Paul Kagame katoa onyo kwa Kiswahili, walengwa mmepata ujumbe?

Paul Kagame katoa onyo kwa Kiswahili, walengwa mmepata ujumbe?

Rais Paul Kagame alikuwa anaapisha mawaziri wapya hapo jana mapema. Alianza kutoa hotuba yake kwa lugha ya Kinyarwanda, lakini baadae akahamia kwenye lugha ya Kiingereza na baadaye akatoa kitisho kizito kwa lugha ya Kiswahili. Wengi wetu tumeona hicho kipande chenye lugha ya kiswahili kikisambaa huko mitandaoni hasahasa kwa raia wa Tanzania na Kenya. Kitendo cha kusambaa mtandaoni kwa kasi hivi, inaonesha kabisa walengwa wa ujumbe ni watu gani.

Kwenye FASIHI njia moja kuu ya kufikishia ujumbe ni kuifahamu HADHIRA, lakini kubwa zaidi ni kufahamu lugha ambayo HADHIRA hutumia. Siku zote kimetumika Kinyarwanda na Kiingereza, lakini leo hii na Kiswahili juu, tena sehemu ambayo anatoa vitisho. Kwenye Dakika ya 27, ameanza kuwaliza mawaziri wake kama wanafahamu lugha ya kiswahili, wakamjibu wanelewa, ndipo akaanza kuzungumza kiswahili.

Huu ujumbe siyo wa wanyarwanda, wazungumzaji wakubwa wa lugha ya kiswahili wanafahamika, hivyo hicho kitisho ni ujumbe kwenu. Hajataja mhusika, mimi binafsi sitamtaja, lakini naamini walengwa mapema leo, watakuwa washafikiwa na huu ujumbe.

Alichokisema Rais Paul Kagame ni kwamba ukubwa wa pua siyo wingi wa kamasi. Kwamba Rwanda doesn't have the means, but they have the methods (ways). Hivyo kijiografia Rwanda ni nchi ndogo isiyo na rasilimali nyingi, lakini wao siyo migomba mifupi kama wanavyofikiriwa. Binafsi naamini, haivuki miaka miwili (2) kuna mtu kwenye huu ukanda wetu wa maziwa makuu atatoa kilio kikubwa sana.

View attachment 2433276
Hiki kitisho sio cha Tanzania Rais Samia Suluhu ameimarisha diplomasia kwa majirani zetu wote Tanzania kwa sasa hatuna adui
 
3. Unasema Congo ni dhaifu so Wana take advantage?? Are u sure? Mbona hata hao wazungu na majeshi mengine ya Africa yanatumia mgongo wa vita kujinufaisha? Au ni halali Zimbabwe na Angola kuiba mafuta na Dhahabu ila Kwa Rwanda ni haramu? Au kuna double standards
Kwani umesahau majeshi yaliyopo chini ya UN walivyovamiwa hivi karibuni, na jana/juzi tu Mai mai kachukua mapanga kupambana na M23?
Hayo unayoyasema ya akina M7, sasa yamefikia kikomo. Usitegemee tena hivi vikabila kuji-'impose' katika kuwawala wengine.
Israel?
EEeeeh! Mfano huo usiutumie kabisa katika maswala ya eneo hili. Rwanda hawezi kuwa Israel wa Mafrika Mashariki.
 
Mnampa sifa sana Kagame
Hapana, anastahili Sifa za kipekee kabisa,kwanza alikomesha mauaji ya raia wa Rwanda waliokuwa wanauliwa na Serikali yao pili ameituliza Rwanda tatu kawaunganisha Wanyarwanda nne kaenda kuwapiga Magaidi kwa siku chache tu na kuwatoa katika Miji ya Jimbo hilo la Msumbiji kaskazini.
 
Ni bora Joseph Kabila arudi kuiongoza Kongo huyu Tishekedi Nchi imemshinda.
 
Katika speech ya Kagame amegusia point moja ya maana sana kasema "Amani ikipatikana Mashariki ya Kongo, Rwanda na Kongo zitafaidika kibiashara".

