Paul Makonda akutana na Viongozi wa madhehebu na Taasisi za dini, asema anayoyafanya Rais Magufuli yanazidi maelekezo ya ilani ya CCM

Paul Makonda akutana na Viongozi wa madhehebu na Taasisi za dini, asema anayoyafanya Rais Magufuli yanazidi maelekezo ya ilani ya CCM

So hoja yako nn
Hoja yako iliyozungumzia waislamu na machinjio hayo hayana msingi. Miaka 50 iliyopita tulikuwa na kiwanda pale kawe ambapo process zilikuwa hizo hizo na nyama toka kiwanda hicho zilikuwa zinauzwa dunia nzima.
 
Jamaa amekuwa msemaji ma-wizara mbalimbali nchini Tanzania.
Kweli ile nafasi ya U-makamu wa Rais wa private anaitendea kazi sawa sawa.
 
Sasa unatambua vp imani kama unachinja wa machine?

Vp machine itafuata taratibu za dini?
Vyovyote iwavyo kikubwa ichinjwe, lazima imani za Watu zitazingatiwa

Sidhani km Viongozi hawatambui hilo
 
Mkuu nadhan huna uelewa wowote katika ulichokiandika rud kasome din vzr . nyiny ndo wale mnaokataa hata kilichochinjwa na mkristo kwasababu hujui hata din yako ila unaifata kwa mkumbo rudi darasan usome na uufahamu uislamu kwa dalili na sio kwa maneno ya mashekh wako walioshiba wali na maandaz ya maulid na ujue kauli za maulamaa wanasemaje na ukapekue nususi za kitabu na sunnah Allah akufanyie wepesi katika ufahamu wako
 
Kuna wakati unaangalia Mapito inayopitia nchi kwa sasa unajiuliza yaani tumegeuka kuwa nchi ya kishamba namna hii kwa speed ya ajabu kwa nini?
Kweli Rais wa nchi ndio dira akiwa mchangamfu basi nchi inachangamka, mshirikina basi mwelekeo wa nchi unakuwa hivyo au MTU mwenye utu pia mnaenda mkondo huo.
Sasa awe mshamba! Lahaula! Hivyo ndiyo inakuwa njia yenu ya kufuata.
Ushamba na ujanja ni maoni ya mtu binafsi cha muhimu ni tija ya mtu anapopewa nafasi ya uongozi.

Wajanja ndio hao waliokuwa wanakula bata kwa mishahara hewa.
 
Ok nashukuru twende taratibu,nieleweshe kama uislamu unaruhusu kula mnyama aliyechinjwa na machine nipe na aya zake.
Mkuu nadhan huna uelewa wowote katika ulichokiandika rud kasome din vzr . nyiny ndo wale mnaokataa hata kilichochinjwa na mkristo kwasababu hujui hata din yako ila unaifata kwa mkumbo rudi darasan usome na uufahamu uislamu kwa dalili na sio kwa maneno ya mashekh wako walioshiba wali na maandaz ya maulid na ujue kauli za maulamaa wanasemaje na ukapekue nususi za kitabu na sunnah Allah akufanyie wepesi katika ufahamu wako
 
Takwimu zinaonesha WaTz sio walaji wa nyama wala sio wanywaji wa maziwa.

Hapa naona tatizo ni 'smartphone'. Kila mtu mjanja
 
Nimemsikia mh Makonda akielezea mafanikio ya serikali ya awamu ya 5.
Amegusia machinjio ya vingunguti amesema mnyama anaingia mzima lakini anatoka vipande vya nyama kwa maana hiyo swala la kuchinjwa halipo.
Kwani Hataakichinjwa kwa utaratibu unaoutaka anatoka mzima???
 
Kwani waisilamu lazima wale,tutapeleka nyama mpaka nje ya nchi na wakitaka kula watengeneze machinjio ya kiislam.
Mbona shule wameweza????
 
Back
Top Bottom