Pre GE2025 Paul Makonda akutana na Vijana zaidi ya 223 maarufu kama wadudu ofisini kwake na kuwataka kuwa walinzi na mabalozi wa kutangaza mazuri ya Arusha

Pre GE2025 Paul Makonda akutana na Vijana zaidi ya 223 maarufu kama wadudu ofisini kwake na kuwataka kuwa walinzi na mabalozi wa kutangaza mazuri ya Arusha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huo ni wivu baada ya kuona wadudu a.k.a viwaviwavi wanazidi kupata airtime na publicity.
 
Kuna mshua niliwahi kumsoma anaitwa Prof. John henrick Clarke vilevile kuna siku niliwahi kuhudhuria mdahalo mmoja alikuwepo Prof. P.L.O Lumumba wa Kenya oyaaa sisi bado sana.

Yani unaweza jikuta mtu ukasema sisi kama tuliumbwa tuishi hivi hivi tu.
Kabisa Mkuu
 
Wakuu,

Hawa wadudu wameapishwa kuwa walinzi na kupambana watu kwa mafunzo gani? Kwa sifa gani walizonazo mpaka Makonda ameamua kuwaapisha? Huku "KUPAMBANA" na kila mtu "AKAYECHAFUA" heshima na thamani ya Mkoa wa Arusha inamaana tayari wameshapewa tiketi ya kushika silaha na kujeruhi watu wakitoa tu sababu fulani amechafua heshima ya mkoa wa Arusha.

Na HESHIMA ndio ipi? Mtu akikosoa uwajibikaji wa viongozi Arusha? Au wanaotoa taarifa za Makonda kulala hoteli ya Gran Melia wakati kuna malazi yake yeye kama Mkuu wa Mkoa?

Hili halipaswi kufumbiwa macho, ukizangatia tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu 2025.

Walianza kwenda kufanya siasa kwenye makanisa na misikiti, wakaenda kuanza kufanya ukarabati wa mchongo, sasa wanaanza kuapisha vikundi na kuviita vya "Ulinzi"! Na hakuna kiongozi wowote anayetetea hili?

Wakuu mnaonaje hili?

Una upeo mdogo sana kichwani mwako
 
Wakuu,

Hawa wadudu wameapishwa kuwa walinzi na kupambana watu kwa mafunzo gani? Kwa sifa gani walizonazo mpaka Makonda ameamua kuwaapisha? Huku "KUPAMBANA" na kila mtu "AKAYECHAFUA" heshima na thamani ya Mkoa wa Arusha inamaana tayari wameshapewa tiketi ya kushika silaha na kujeruhi watu wakitoa tu sababu fulani amechafua heshima ya mkoa wa Arusha.

Na HESHIMA ndio ipi? Mtu akikosoa uwajibikaji wa viongozi Arusha? Au wanaotoa taarifa za Makonda kulala hoteli ya Gran Melia wakati kuna malazi yake yeye kama Mkuu wa Mkoa?

Hili halipaswi kufumbiwa macho, ukizangatia tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu 2025.

Walianza kwenda kufanya siasa kwenye makanisa na misikiti, wakaenda kuanza kufanya ukarabati wa mchongo, sasa wanaanza kuapisha vikundi na kuviita vya "Ulinzi"! Na hakuna kiongozi wowote anayetetea hili?

Wakuu mnaonaje hili?

WATATUMIWA NA MHUSIKA KUUMIZA WATU
 
Wakuu,

Hawa wadudu wameapishwa kuwa walinzi na kupambana watu kwa mafunzo gani? Kwa sifa gani walizonazo mpaka Makonda ameamua kuwaapisha? Huku "KUPAMBANA" na kila mtu "AKAYECHAFUA" heshima na thamani ya Mkoa wa Arusha inamaana tayari wameshapewa tiketi ya kushika silaha na kujeruhi watu wakitoa tu sababu fulani amechafua heshima ya mkoa wa Arusha.

Na HESHIMA ndio ipi? Mtu akikosoa uwajibikaji wa viongozi Arusha? Au wanaotoa taarifa za Makonda kulala hoteli ya Gran Melia wakati kuna malazi yake yeye kama Mkuu wa Mkoa?

Hili halipaswi kufumbiwa macho, ukizangatia tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu 2025.

Walianza kwenda kufanya siasa kwenye makanisa na misikiti, wakaenda kuanza kufanya ukarabati wa mchongo, sasa wanaanza kuapisha vikundi na kuviita vya "Ulinzi"! Na hakuna kiongozi wowote anayetetea hili?

Wakuu mnaonaje hili?

Go Makonda go....
 
Back
Top Bottom