Angalia Vision ya Kagame halafu Muangalie Tishekedi Vision yake ni kuuchochea huu mgogoro ili azidi kubaki Madarakani acheleweshe Uchaguzi kwa kusema DRC iko Vitani na Rwanda.

Tishekedi ni Zero IQ bora haya Fally Ipupa angepewa hiyo Nchi.
 
Dah!
Hili tuliache. Umewapa ujiko mkubwa sana wasioustahiri.
Hawa watu walitumia udhaifu wa li nchi kubwa sana, lenye utajiri mkubwa kujitanua na kujipa umuhimu kupitiliza.
Inavyoelekea bayana kabisa sasa, makabila mengine yaliyoko eneo hilo, na wao sasa wamekuwa upande wa pili dhidi ya hicho kikundi cha M23.

Katika hali na namna hiyo, M23 itakuwa ikipambana katika eneo wasiloungwa mkono na jamii inayoishi humo. Kazi ya mapambano hayo itakuwa ngumu kwao.
Bila shaka unamaanisha udhaifu wa kijeshi, Congo ni nchi kubwa, yenye rasilimali nyingi, lakini bahati mbaya isiyo na uwezo wa kujilinda, ndio maana huyu Kagame anautumia huo udhaifu.

Kagame anachofanya kwa hizi kauli zake, ni kucheza na akili za watu, hasa kuwatisha wale waliokwenda kukisambaratisha kikundi chake cha wahuni, anashindwa kutoa kauli za moja kwa moja kwa kuogopa ataonekana yeye ndie mfadhili wao, sasa anachofanya ni kuwatisha wale wanaowapiga kwamba kombora lao lisitue Rwanda, huku ni kuwalinda waasi wa M23 kijanja.
 
Rais Paul Kagame alikuwa anaapisha mawaziri wapya hapo jana mapema. Alianza kutoa hotuba yake kwa lugha ya Kinyarwanda, lakini baadae akahamia kwenye lugha ya Kiingereza na baadaye akatoa kitisho kizito kwa lugha ya Kiswahili. Wengi wetu tumeona hicho kipande chenye lugha ya kiswahili kikisambaa huko mitandaoni hasahasa kwa raia wa Tanzania na Kenya. Kitendo cha kusambaa mtandaoni kwa kasi hivi, inaonesha kabisa walengwa wa ujumbe ni watu gani.

Kwenye FASIHI njia moja kuu ya kufikishia ujumbe ni kuifahamu HADHIRA, lakini kubwa zaidi ni kufahamu lugha ambayo HADHIRA hutumia. Siku zote kimetumika Kinyarwanda na Kiingereza, lakini leo hii na Kiswahili juu, tena sehemu ambayo anatoa vitisho. Kwenye Dakika ya 27, ameanza kuwaliza mawaziri wake kama wanafahamu lugha ya kiswahili, wakamjibu wanelewa, ndipo akaanza kuzungumza kiswahili.

Huu ujumbe siyo wa wanyarwanda, wazungumzaji wakubwa wa lugha ya kiswahili wanafahamika, hivyo hicho kitisho ni ujumbe kwenu. Hajataja mhusika, mimi binafsi sitamtaja, lakini naamini walengwa mapema leo, watakuwa washafikiwa na huu ujumbe.

Alichokisema Rais Paul Kagame ni kwamba ukubwa wa pua siyo wingi wa kamasi. Kwamba Rwanda doesn't have the means, but they have the methods (ways). Hivyo kijiografia Rwanda ni nchi ndogo isiyo na rasilimali nyingi, lakini wao siyo migomba mifupi kama wanavyofikiriwa. Binafsi naamini, haivuki miaka miwili (2) kuna mtu kwenye huu ukanda wetu wa maziwa makuu atatoa kilio kikubwa sana.

View attachment 2433276
Muoga sana huyu. Kila msimu ana vitisho na hatujawahi kuona akimsumbua mtu. Mission zake na operation zake zimekuwa zikifeli hadi kule DRC dhaifu.
Kauli nzuri aliotoa ni ile kwamba amani ni bora kuliko vita, kwamba yeye anafahamu vita sio kitu kizuri.
 
