Basi kama anaamini Mungu why akaenda kwenye Sayansi ?Angeomba tu na asipandikize. Ila sasa hasemi kabisa kama kapandikiza. Si aseme tu ukweli ?Mungu humpa mtu jaribu analolimudu. Sasa Mungu amasaidie apate kazi kama lilivyo ombi wazazi wengine wengine wenye uhitaji huo wapate ili waweze kuwalea watoto wao
Pamoja na upopoma wake,ila alichagua mwanamke kisu sana...
Huyo anaomba hadi analia,(any way ana mengi anaombea)Basi kama anaamini Mungu why akaenda kwenye Sayansi ?Angeomba tu na asipandikize. Ila sasa hasemi kabisa kama kapandikiza. Si aseme tu ukweli ?
Kwani Chadema inaipenda CCM?Yeye alivyokuwa anauchukia upinzani alikuwa anafaidika nini?
Haya yote ni matokeo ya matendo yake akubaliane nayo tu
Hakika haiko amani ndani ya watendao maovuJamaa kajilimbikizia mali lakini hana furaha.
Anazurula na bible makanisani, anatafuta attention lakini wapi.
Anapitia kipindi kigumu.
Magufuli kamtumiaa mpaka kaharibikiwa halafu naona kama anataka kumtosa.
Dah inaonekana una chuki ya kikuda.hayo yote ya nini ? ,ata Kama kafanya inakuathiri vp mpaka useme hayo yote kwani ni wa kwanza kufanya.Asante pesa,maana asingekuwa na hela ya kupandikiza watoto angewasikia tu.
Hao ''wanaume wasioeleweka" wana sifa zipi?Pamoja na upopoma wake,ila alichagua mwanamke kisu sana...
Halafu sijui kwa nini wanaume wasioeleweka huwa wanapata wanawake wakali sana...dah
[emoji23][emoji23][emoji23] Dah imebidi nicheke tu kwa kweli, sio kwa mbinu hizo unazompatia baba wawili.Hao watoto wa kiume amwite John na wa kike amwite Samia huenda wakamkumbuka tena kwenye teuzi endapo wakishinda.?!)