Gwajima ni Firauni mkubwa....mzinifu, ma.laya sana...kampiga miti sana Flora...leo hii anatoa maneno hata ktk uchungaji wa uchawi na nguvu za giza hayapo...maneno ya ushenzi na uhayawani...amini mchungaji huyo anatumia ushetani ktk kuendesha ktk lake...na ni mfanya biashara tu...wala sio mcha Mungu...!!
!
Wapendwa nawashauri tupunguze maneno ya kashfa. Mungu kamwe hazihakiwi apandacho mtu ndicho atakachovuna. Kama ni mdomo umemponza Ask Gwajima je wewe unayemtukana unatumia nini?
Huko kwenye KANISA lake nasikia watu wamefunga KAVU wanaporomosha maombi ya kutosha. Sasa tuwe waangalifu maana hukumu ni ya Bwana.
Baba Ask Pengo ni mtumishi wa Mungu, siamini kuwa Leo wakristo tunalipana ubaya kwa ubaya (Kama upo). Hata mafarisayo walipomtukana Yesu, neno la Mungu linasema hakufunua kinywa chake. Ask Pengo ni kiongozi mwenye kufuata mfano wa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. Tena imeandikwa ukipigwa shavu la kushoto, geuza na la pili...... Kesi ya wana wa Mungu lini ikaamuliwa na MATAIFA????? Eeeeee Mungu, nyosha mkono wako, wanadamu wanafanya ghasia juu ya watumishi wako. Eeeee Bwana ikikupendeza tuinulie mtumishi wako, nabii wa siku, kulimaliza kesi ya watoto wako ili injili iendelee kuhubiriwa. Kwa Jina la Yesu Kristo tumeomba. AMEN
Mwisho je,, Hawa wote wanaomshitaki Ask Gwajima wametumwa na Pengo (siamini). Kama wana vita yao na Ask Gwajima isipitie kwa baba yetu mpendwa Pengo. Anyway vita ya KIROHO siku zote humalizikia rohoni. Kwenye hili tuwe waangalifu sanaaaaaaaa!!!
Mwisho wale mnaojiita wakristo, tabia ya kukashifu dini ya mwenzio au kiongozi wa KANISA lingine sio nzuri kabisa. Mkumbukeni Mtume Paulo alipowajibu wale waliokuwa wamejimilikisha jina la Yesu kuwa... as long as Kristo anahubiriwa iwe kwa hila au..... jina la Bwana litukuzwe.
Tuendelee na maombi ya kuiombea nchi yetu changamoto ni nyingi, tuukomboe wakati, usiutie unajisi moyo wako.
Mungu atubariki na atusaidie.
Queen Esther