Tuko busy na uchaguzi 2025.

Huko barabarani tuko busy na maving'ora 24/7 maspeed na kuweka mafoleni, sijui huwa tunawahi wapi na tunawahi nini maana yale ya msingi tunayopaswa kuyafanya hatuyafanyi..

Ruto anapambana kuongeza idadi ya diaspora wakenya duniani, wakati huo anaendeleza utaratibu wa kuzalisha skilled and intelligent workforce ya kenya ili itapakae kila kona duniani..

Tupo busy kubrainwash vijana na kuendelea kuwa chawa wa viongozi, tuko busy kuendelea kuongeza workforce pumbavu inayowaza siasa, tuko busy kufanya vijana wawe tegemezi wa baba zao wezi waliokwenye system.. We paralysized kila mahala na maadui wetu wanafuatilia nyendo zetu kila siku ili siku ikifika watuslave.
Well explained.
 
Katika speech ya Kagame amegusia point moja ya maana sana kasema "Amani ikipatikana Mashariki ya Kongo, Rwanda na Kongo zitafaidika kibiashara".

Angalia Vision ya Kagame halafu Muangalie Tishekedi Vision yake ni kuuchochea huu mgogoro ili azidi kubaki Madarakani acheleweshe Uchaguzi kwa kusema DRC iko Vitani na Rwanda.

Tishekedi ni Zero IQ bora haya Fally Ipupa angepewa hiyo Nchi.
Aaaah, nawe una lako jambo. Huishi kushangaza!
 
Kwahiyo tuseme Kiswahili ni lugha muhimu Afrika kuliko hata kingereza ,maana hata rais wa Rwanda ameamua kutumia Kiswahili kwenye issue nzito na muhimu ya usalama wa nchi yake.
 
Bila shaka unamaanisha udhaifu wa kijeshi, Congo ni nchi kubwa, yenye rasilimali nyingi, lakini bahati mbaya isiyo na uwezo wa kujilinda, ndio maana huyu Kagame anautumia huo udhaifu.

Kagame anachofanya kwa hizi kauli zake, ni kucheza na akili za watu, hasa kuwatisha wale waliokwenda kukisambaratisha kikundi chake cha wahuni, anashindwa kutoa kauli za moja kwa moja kwa kuogopa ataonekana yeye ndie mfadhili wao, sasa anachofanya ni kuwatisha wale wanaowapiga kwamba kombora lao lisitue Rwanda, huku ni kuwalinda waasi wa M23 kijanja.
Kamba ya Kagame imefika mwisho, hana njia tena ya kujifanya yeye anamadaraka yoyote ya kufanya maamuzi ya nchi jirani.

Wakongo safari hii wakimpa mwanya tena wa kuendelea kuwasumbua wajilaumu wenyewe.
 
Kunguni ya mama ipo kazini.
Endeleeni kumpamba tu ila ukweli ata nyie mnauona. Tumekuwa madaraja kwa watawala wanafanya tu kila wanachojisikia ata kama kinaliumiza Taifa.
Ipo siku mwenyezi Mungu atawapigia wale wasio na nguvu ya kutenda.
huo muda wa kumsikiliza kagame umeupata wap? ......Umbeya tu kwenye nchi zawatu
 
Ukisoma comments hapa utaelewa kweli jiwe limetupwa gizani, na wanaenjoy tunavyo onyesha hofu zetu, na kuthibitisha kuwa PK anatisha.
Amtishe Nani?Sisi Tanzania tuna uwezo wa kuifanya hiyo nchi sehemu ya mkoa wetu kwa muda mfupi.nchi hiyo masikini.
 
Acha uwongo. Kati ya vitu nchi hii ni zero ni hiyo unayoita vetting.

Nchi hii, hata teuzi tu Rais huwa anapelekewa majina tu anateua bila kujua chochote.

Mimi Kuna watu nawajua wengi tu, siyo waTZ wamo kwenye system na siyo wabongo.

