Paul Makonda amtaka mwandishi kumuuliza mama yake baada ya kumhoji tuhuma za kumshambulia Lissu

Nukta, Tutajua wahusika watajichora wenyewe nukta nundu
 
Nitawaona mazuzu, mashubwada, mnaojikomba na kulamba makalio ya viongozi wa viongozi ili kupata uteuzi endapo mtaendelea kutoa habari zinazohusu ccm.

Makonda amesema muwe mnaenda kuwahoji mama zenu. Hili ni tusi la nguoni kwa waandishi wote.

N.B. Msikubali
 
Ukishadhulumu uhai wa watu, akili na hekima hupotea. Unabakia kuwa hayawani mara uparamie punda, mara malori, mara baiskeli, kesho utasikia ameingia mkutanoni akiwa amepanda nguruwe, fisi au ngiri.
 
Waandishi wengi ni tiss,kwa namna nyingine ccm ni bwana wao.hilo haliwezekani.
 
Mkuu pole sana kwa maumivu unayoyapata dhidi ya Chadema. Hapa tunajadili kauli ya Konda Boy dhidi ya Mwandishi wa Habri. Hapa Viongozi wa Chadema wanaingiaje???
 
Saed Kubenea wa mwana halisi anasitahiri hilo jibu kwa sababu alishasema pia kuwa wanaomtafuta Ben Saanane wakamuulize Mbowe
 
Ukishadhulumu uhai wa watu, akili na hekima hupotea. Unabakia kuwa hayawani mara uparamie punda, mara malori, mara baiskeli, kesho utasikia ameingia mkutanoni akiwa amepanda nguruwe, fisi au ngiri.
Naunga mkono hoja 👍👏
 
Saed Kubenea wa mwana halisi anasitahiri hilo jibu kwa sababu alishasema pia kuwa wanaomtafuta Ben Saanane wakamuulize Mbowe
 
Saed Kubenea wa mwana halisi anasitahiri hilo jibu kwa sababu alishasema pia kuwa wanaomtafuta Ben Saanane wakamuulize Mbowe
Hapa siyo suala la Saed Kubenea peke yake. Ni suala la ukosefu wa maadili na dharau kwa waandishi wa habari wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…