Paul Makonda amtaka Gwajima afike ofisini kwake kutolea ufafanuzi juu ya kumkashifu Pengo

Paul Makonda amtaka Gwajima afike ofisini kwake kutolea ufafanuzi juu ya kumkashifu Pengo

Ivi Baada Ya Kova kwa level Ya vyeo anayemfuatia ni Makonda? Au naona sivyo mwenzenu? Maana huyu kijana mwenzetu Naona anaroho Ya Yuda Ndani yake.
 
Mkuu wa Wilaya ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya na Afisa Usalama wa Wilaya ni Katibu wake. Hivyo DC Makonda yuko sahihi na anatimiza wajibu wake.

Msipende Kuwa mnakurupuka hovyo hovyo bila kuishughulisha akili yenu japo kidogo.

makonda nae ni pimbi tu. Kamtukana sana lowasa na pia alimpga mzee wa watu warioba . Leo anajifanya mstaarabu wakati ni pimbi2 na udc wa kupewa.
 
Hivi mbona kuna watu wengi sana maarufu,mashekh wanatukanwa nawanao watukana hawaitwi na polisi wala mkuu wa wilaya huyu pengo ninani ?polisi wanasemaga hatujaletewa malalamiko.
 
Huyo dogo hajui wajibu wake wala hajitambui, Mpuuzi sana
 
Ndio...kuhakikisha amani inatamalaki wilayani kwake.Gwajima ni hatari kwa usalama wa taifa.lazima uelewe kuna kundi kubwa hapo kiongozi wao wa juu ametukanwa

Ni hatari zaidi ya Samwel Sitta aliye watukana maaskofu ndani ya BMK
 
Duuuh Paul.ine naye anameno sasa hivi. Haya, ndiyo CCM uongozi wa serikali yao ni familia ya kambare hii baba, mama, watoto wote wana ndevu.
 
Wapendwa nawashauri tupunguze maneno ya kashfa. Mungu kamwe hazihakiwi apandacho mtu ndicho atakachovuna. Kama ni mdomo umemponza Ask Gwajima je wewe unayemtukana unatumia nini?


Huko kwenye KANISA lake nasikia watu wamefunga KAVU wanaporomosha maombi ya kutosha. Sasa tuwe waangalifu maana hukumu ni ya Bwana.


Baba Ask Pengo ni mtumishi wa Mungu, siamini kuwa Leo wakristo tunalipana ubaya kwa ubaya (Kama upo). Hata mafarisayo walipomtukana Yesu, neno la Mungu linasema hakufunua kinywa chake. Ask Pengo ni kiongozi mwenye kufuata mfano wa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. Tena imeandikwa ukipigwa shavu la kushoto, geuza na la pili...... Kesi ya wana wa Mungu lini ikaamuliwa na MATAIFA????? Eeeeee Mungu, nyosha mkono wako, wanadamu wanafanya ghasia juu ya watumishi wako. Eeeee Bwana ikikupendeza tuinulie mtumishi wako, nabii wa siku, kulimaliza kesi ya watoto wako ili injili iendelee kuhubiriwa. Kwa Jina la Yesu Kristo tumeomba. AMEN


Mwisho je,, Hawa wote wanaomshitaki Ask Gwajima wametumwa na Pengo (siamini). Kama wana vita yao na Ask Gwajima isipitie kwa baba yetu mpendwa Pengo. Anyway vita ya KIROHO siku zote humalizikia rohoni. Kwenye hili tuwe waangalifu sanaaaaaaaa!!!


Mwisho wale mnaojiita wakristo, tabia ya kukashifu dini ya mwenzio au kiongozi wa KANISA lingine sio nzuri kabisa. Mkumbukeni Mtume Paulo alipowajibu wale waliokuwa wamejimilikisha jina la Yesu kuwa... as long as Kristo anahubiriwa iwe kwa hila au..... jina la Bwana litukuzwe.


Tuendelee na maombi ya kuiombea nchi yetu changamoto ni nyingi, tuukomboe wakati, usiutie unajisi moyo wako.


Mungu atubariki na atusaidie.


Queen Esther


Hapa kidogo umejitahidi kupunguza mihemko na kuongea point.

Zile coments zako za awali ulikuwa unapotea njia kwa kutishia watu.
 
Gwajima sasa hivi amekuwa kama mpora wa kona, kila mtu anamgombea kitaka kufunga goli.
 
Wakuu naomba kuuliza. Hivi, Kardinali Pengo amejibu au amesema nini baada ya maneno ya Askofu Gwajima?. Naona mara Gwajima kaitwa kuhojiwa na polisi mara kaandikiwa barua ya wito na DC Makonda wa Kinondoni.
 
Makonda yeye alipomtukana Lowassa aliitwa wapi
 
Makonda my foot,yeye nae polisi ,kachero au nani?Alivyomdhalilisha warioba aliripot kwa nani?Ni kwel Gwajima alitumia lugha kali ila alikuwa na meseji ya muhimu kutoa.Tusubir polis watuambie kinachoendelea.
Hajui majukumu yake huyo.
 
Back
Top Bottom