Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 12,000
Aliruhusiwa kuchinja sio lazima awe sheikh hapana.
Huyo anajiona yeye ni bora kuliko hao maaskofu wote waliopo ukumbini.Dr Malasusa wa KKKT, askofu Sosthenes wa Anglican, Kardinali Pengo wa Katotiki na shehe mkuu wa waislamu wote wa mkoa wa Dsm wamehudhuria mkutano huu wa kipekee!
Hoja yako iliyozungumzia waislamu na machinjio hayo hayana msingi. Miaka 50 iliyopita tulikuwa na kiwanda pale kawe ambapo process zilikuwa hizo hizo na nyama toka kiwanda hicho zilikuwa zinauzwa dunia nzima.So hoja yako nn
Vyovyote iwavyo kikubwa ichinjwe, lazima imani za Watu zitazingatiwa
Sidhani km Viongozi hawatambui hilo
Ushamba na ujanja ni maoni ya mtu binafsi cha muhimu ni tija ya mtu anapopewa nafasi ya uongozi.Kuna wakati unaangalia Mapito inayopitia nchi kwa sasa unajiuliza yaani tumegeuka kuwa nchi ya kishamba namna hii kwa speed ya ajabu kwa nini?
Kweli Rais wa nchi ndio dira akiwa mchangamfu basi nchi inachangamka, mshirikina basi mwelekeo wa nchi unakuwa hivyo au MTU mwenye utu pia mnaenda mkondo huo.
Sasa awe mshamba! Lahaula! Hivyo ndiyo inakuwa njia yenu ya kufuata.
Mkuu nadhan huna uelewa wowote katika ulichokiandika rud kasome din vzr . nyiny ndo wale mnaokataa hata kilichochinjwa na mkristo kwasababu hujui hata din yako ila unaifata kwa mkumbo rudi darasan usome na uufahamu uislamu kwa dalili na sio kwa maneno ya mashekh wako walioshiba wali na maandaz ya maulid na ujue kauli za maulamaa wanasemaje na ukapekue nususi za kitabu na sunnah Allah akufanyie wepesi katika ufahamu wako
Hata wewe hufahamu process za machinjio zitakavyokuwa.Kwanini mnataka kutuchinjia kila siku atutaki mtu yoyote achinje sasa ni zamu ya mashine,mashine haina dini
Kwani Hataakichinjwa kwa utaratibu unaoutaka anatoka mzima???Nimemsikia mh Makonda akielezea mafanikio ya serikali ya awamu ya 5.
Amegusia machinjio ya vingunguti amesema mnyama anaingia mzima lakini anatoka vipande vya nyama kwa maana hiyo swala la kuchinjwa halipo.
Kwanini mnataka kutuchinjia kila siku atutaki mtu yoyote achinje sasa ni zamu ya mashine,mashine haina dini
Wewe hujui kuwa Dsm ndio Tanzania?!Jamaa amekuwa msemaji ma-wizara mbalimbali nchini Tanzania.
Kweli ile nafasi ya U-makamu wa Rais wa private anaitendea kazi sawa sawa.
Nyama ya uchinji?Jamaa wanaogopa kupoteza mapato
Ficha ukilaza wako unapojadili mambo na watu wenye akili zao,unaonekana bado una akili zakusubiri ugali wa shikamoo.Hatuwezi kuwaacha na upumbavu wenu mtajihisi mpo timamu...!!