Kuna Mnyarwanda alisoma English medium fulani iko Karagwe, alivyomaliza La 7 akafaulu akapelekwa O-level Tarime sec, afaulu A-level akapelekwa Ihungo. Tayari akawa kwenye mfumo mpaka mkopo wa chuo na ajira.

Kati ya vitu Tanzania imekaa kizuzu ni Career development and recruitment.

Inategemeana tu na UCHAWA na connection, mtu yeyote anaweza akaokotwa tu akapewa uDED, RC au DC au hata Jeshini kicheo kwenda kusimamia watumishi waliokaa sehemu ya kazi kwa miaka 30.

Tena Kuna watu huwa wanateuliwa mpaka Rais anakuja kusaidiwa MITANDAONI, Mfano mzuri ni uliyekuwa uteuzi wa DG wa TPDC halafu akatumbuliwa baada ya masaa 2.
Wanamwacha massawe, wanaenda Kwa mwesiga
 
Tuko busy na uchaguzi 2025.

Huko barabarani tuko busy na maving'ora 24/7 maspeed na kuweka mafoleni, sijui huwa tunawahi wapi na tunawahi nini maana yale ya msingi tunayopaswa kuyafanya hatuyafanyi..

Ruto anapambana kuongeza idadi ya diaspora wakenya duniani, wakati huo anaendeleza utaratibu wa kuzalisha skilled and intelligent workforce ya kenya ili itapakae kila kona duniani..

Tupo busy kubrainwash vijana na kuendelea kuwa chawa wa viongozi, tuko busy kuendelea kuongeza workforce pumbavu inayowaza siasa, tuko busy kufanya vijana wawe tegemezi wa baba zao wezi waliokwenye system.. We paralysized kila mahala na maadui wetu wanafuatilia nyendo zetu kila siku ili siku ikifika watuslave.
Hivi yule jamaa wa mabakamabaka mwenye asili ya Tall aliyechomoka na kompyuta mpakato yenye mabaka alipatakina? Hata hvyo kuna wenye mabakamabaka wenye asili ya Tall kadhaa tunajumuika nao halafu hatushituki. Tall anaweza kuwa na info nyingi sana za wananchi wa uswahilini kuliko tunavyodhani. Uswahilini tumejiachia sna hadi kwenye sehemu nyeti. Tall huwa yupo smart sana kwenye data/info na anajua azitumie vp. Hivyo usije ukashangaa Argentina kufungwa Saudi Arabia.
 
Hivi yule jamaa wa mabakamabaka mwenye asili ya Tall aliyechomoka na kompyuta mpakato yenye mabaka alipatakina? Hata hvyo kuna wenye mabakamabaka wenye asili ya Tall kadhaa tunajumuika nao halafu hatushituki. Tall anaweza kuwa na info nyingi sana za wananchi wa uswahilini kuliko tunavyodhani. Uswahilini tumejiachia sna hadi kwenye sehemu nyeti. Tall huwa yupo smart sana kwenye data/info na anajua azitumie vp. Hivyo usije ukashangaa Argentina kufungwa Saudi Arabia.

Bahati nzuri mibongo ni VIAZI waioumbiwa kusahau.
 
Chonde wadau tusishabikie sanaa hili swala bali tumuombe Mwenyezi Mungu aingilie kati, DRC ameharibu sanaa kwanza aliaza kutuhumu mashirika yakimataifa kwamba yanachochea vita na uvunjifu wa amani DRC,Pili akamfukuza balozi wa Rwanda harshly wakati EAC ipo ndo mahali pakusemea, Tatu akaituhumu serikali ya Rwanda directly kuwa wanajihusisha na M23,wazungu wanaweza kuwa nyuma ya Rwanda maana na wao walituhumiwa pia kupitia mashirika yao ya UN(vita sio ukubwa wa nchi vita ya sasa ni technology) Tusali na kuswali tuombe Mungu atuepushe na hili pepo Viongozi wetu wajazwe hekima na busara aminaaaa
 
Back
Top Bottom