Pre GE2025 Paul Makonda ameagiza Waziri wa TAMISEMI kumsimamisha kazi Mkurugenzi wa Pangani Haraka Sana

Pre GE2025 Paul Makonda ameagiza Waziri wa TAMISEMI kumsimamisha kazi Mkurugenzi wa Pangani Haraka Sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Done
Screenshot_20240121_192840_Instagram.jpg
 
Nenda mahakamani kama una malalamiko.
MahakamaCCM??

Ngoja nikukumbushe tu huyu alikua ni jaji mkuu wa Tanzania Marehemu Augustino Ramadhani hapo ni akichukua fomu ya kugombea urais kupitia CCM 2015!

Sasa kama jaji mkuu ni kada wa CCM kuna uhuru wa mahakama chawa/kiroboto wa Samia?

THINK THINK THINK!!!
images (4).jpeg
 
MahakamaCCM??

Ngoja nikukumbushe tu huyu alikua ni jaji mkuu wa Tanzania Marehemu Augustino Ramadhani hapo ni akichukua fomu ya kugombea urais kupitia CCM 2015!

Sasa kama jaji mkuu ni kada wa CCM kuna uhuru wa mahakama chawa/kiroboto wa Samia?

THINK THINK THINK!!!
View attachment 2878799
Kwani ninyi CHADEMA si huwa ni kwenye mahakama hizo hizo ambazo hushinda kesi?

Tatizo lenu ninyi ni kuwa mahakama inakuwa huru pale tu mnaposhinda kesi zenu.lakini mkishindwa kesi mnaanza vimaneno maneno tu
 
Kwani ninyi CHADEMA si huwa ni kwenye mahakama hizo hizo ambazo hushinda kesi?

Tatizo lenu ninyi ni kuwa mahakama inakuwa huru pale tu mnaposhinda kesi zenu.lakini mkishindwa kesi mnaanza vimaneno maneno tu
Jaji mkuu CCM..

Rais CCM..

Spika CCM..

Unazungumzia kesi za kubumba kame ile ya Mbowe kuwa ni gaidi?
Ile ilikua ni suala la muda serikali ingejivua nguo ndio maana DPP akaweka mpira kwapani.
 
Kwani si wangepigiana simu na Waziri, kuna sababu gani ya kupayuka majukwaani ili tuone kuwa wanafanya kazi wakati CCM = Serikali tu....
Wanatuona wajinga kutufanyia maigizo.
 
Chama na serikali yake vipo kazini zidi ya wote wanaofanya kazi kwa mazoea.
IMG-20240121-WA0018.jpg
 
Haangaliwi mtu sura yake katika kumuwajibisha. Kinachoangaliwa ni utimizwaji wa majukumu na kuwajibika.ukishindwa kutimiza majukumu yako ni lazima uwajibishwe Bila kuangalia wewe ni nani.
Mbona mwenyekiti wa ccm amefeli majukumu ya Urais na hachukuliwi hatua!?
 
Mbona mwenyekiti wa ccm amefeli majukumu ya Urais na hachukuliwi hatua!?
Acha kuropoka ropoka kama mlevi wa gongo. Unaanzia wapi kusema amefeli wakati unaona namna uchumi wa nchi unavyoendelea kufanya vizuri,kugusa maisha ya watu.kijenga miradi ya kimkakati kwa wingi,kujenga miradi ya huduma za jamii kila kona ya Taifa letu.kuvutia wawekezaji na mafuriko ya watalii kuja nchini.kuongeza makusanyo ya kodi bila habari za kufungiana biashara n.k.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Taifa Mheshimiwa Paul Makonda ametoa maagizo ya chama kwa waziri wa TAMISEMI Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa kumsimamisha kazi mkurugenzi mtendaji wa Pangani Haraka sana.

Hii ni baada ya kukutana na kero nyingi sana katika halmashauri hiyo zilizotolewa na wananchi pamoja na Wafanyabiashara mbalimbali ambao wamekuwa wakitoa huduma kwa halmashauri lakini hawalipwi pesa zao ,na wanapodai haki zao za kulipwa madai yao wamekuwa wakipewa majibu yasiyoridhisha huku mkurugenzi akijifanya Mungu mtu.

Mheshimiwa Makonda pia ametoa maagizo kwa Mh waziri kuhakikisha kuwa anaunda timu na kuipeleka Pangani kwenda kufanya uchunguzi wa masuala mbalimbali ambayo yamekuwa ni kero na kulalamikiwa na wananchi . Pia amezungumzia suala la kukwama kwa miradi ya serikali na masuala mengine mengi sana yanayochochea chuki ya wananchi kwa serikali yao.

