Paul Makonda aipasua CCM, kigogo ndani ya chama atishia kujiuzulu

Yeye Kinana ana usafi gani;kwani aliacha Biashara ya kutorosha Madini ya Tanzanite na kuua Tembo wetu!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Makonda ataipasua CHADEMA. Ujio wa Makonda umefanya Mbowe na wahuni wenzake wafute mikutano yao ya unafiki. Mabeberu waliokuwa wanawapa pesa kupinga mkataba wa bandari wameacha baada ya mkataba kusainiwa. Mbowe na genge lake wamebaki kuhaya haya tu
Bila kumtaja Mbowe huwezi lala.
Jitahidi umzalie Katoto kamoja tu uwe naye karibu zaidi nafsi yako itulie tulii.
 
Makonda ndiye Makamu wa Mwenyekiti wa CCM ajaye kabla ya 2025 kufika. Na ndiye Waziri Mkuu 2025-2030.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…