Paul Makonda: Ahsante Mungu katikati ya machozi umenipa mapacha wawili!

Status
Not open for further replies.
Mikono yako imetapakaa damu usilidhihaki jina la bwana Mungu wako! Laana zaidi itakushukia.
Sidhani kama kuna mtakatifu msafi duniani..hakuna mtu alikua mbaya kama sauli. Lakini kupitia yeye leo hii tumefahamu injili na kumjua Mungu.

Ili uwe mtakatifu lazima upitie dhambini, kupitia dhambi za sauli dunia ilijipatia mtakatifu wa kwanza ambae ni Stephano baada ya kupigwa mawe na sauli..

Mungu huchukua vilivypondeka..huchukua na kuviinua vitu vichafu. Leo sauli tunamuita baba mtakatifu na Mwanafalsa bora wa muda wote kuhawi tokea duniani.
Endelea kusema madhambi ya makonda kana kwamba wewe ni mtakatifu na umeona jina lako mbinguni so ulichobaki kufanya ni kumhukumu makonda.

Mungu anashangazana..Mungu huwaita walio wachafu..hula na wenye dhambi . Wewe mtakatifu ulishapata thwawabu yako hapa duniani.

Be humble mate life is full of surprise
 
Asante Sayansi ya kupandikiza. Asante pia kwa Mungu kwa kuruhusu watoto Embriyo zilizopandikizwa kukua.

Asante pesa,maana asingekuwa na hela ya kupandikiza watoto angewasikia tu.

Hapo shukran za pekee ziwaendee wachina

Europe wana IVF clinic nzuri! Hawashindwi kitu!!
Ongera Baba Kegan..Baba Mapacha!!

Hii inaonekana ni wazungu!!

Acheni wivu nyie watu, khaaaah!!
 
Huyu jamaa hayuko sawa kisaikolojia.

Anafosi sana attention na league za kutaka kuwaprove wrong walimwengu.

Na kibaya zaidi anajiona kama vile Mungu ni wake peke yake anaetakiwa kumsikiliza yeye tu na katika maisha yake snajiona hajawahi kukosea!!!

Nyakati kama hizi alipaswa ajitoe kabisa katika kwenye public attention mpaka ikitikea vinginevyo

Ulaya kazuiwa kwenda, angeenda hata Mwanza kupumzisha akili.

Hapa ndio unaona mali za dhulma kula mpaka uwe na roho la kikatili.
 
mkuu dhulma haidumu hata ikidumu inaangamiza
 
mkuu dhulma haidumu hata ikidumu inaangamiza
Jamaa kajilimbikizia mali lakini hana furaha.

Anazurula na bible makanisani, anatafuta attention lakini wapi.

Anapitia kipindi kigumu.

Magufuli kamtumiaa mpaka kaharibikiwa halafu naona kama anataka kumtosa.
 
Yeye ni nyuki mashine,gazeti lote hilo wakti watoto wa kupandikiza kama tembele.
Atulie wananzengo wanajua yeye joka la kibisa full
 
Huyu jamaa ana akili nzuri sana.
Wako wazinzi, waongo, wakifanya kila namna ya ubaya lkn bado hawajatambu UKUU wa Mungu ambao pamoja na maovu yao UMEWAHIFADHI. Bora PCM anajua ni Mdhambi ila Wema wa Mungu unahifadhi.
Mungu amuinue
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…