila siku ili siku ikifika watuslave.
Uko sahihi hatuna vijana wenye hoja siku hizi wamebaki kusifia tu. Nchi haina development plan kila siku ni kusifia asante raisi kwa kutuletea blah blah.
 
Back
Top Bottom