Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Basi kama anaamini Mungu why akaenda kwenye Sayansi ?Angeomba tu na asipandikize. Ila sasa hasemi kabisa kama kapandikiza. Si aseme tu ukweli ?Mungu humpa mtu jaribu analolimudu. Sasa Mungu amasaidie apate kazi kama lilivyo ombi wazazi wengine wengine wenye uhitaji huo wapate ili waweze kuwalea watoto wao