The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Kumbe ni Mbunge wangu Mtarajiwa ..... Watakuwa wameachiana na Bashite hao!! Kuna mchezo utakuwa unachezwa nyuma ya pazia ...!!wa misungwi na anataka kumpiga kitwanga anahonga wazi wazi. Kuna simu 500 za mnyeti na walevi wanamtaja wazi
Yule ni jiwe kweli kweli anaweza asiwa-replace na anajua hakuna kitu atafanywa.Ila nadhani hana jinsi. Lazima awareplace. Asipofanya hivyo atakuwa siyo mtu wa misimamo kwa baadhi ya watu.
Ndiyo waambie atakuwaje spika huku sheria nyingi hazijui?Spika wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania ni lazima awe na angalau shahada moja ya Sheria kutoka Chuo chochote kinachotambuliwa na TCU
Sasa kama Takukuru hapo misungwi wanataka wabaki ni historia waende wakamguse Mnyeti.wa misungwi na anataka kumpiga kitwanga anahonga wazi wazi. Kuna simu 500 za mnyeti na walevi wanamtaja wazi
Arudi hospitalini kwanza wagonjwa ni wengiNa yule Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto aliyetumbuliwa hagombei!!?
Kuna hatari Makonda akawa Mbunge, Mkuu wa Mkoa na Waziri kwa wati mmoja. [emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]Bila kujiuzulu Ukuu wa Mkoa?
Kwa hiyo ni Mkuu wa Mkoa pekee nchi nzima aliechukua fomu akiwa na madaraka yake yote ya Ukuu wa mkoa.
Mnaweza kuhisi amekuja kwenye kampeni kumbe yupo kwenye ziara ya kikazi, halafu mkaonyesa vidole vyenu vya Peopleeeeesss.
Na atapiga kampeni huku akiwa na Cheo Chake Cha Ukuu wa Mkoa kama Kawaida.
Halafu Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi yupo chini ya Mkuu wa Mkoa.
Kuna hatari Makonda akawa Mbunge, Mkuu wa Mkoa na Waziri kwa wati mmoja.
Chalamila, Ole Sabaya mnajisikiaje huko mliko.??
Majaliwa hawezi achwa hata kwa dawaWaziri Mkuu ajaye!
Hutaki, sikulazimishi!
Una uhakika watu hawajalalamika?Nyinyi ndio mnakosea, maana tangu jana Mnyeti kachukua hamjalalamika, leo kachukua Makonda mnalalamika, inaonyesha mna chuki binafsi na Makonda, au na nyie mna double standard?
Kumbe ndio maana hawataguswa hao ee..Sasa huyo wa Manyara ndiye mtoto kipenzi kuliko hata huyu wa dar na pia ni mtoto wa 'ndani' kabisaa wa familia ile kubwa.
Corridor zote huko serikalini wanajua hilo.
Aaah weee sio gondwe kweliJokate anaweza chukua jiji hili
Kumbuka huyu hajateuliwa kugombea ubunge ametia tu nia mpaka hapo chama kitakapomteua kugombea na kuchukua fomu za Tume ya uchaguzi ninayo mifano kadhaa ya wakuu wa Mikoa na Wilaya waliotia nia ambapo katika kipindi cha kura za maoni ndani ya chama waliomba waliposhindwa kuteuliwa na chama walirudi kwenye nafasi zao mmoja wao ni Mareham Abbas Kandoro akiwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza alitia nia kugombea ubunge huko kwao aliposhindwa kura za maoni ndani ya chama chake alirudi na kuendelea na ukuu wa MkoaSio kweli kaka.Tena kwa heshima kabisa usipotoshe umma.Kitendo tu Cha kuonesha kuwa unaenda kunihusisha na chama Fulani Cha siasa Ni kwamba kabla inatakiwa kuacha kazi,madaraka yako.Hii Ni kwa sababu mkuu wa mkoa anahudumia watu wa vyama Vyote.
Ndio maana katiba inakataza na kihistoria Hakuna mtu alienda kugombea chama fula Ni Kisha akashindwa akarudi palepale.sio kweli,Kama Ni hivyo hata mahakimu,mapolisi,majani,walimu,n.k wangekuwa wanaenda kuomba ridhaa, wakikataliwa wanarudi kwenye majukumu yao.Kama una ushahidi wa hayo uliyosema lete hapa.
Tunasubiri wawe wengi tukiwatumbua tusisumbuke kuandika barua moja moja itamaliza wino wa wananchiNyie mburulaz mbona hamuelewi? Kwani ni mkuu wa mkoa peke yake aliye kazini kuchukua fomu? Yule mwingine tangu jana amechukua, kwanini msiseme atumbuliwe? Nyumbu bana
Mapolisi na majeshi mengine hawatakiwi kuwa wanachama wa chama chochote cha kisiasa hali kadharika mahakimu na majaji nao hawatakiwi kuwa wanachama wa vyama vya kisiasa wakiutaka ubunge sharti kwanza wajiuzuru kisha wajiunge wawe kwenye vyama vya kisiasa Katiba yetu inataka mgombea ubunge lazima adhaminiwe na chama cha siasaSio kweli kaka.Tena kwa heshima kabisa usipotoshe umma.Kitendo tu Cha kuonesha kuwa unaenda kunihusisha na chama Fulani Cha siasa Ni kwamba kabla inatakiwa kuacha kazi,madaraka yako.Hii Ni kwa sababu mkuu wa mkoa anahudumia watu wa vyama Vyote.
Ndio maana katiba inakataza na kihistoria Hakuna mtu alienda kugombea chama fula Ni Kisha akashindwa akarudi palepale.sio kweli,Kama Ni hivyo hata mahakimu,mapolisi,majani,walimu,n.k wangekuwa wanaenda kuomba ridhaa, wakikataliwa wanarudi kwenye majukumu yao.Kama una ushahidi wa hayo uliyosema lete hapa.
Mnyeti ni msukuma na ni mtoto wa ndugu yake Janeth Magufuli. Kwao ni Misungwi. Na kama ulikuwa hujui ile team ya mpira inayoitwa Gwambina ni ya Mnyeti.Kwani Mnyeti ni Msukuma .............!!?
Yes,nakumbuka kwa kesi ya kandoro lakini kandoro hajaenda kuomba ridhaa akiwa Kama mkuu wa mkua,nadhani ilikuwa Kama case ya mzee Mwanri,mfano Mwanri akikosa Tena anaweza pewa ukuu wa mkoa Tena.Lakini Sina uhakika maana Sina kifungu halisi Cha sheria lakini kwa nnavokumbuka nadhani haikubalikiKumbuka huyu hajateuliwa kugombea ubunge ametia tu nia mpaka hapo chama kitakapomteua kugombea na kuchukua fomu za Tume ya uchaguzi ninayo mifano kadhaa ya wakuu wa Mikoa na Wilaya waliotia nia ambapo katika kipindi cha kura za maoni ndani ya chama waliomba waliposhindwa kuteuliwa na chama walirudi kwenye nafasi zao mmoja wao ni Mareham Abbas Kandoro akiwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza alitia nia kugombea ubunge huko kwao aliposhindwa kura za maoni ndani ya chama chake alirudi na kuendelea na ukuu wa Mkoa
Labda tusiwe na haraka ndo anatafutwa kureplace lakini lazimamchakato ufanyike vizuri tumpate mwingine mchapakazi.tusubiri
Ndugulile kaka yangu sasa utafanya nini ?Kagombee Ukonga kaka.