Paul Makonda amefanikiwa kuiweka CCM katika mioyo na midomo ya Watanzania

Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika uteuzi uliofanywa na chama cha Mapinduzi chini ya uongozi shupavu, imara na madhubuti wa Rais na .

Rai yangu ni kwa wakuu wa mikoa,wilaya,wakurugenzi na viongozi mbalimbali huko mikoani kuendeleza utamaduni huu
Makonda hakika Mungu ampe maisha marefu, yaani watanzania tunampenda sana tena sana. Dkt Samia angeweza kuwa kama Makondana kosa lake mwanzo ilikuwa kuanza kumdharau Dkt Magufuli (yaani alianza kushindana na mifupa ya marehemu), na matokeo yake Dkt Samia anachukiwa sana tena sana. Angalau ujio wa Makonda umebadili upepo, bila Makonda Dkt Samia alikuwa hashindi uchaguzi wa 2025, sababu kubwa ni chuki aliyopandikizwa na baadhi ya wasiomtakia mema.

Ila kwa sasa Dkt Samia anaaza kukubalika kupitia Makonda. Akitaka aupige mwingi atumbue viongozi wote kama Bashe wanaombeza Makonda, amuondoe Katibu Mkuu Nchimbi aliyemdharau Dkt Magufuli, ampige chini Naibu waziri mkuu aliyewahi dharau chuo ambacho rais Dkt Samia alisoma mwanzo.
 
Luca unazingua, uwe unatenganisha basi mambo ya kusema Watanzania unatujumuisha wengine katika upumbavu sio sawa.
Tusameheane tunapokoseana.sisi sote ni binadamu hatuwezi kufanana mitizamo.
 
Kumbe lengo siyo kutatua kero za wananchi ? Lengo ni kukirudisha chama ccm midomoni????
 
Kumbe lengo siyo kutatua kero za wananchi ? Lengo ni kukirudisha chama ccm midomoni????
Unawezaje kukiweka midomoni na mioyoni kwa watu chama ikiwa hutatua kero zao wala kujibu maswali na kutoa utatuzi wala kukata kiu ya wananchi wala kuwapa matumaini wala kuwa na mipango yenye kugusa maisha ya watu?
 
Unawezaje kukiweka midomoni na mioyoni kwa watu chama ikiwa hutatua kero zao wala kujibu maswali na kutoa utatuzi wala kukata kiu ya wananchi wala kuwapa matumaini wala kuwa na mipango yenye kugusa maisha ya watu?
Unasababisha matatizo. Halafu unayatatua au siyo luca? Wewe kweli mjinga wa taifa kama makonda ni solution sasa hawa mawazir wa kisekta tunaowapa ma v8 wann sasa
 
Hizo shida zimeletwa na nani
 
Hapo kwenye mazingira wezeshi ndo tatizo kubwa lilipo
 
Watu wa kitengo wana mbinu nyingi ya kuwatoa watu katika "attention" ya mambo yaliyokuwa "talk of the town and equally embracing public cencures" Serikali iliyopo madarakani inakabiliwa na udhaifu mkubwa wa kiutawala ikiambatana misukosuko mingi katika kila nyanja za kiuchumi na kijamii.

Ili kujihami na hili wamemleta domokaya huyu kimkakati ili kuwaondoa watu kwenye "attention" ya kuweza kuhoji vitu vya msingi. DAB ni mtu wa mfumo ambaye ameletwa kwa kusudi maalum na mkakati huo maalum wa ku "dilute" mapungufu na fikra chovu za watawala na mfumo wenyewe.

MENE, MENE, TEKELI & PERESI
 
Acha porojo zako wewe.mheshimiwa Makonda anabebwa na uchapa kazi wake na unyenyekevu wake katika kusikiliza kero za watu na uwezo wake mkubwa wa kuweza kumsikiliza kila mtu.
 
Nchi nZima iko gizaniii ziiiii

Na giza hili vibaka,wezi wanafanya yao

Na,giza hili watu wana nyanduana tu

Ova
 
Nchi nZima iko gizaniii ziiiii

Na giza hili vibaka,wezi wanafanya yao

Na,giza hili watu wana nyanduana tu

Ova
Tuwe na subira maana TANESCO wameshatoa taarifa kuwa kuna hitilafu imejitokeza na wapo wanapambana ili umeme uwake haraka sana.pole sana kwa usumbufu wote uliojitokeza kwetu watanzania na hasara zote zilizopatikana kutokana na kukatika huko kwa umeme.
 
Unaandika makala za kujipendekeza lakini kwa vile zinakosa maudhui ndiyo maana huitwi,unatwanga maji kwenye kinu yataishia kukulowesha tu. Wanakudharau sana.
Mimi sijipendekezi kwa mtu bali naandika ukweli ambao pengine wewe huupendi kwa kuwa unakuumiza.
 
Acha porojo zako wewe.mheshimiwa Makonda anabebwa na uchapa kazi wake na unyenyekevu wake katika kusikiliza kero za watu na uwezo wake mkubwa wa kuweza kumsikiliza kila mtu.
Lucas ukiwa kama chawa halisi na mtoto wa kufikia wa mama, kuna "issues" huwezi kabisa kuzitendea haki. Basi baki kama ulivyo kwa asili ya hadhi na haiba yako.
 
Anafanya kazi iliyotukuka kwa niaba ya Rais wetu, na wananchi tunalijua hilo
Ikiwa Serikali iliyopata uhalali Kwa wananchi imeshindwa kudhibiti mfumuko wa Bei na tatizo la Umeme.

Mwenezi asiyetambulika popote ataweza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…