Katika hatua nyingine Ametoa pia kauli nzito sana iliyotetemesha na kuibua shangwe kwa wananchi baada ya kuagiza wakurugenzi wote nchini kushugulikia kero za wananchi ,na kwamba mahali ambapo itaonekana mkurugenzi ameshindwa kutatua kero basi chama hakitasita kutoa maagizo kwa serikali ya kusimamishwa kazi kwa mhusika. Lakini pia amewaagiza wenyeviti wote wa CCM nchini wilaya na mikoa kutoa taarifa juu ya wakuu wa mikoa,wilaya ,wakurugenzi na watendaji wengine wa serikali wanaoshindwa kufanya kazi na kutimiza majukumu yao vizuri ili wachukuliwe hatua.

Ndugu zangu Watanzania kupitia jukwaa hili niliwatahadhalisha sana na kuwasihi sana viongozi wote wa serikali mikoani na wilayani kuwa waanze kufanya kazi na kwenda kwa wananchi kuwasikiliza kero zao.niliwaambia ya kuwa ziara za Mheshimiwa Makonda zitakuwa za moto sana tena sana na zitasomba wengi sana hasa wale wazembe na wanaofanya kazi kwa mazoea na kujifanya miungu watu hawatasalimika wala kuachwa salama katika ziara za Mheshimiwa Makonda. Kwa sababu kila mtu anafahamu ya kuwa Mheshimiwa Makonda hanaga huruma wala subira wala uvumilivu kwa wazembe kazini.

Kazi iendelee,Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.

Taarifa mpya ya hivi punde.

Ni kuwa Tayari muda huu mkurugenzi amesimamishwa kazi na waziri wa TAMISEMI Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa kama alivyoelekezwa na kuagizwa na chama. Amesimamishwa ili kupisha uchunguzi.
View attachment 2878884
Kwahiyo makonda anakuwa juu ya mama ambaye ndiye mamlaka ya uteuzi
 
Jaji mkuu CCM..

Rais CCM..

Spika CCM..

Unazungumzia kesi za kubumba kame ile ya Mbowe kuwa ni gaidi?
Ile ilikua ni suala la muda serikali ingejivua nguo ndio maana DPP akaweka mpira kwapani.
Kwa hiyo mnaposhindaga kesi zenu huwa mnakuwa na jaji mkuu wenu? Tangia lini spika wa bunge ameenda mahakamani kusimamia kesi na kutoa uamuzi wa kesi?
 
Acha kuropoka ropoka kama mlevi wa gongo. Unaanzia wapi kusema amefeli wakati unaona namna uchumi wa nchi unavyoendelea kufanya vizuri,kugusa maisha ya watu.kijenga miradi ya kimkakati kwa wingi,kujenga miradi ya huduma za jamii kila kona ya Taifa letu.kuvutia wawekezaji na mafuriko ya watalii kuja nchini.kuongeza makusanyo ya kodi bila habari za kufungiana biashara n.k.
Wewe ndio unaropoka ropoka. Watu hawafanyi kazi sababu ya ukosefu wa UMEME wewe unaleta Nyenyenye!
 
Kwa hiyo mnaposhindaga kesi zenu huwa mnakuwa na jaji mkuu wenu?
Aina za kesi ndio kama hizo nilizokutajia za kubumba , mbona husemi Bob Chacha Wangwe alipeleka kesi ya kuzuia wakurugenzi kusimamia uchaguzi ikatupiliwa mbali?

Wakurugenzi wanateuliwa na rais , Magufuli akawaambia "Nikupe nyumba , gari na bado umtangaze mpinzani utanijua vizuri" au hii ilikupita kiroboto wa Samia
Tangia lini spika wa bunge ameenda mahakamani kusimamia kesi na kutoa uamuzi wa kesi?
Mimi nimesema wapi spika anaenda mahakamani ?

Au na wewe uraia ulipata F kama Nape?

Hao ni wakuu wa mihimili 3 (Executive, Judiciary, Legislature kwa kimombo)

Jielimishe uachane na kupewa script za kuja kusifia humu.
 
Aina za kesi ndio kama hizo nilizokutajia za kubumba , mbona husemi Bob Chacha Wangwe alipeleka kesi ya kuzuia wakurugenzi kusimamia uchaguzi ikatupiliwa mbali?

Wakurugenzi wanateuliwa na rais , Magufuli akawaambia "Nikupe nyumba , gari na bado umtangaze mpinzani utanijua vizuri" au hii ilikupita kiroboto wa Samia

Mimi nimesema wapi spika anaenda mahakamani ?

Au na wewe uraia ulipata F kama Nape?

Hao ni wakuu wa mihimili 3 (Executive, Judiciary, Legislature kwa kimombo)

Jielimishe uachane na kupewa script za kuja kusifia humu.
Kwa hiyo unaposema kesi ya mtu fulani ilitupwa je kwa akili yako ulitaka mlalamikaji apewe ushindi hata wakati kesi yake haina kichwa wala miguu? Mahakamani kinachoshinda na hoja za kisheria na siyo blaa blaa au kwenda kujazana mahakamani kama ambavyo huwa mnafanya ninyi CHADEMA
 
Back
Top Bottom