Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Slogan ya kijinga san hii 👇yaleyale ya tunamsubir aje tumhoji 🤣🤣🤣
Weka ushahidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka ushahidi
Mwandishi hawezi kuandika habari yenye tuhuma nzito hivyo bila kuuliza upande unaotuhumiwa. Ndio weledi wa uandishi. Waandishi wanalipa gharama ya profesionalism. Na hata kuandika majibu aliyopewa na Makonda ni weledi pia. Jamii ya watu wenye akili watajua kama Lissu alisema ukweli au alidanganya.Kwa hiyo kwa akili yako angesema ajahusika ndio majibu yamepatikana kuwa hajahusika? Kwanini Muandishi asimuamini Lissu aliyesema ameambiwa na watu wake kuwa Makonda alihusika?
Muandishi mwenye akili alitakiwa kumuamini Lissu au yeye binafsi afanye uchunguzi!
Sasa anatakiwa akamuulize mama yake kama Makonda alihusika kumshambulia Lissu au lah…halafu aje atupe jibu kamwambiaje?
Kwanini asiende jeshi la polisi kuwahoji badala ya kupoteza muda tuuu…..
Chale acha ujinga soma alama za nyakat!!Panicking answers always speak volumes!! Why u gotta panicking?
Unamaanisha nini hapa?Hawa Waandishi wengine Huwa wanajitafutia matatizo wenyewe.Ukiwa unasomea udreva unaambiwa Ukiona kuwa unaweza kuzuia ajari jitahidi uizuie hata kama wewe utakuwa upande sahihi.
Jambazi mwingine huyu hapaNdio jibu alilopaswa kupewa huyo muandishi! Kwa hiyo kama ni kweli huyo Muandishi alitegemea apate jibu la ndio kutoka kwa makonda!
Mimi naongezea na akamuhoji na baba yake…..
mamlaka ya kuwahoji police anayapata wapiBadala akawahoji polisi ana muhoji Makonda hahaaha! Kwa hiyo baada ya kusema alishiriki atajipeleka polisi?