Ngiama makanda
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 1,552
- 2,741
kumbe rwanda wana population kubwa na wanamadiniWadogo wenzie kina Equatorial Guinea au Cape Verde ni matajiri yeye anapiga mdomo wakati anapakana na Nchi Tajiri,ana Hifadhi za Wanyama,ana population kubwa na ana Madini.
Huoni huyo ni mjinga mmja ambae anatafuta excuses Kwa wajinga kama wewe?
Jikite kwenye madaHuyu mkuu wa mkoa wa Rwanda anadhani kuongoza nchi ni sawa na kuongoza mkoa
Ndiokumbe rwanda wana population kubwa na wanamadini
Hifadhi ya taifa ya Sokwe wa milimani na nyinginezoNitajie rasilimali alizo nazo Rwanda.
pole mtutsi wewe, mwambie huyu baba enu huku hadhi yake ni sawa na akina Antony mtaka, chalamila nkJikite kwenye mada
Ndio
Subiri mda ufike mtalia kilio cha mbwa mwizipole mtutsi wewe, mwambie huyu baba enu huku hadhi yake ni sawa na akina Antony mtaka, chalamila nk
Chuki gani sasa?!! Lipi la UONGO hapo, mtake msitake huo ndio ukweli....Tunaposema huyu mtu anachuki na nchi yetu muwe mnaelewa na ana mapandikizi yake kibao kwenye mifumo yetu. Ni wakati Rais aifanyie kazi kikamilifu taarifa aliyopewa na CDF . Hilo dongo ni letu kabisa
Lakini kuomba omba ni sawa? Si sawaTunaposema huyu mtu anachuki na nchi yetu muwe mnaelewa na ana mapandikizi yake kibao kwenye mifumo yetu. Ni wakati Rais aifanyie kazi kikamilifu taarifa aliyopewa na CDF . Hilo dongo ni letu kabisa
Wewe umejuaje kuwa kainanga Tanganyika?Tunaposema huyu mtu anachuki na nchi yetu muwe mnaelewa na ana mapandikizi yake kibao kwenye mifumo yetu. Ni wakati Rais aifanyie kazi kikamilifu taarifa aliyopewa na CDF . Hilo dongo ni letu kabisa
If the owners of the natural resources go around begging, then you should know there's something wrong with their mindsβ - President Paul Kagame
My Take
Mdomo Kila mtu anao,swali Je yeye amefanya kipi Cha maana hapo Rwanda wakati Nchi yake ni LDC?
View: https://twitter.com/zoomafrika1/status/1751687168903246141?t=NxJF88fOVWuRygoaV1uIoQ&s=19
Zimbabwe na Kenya wameenda Italy kuomba ππ
View: https://twitter.com/ali_naka/status/1751742802591981687?t=nyIy2JtjceUcDTKN3AKIKw&s=19
ππWenye PhD za kutembeza bakuli, ujumbe huu unawahusu.
Ni maneno fikirishi kwa wale watawala wanaozurura na bakuli kuomba.
"Akili ya mtu mweusi ina matatizo."- Profesa Robert Watson
Well said mkuu, tatizo letu hatupendi ukweli.Japo simkubaligi huyu jamaa ila hapa kaongea ukweli kabisa.
Kuhusu anaifanyia nini Rwanda ,Rwanda haina rasimali zozote.
Kagame ana akili kubwa sana, sema tu sisi Watanzania asili yetu ni ujinga na hatupendi kuambiwa ukweli. Tumekuwa kama Waarab, wanaishi kimagumashi na uwongo kibao, ukiwaambia ukweli wanakusomea albadiri ufe. Tujiulize, hapa Kagame kakosea nini kusema haya? Waafrika wengi viongozi wetu ni wajinga, tuna kila aina ya madini lakini bado tu tuko nyuma kimaendeleo na hatujuwi nini cha kufanya. Tukuchukulie mfano wa hapa kwetu Tanzania. tuna shirika la umeme la Tanesco ambalo la hovyo kuwahi kutokea hapa nchini. Kila kukicha wanasingizia hakuna maji ya kutosha na ndiyo maana tunapata umeme wa mgao au kukosa kabisa na rais anaona it's ok kwa uwongo huo.If the owners of the natural resources go around begging, then you should know there's something wrong with their mindsβ - President Paul Kagame
My Take
Mdomo Kila mtu anao,swali Je yeye amefanya kipi Cha maana hapo Rwanda wakati Nchi yake ni LDC?
View: https://twitter.com/zoomafrika1/status/1751687168903246141?t=NxJF88fOVWuRygoaV1uIoQ&s=19
Zimbabwe na Kenya wameenda Italy kuomba ππ
View: https://twitter.com/ali_naka/status/1751742802591981687?t=nyIy2JtjceUcDTKN3AKIKw&s=19
Mjinga ni wewe unayetaka watu waamini kuwa tunafanya vizuri wakati mijamaa inanunua mahekalu Uarabuni.Wadogo wenzie kina Equatorial Guinea au Cape Verde ni matajiri yeye anapiga mdomo wakati anapakana na Nchi Tajiri,ana Hifadhi za Wanyama,ana population kubwa na ana Madini.
Huoni huyo ni mjinga mmja ambae anatafuta excuses Kwa wajinga kama wewe?
Hata kama dongo ni letu si ndo ukweli wenyewe. Braza, unataka hata Kagame aogope kutuambia ukweli? Tunao akina Mwijaku na Baba Levo sijui na yule bwege mwingine Dotto Magari wanatosha kutoa mapambio ya kibwege, siyo mtu smart kama Kagame.Tunaposema huyu mtu anachuki na nchi yetu muwe mnaelewa na ana mapandikizi yake kibao kwenye mifumo yetu. Ni wakati Rais aifanyie kazi kikamilifu taarifa aliyopewa na CDF . Hilo dongo ni letu kabisa