johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Kwani Pengo ndio hapendi maendeleo?!Anaonyesha picha za barabara zilizojengwa.
Nimejikuta nawaonea huruma viongozi wangu wa dini wameacha kazi zao wanaongelea barabara.
Pengo si angelala usingizi nyumbani.