Paul Makonda amtaka mwandishi kumuuliza mama yake baada ya kumhoji tuhuma za kumshambulia Lissu

Paul Makonda amtaka mwandishi kumuuliza mama yake baada ya kumhoji tuhuma za kumshambulia Lissu

Tuliwanyang'anya wabunge woooote chama mfuuu hicho cha nn takataka faaraaaa kabisa misukule ya Mbowe nyie
Lile Jizi lenu linalolilia Ikulu toka enzi za 92 mpaka leo limewaweka mfukoni limekula hela za ruzuku likajengea watoto wake apartments Dubai hela za nyumbu wajinga limeiba hela za wanachama kwa mgongo wa operations na kuwachangisha nyumbu na pia haitoshi limedhulumu hela za mirathi za marehemu baba yake limeua na kutesa watu wengi libakie kwenye uenyekiti na limeteka Ben saanane na kumuua Wangwe acheni ushenzi nyie misukule wa makengeze madalali
Kumbe aliwadhulumu mpaka ndugu zake hela ya mirathi ya baba yake?
 
Makonda alifika hapa Butiama jana. Alilala hapa kwenye motel.
Anasema alipolala hapa ameota ndoto nzuri.
Mimi sikumuona. Nilienda matembezi.
Amefika kwemye ardhi ya Baba yetu wa Taifa. Safi kwa Makonda. Nikipata muda nitatembelea Butihama.

Ila wewe Andrew miyeyusho mno. Kwa nini ulienda matembezi sasa mkuu?
 
Mara kadhaa Lissu amekiri kuwa serikali ndiyo inawajua waliomshambulia pale alipotakiwa kutoa ushirikiano kwa dola kuwabaini ili wachukuliwe hatua.

Awali alipoishutumu serikali (kwa kutokuchukua hatua) akijenga hoja yake hiyo, alisema anawajuwa waliomshambulia.

Leo baada ya uteuzi wa PCM anasema PCM anahusika na shambulizi lake.

Sote tunajuwa wazi kuwa madaraka ya PCM aliyonayo leo siyo ya ki-dola ya kuweza kumtisha mtu kiasi kwamba aogopwe.

Pia wakati PCM alikuwa benchi mbona Lissu hakumtaja? Mbona wengine walijitokeza kupambana naye Mahakamani bila woga?

Lissu alishindwa nini kutumia fursa hiyo kumtaja PCM kuhusika na shambulizi lake?

Huenda kesho akishindwana na Mbowe ndani ya CHADEMA atasema Mbowe anahusika na shambulizi lake.

Ndugai amepoteza nguvu ya kisiasa baada ya kuachia Uspika, Lissu hamtaji kuhusika na shambulizi lake.

Kesho Ndugai akipata uteuzi wa kumfanya kuvuma kisiasa utamsikia Lissu akimtaja kuhusika na shambulizi lake.

Nadhani Lissu kumtaja PCM kuhusika na shambulizi lake ni mbinu ya kuuzima moto wa PCM unaowaka nchi nzima na kubadili mwelekeo wa siasa nchini.

Hivi ni nani hasa alimshambulia Lissu?

Lakini pia ni nani hasa anajuwa kwa uhakika aliyemshambulia Lissu?

Jamani siasa!!? Tuchuje sana tunayoyasikia. Unaweza ukapandikizwa dhambi ya kumchukia mtu asiyehusika.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app

“Nadhani Lissu kumtaja PCM kuhusika na shambulizi lake ni mbinu ya kuuzima moto wa PCM unaowaka nchi nzima na kubadili mwelekeo wa siasa nchini.”




Ahsante. Wewe umeiona ajenda ikiwa mbichi kabisa.
 
Kama kweli Makonda kajibu hivi inavyodaiwa basi ni kitu cha kusikitisha sana kwa kiongozi ngazi yake kutoweza kudhibiti hasira zake.
 
..aliyezungumzia mahakama ya kimataifa ni wewe kwasababu nime-quote post yako.

..labda una tatizo la kumbukumbu, au una ID nyingi hapa jukwaani, na hiyo inasababisha ushindwe kukumbuka unacho-post.🤣
Kwahiyo mimi ni Tindo kwa ID nyengine sio?
 
Endelea kujua.

Unajitengenezea jinamizi kichwani mwako halafu unaanza kupigia watu kelele?

Kuna taarifa Milembe kufungua matawi yao nchi nzima, zitafute zitakufaa.
Mzee wako kauza ng'ombe kukusomesha kumbe kauza ng'ombe kusomesha ng'ombe
 
Makonda amehojiwa na mwandishi wa habari kwamba Lissu amesema ulihusika na shambulia lake Dodoma

Jibu amepewa kamhoji MAMA YAKO

Bashite ameshindwa hata kukana kwamba hakufanya lile tukio, ni wazi jibu la kwanza ilikuwa ni kukataa kuhusika

Damu ya mtu ni nzito bana.

Kunguru hafugiki, ipo siku atapanda juu ya meza pele jirani na FERRY.
 
Hivi chief Hangaya anaona kumteua Bashite ndio kauweza mchezo wa siasa? 🙄
Kwa matusi mliyomshushia kwenye ishu ya bandari ana haki now ya kumteua yeyote anayefeel ni sawa kwake, mlimkosea heshima sanaaaa, Soon Sabaya naye anarudi maana siasa za ustaarabu alizotaka Hangaya wahuni wa upande ule hawaziwezi, THEY THRIVE TO CHAOS
 
Kama Jiwe alishindwa kumfuga huyu kunguru, je mama atamuweza?? Ni suala la muda.
 
Huyu mwandishi mjinga sana tena sana. Na tena inatakiwa ashughulikiwe tujue ana cheti halali cha uandishi. Wewe Lisu mwenyewe alishasema Dkt Magufuli alituma watu wakamuue halafu tena wewe mwandishi unaenda kumuuliza mtu mwingine ni akili kweli??!
Ila hii dunia, unaweza kuta kuna watu wanakuita baba
 
Kwa hiyo kwa akili yako angesema ajahusika ndio majibu yamepatikana kuwa hajahusika? Kwanini Muandishi asimuamini Lissu aliyesema ameambiwa na watu wake kuwa Makonda alihusika?
Muandishi mwenye akili alitakiwa kumuamini Lissu au yeye binafsi afanye uchunguzi!

Sasa anatakiwa akamuulize mama yake kama Makonda alihusika kumshambulia Lissu au lah…halafu aje atupe jibu kamwambiaje?

Kwanini asiende jeshi la polisi kuwahoji badala ya kupoteza muda tuuu…..
Elewa maana ya maswali chokozi.. yaani unauliza sio upate jibu, la!.. unauliza ili kupima reactions za mtoa jibu.... Pongezi sana kwa Mwandishi
 
Na itamtafuna mpaka hata waliompa cheo hicho
Makonda amehojiwa na mwandishi wa habari kwamba Lissu amesema ulihusika na shambulia lake Dodoma

Jibu amepewa kamhoji MAMA YAKO

Bashite ameshindwa hata kukana kwamba hakufanya lile tukio, ni wazi jibu la kwanza ilikuwa ni kukataa kuhusika

Damu ya mtu ni nzito bana.

Panicking answers always speak volumes!! Why u gotta panicking?
 
Back
Top Bottom