Paul Makonda akutana na Viongozi wa madhehebu na Taasisi za dini, asema anayoyafanya Rais Magufuli yanazidi maelekezo ya ilani ya CCM

Paul Makonda akutana na Viongozi wa madhehebu na Taasisi za dini, asema anayoyafanya Rais Magufuli yanazidi maelekezo ya ilani ya CCM

Anaonyesha picha za barabara zilizojengwa.

Nimejikuta nawaonea huruma viongozi wangu wa dini wameacha kazi zao wanaongelea barabara.

Pengo si angelala usingizi nyumbani.
Kwani Pengo ndio hapendi maendeleo?!
 
Jambo zuri anachofanya makonda ni moja ya political strategic kueleza kitu gani Magufuli anachofanya ili hata wasiojua wapate kujua na iwe rahisi kupata mtaji wa kisiasa hiki ndio inawashindaga vyama vya upinzani.

Mwaka 2015 upinzani walishinda halmashauri nyingi kuliko kipindi chote lakini wameshindwa kuwaeleza wapiga kura wao Nini wamefanya tangu wachukue halmashauri hizo kiufupi wapiga kura wao hawajui Nini wanafanya alafu wakishindwa uchaguzi wanaanza kulalamika eti wanaibiwa kura.
 
Yaani hili limekuja kipindi hiki cha uchaguzi wa kihuni wa serikali za mitaa, hivi hawa viongozi wa dini hawaoni kuwa hii ni charm offensive dhidi yao ili kuwalainisha na kuwafunga midomo wasikemee uwendawazimu uliotokea nchini kipindi hiki?. hawa viongozi wa dini wanatumiwa na wanasiasa ili kuendeleza dhulma dhidi ya haki za wananchi!
 
Jambo zuri anachofanya makonda ni moja ya political strategic kueleza kitu gani Magufuli anachofanya ili hata wasiojua wapate kujua na iwe rahisi kupata mtaji wa kisiasa hiki ndio inawashindaga vyama vya upinzani. Mwaka Jana upinzani walishinda halmashauri nyingi kuliko kipindi chote lakini wameshindwa kuwaeleza wapiga kura wao Nini wamefanya tangu wachukue halmashauri hizo kiufupi wapiga kura wao hawajui Nini wanafanya alafu wakishindwa uchaguzi wanaanza kulalamika eti wanaibiwa kura.

Mwaka jana?
uchaguzi gani huo kijana/

by the way kama ni kwlei mmefanya yote hayo, manogopa nini sasa uchaguzi?

hivi hao unaosema wameshindwa sindio wamekatazwa hata kufanya vikao vya ndani ?
 
God Is Not Stupid

God will burn this people for their mockery over him....

Wait and see!!

Cheza na vyote sio nguvu za Mungu

Zitawaangamiza na kuwaponda vipande vipande na halitosalia jiwe juu ya jiwe

Na mseme Amina!!!...
Mungu gani? Atakua a foolish and a stupid god, kwanza Mungu hayupo. Ni mataahira tu wanaweza kuogopa kitu ambacho hakipo.
 
Dr Malasusa wa KKKT, askofu Sosthenes wa Anglican, Kardinali Pengo wa Katotiki na shehe mkuu wa waislamu wote wa mkoa wa Dsm wamehudhuria mkutano huu wa kipekee!
Correction.

Ni Sheikh Mkuu wa Bakwata DSM
 
Huyu jama yuko smart hatari, nashangaa sana wanaotukana kila leo eti hana vyeti na anabebwa, ni wachache sana wenye uwezo wa kufanya anayofanya, anaelezea vitu ambavyo viko kichwani na anavielewa na anafatilia.
 
Mwaka jana?
uchaguzi gani huo kijana/

by the way kama ni kwlei mmefanya yote hayo, manogopa nini sasa uchaguzi?

hivi hao unaosema wameshindwa sindio wamekatazwa hata kufanya vikao vya ndani ?
Kwanini useme "Kama ni kweli mmefanya yote hayo,mnaogopa Nini sasa uchaguzi" me sio mwanasiasa Wala Sina itikadi ya chama chochote Cha siasa huna sababu yakuongea hayo maneno.Hayo ni maoni yangu tu.
 
Ni katika ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere.

Karibu!

Kardinali Pengo na Sheikh wa mkoa kwa niaba ya Mufti wanauombea mkutano huo.

Sasa viongozi wa dini wanaangalia mkanda wa video unaomuonyesha RC Makonda akitolea ufafanuzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo.
afanye hii mikutano ka mwisho mwisho maana siku zinakwenda kwa kasi kubwa!
 
Wasisahau kuuombea na uchaguzi wetu wa Sirikali ya mitaa!! Kwa sasa ni mwendo wa maombi tu, maendeleo bila maombi hayaji..Ushindi bila maombi hauji
 
Back
Top Bottom