Paul Makonda amtaka mwandishi kumuuliza mama yake baada ya kumhoji tuhuma za kumshambulia Lissu

Ifike mahali vyuo vilivyowapa vyeti vya kitaaluma watu kama huyu mwandishi wa habari (journalist), viwe vinatekeleza mamlaka yake ya kuvichukua (withdraw) vyeti vyao.

Eti hiyo ndiyo investigative journalism aliyokuwa anafanya huyo mwanahabari. Yaani kuwe na fununu kwamba mtu fulani kageda mke wa jamaa fulani, yeye investigative journalist anaenda kumhoji huyo mhisiwa aseme kama ni kweli aligeda huyo mke wa mtu. Eti hiyo ndiyo investigative journalism aliyosomea. Halafu akijibiwa "swali hilo kamhoji mama yako", anashindwa kuelewa kuwa jibu hilo ni la lugha ya kistaarabu linalomaanisha "........... ya mama ...ako". Na bado alivyo bwege anakuja kuliandika jibu hilo kama ni habari. Yaani hajui hata maana ya habari (news). Mbwa kuuma mtu siyo habari bali mtu kuuma mbwa ndiyo habari.
 
Team wasiojulikaana mmekasirika sana
 
Halafu hilo jibu mimi naona kama halitoshi kabisa.Angemuambia akamhoji Mama yake kijijini.
 
Mithali 26:4
Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; <br>Usije ukafanana naye.

Mithali 26:5
Umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; <br>Asije akawa mwenye hekima machoni pake. Makonda kafanya la maana maana huyu mwandishi ni mpuuzi tu watu wanapeleka kero yeye anauliza upuuzi.Lissu aliisha sema aliyempiga risasi ni Magufuli dunia mzima inajua maana aliiyangazia dunia kupitia vyombo vyote vya habari,leo huyu mwandishi uchwa anakuja kuuliza swali la kipuuzi kama hilo.
 
kamuulize mama yako
 
Kila siku siyo Jumapili , halafu yule mshamba aliyefanya hivyo yuko wapi leo ?
 
ujibu kichaaa
 
Ukishadhulumu uhai wa watu, akili na hekima hupotea. Unabakia kuwa hayawani mara uparamie punda, mara malori, mara baiskeli, kesho utasikia ameingia mkutanoni akiwa amepanda nguruwe, fisi au ngiri.
Tuliwanyang'anya wabunge woooote chama mfuuu hicho cha nn takataka faaraaaa kabisa misukule ya Mbowe nyie
Lile Jizi lenu linalolilia Ikulu toka enzi za 92 mpaka leo limewaweka mfukoni limekula hela za ruzuku likajengea watoto wake apartments Dubai hela za nyumbu wajinga limeiba hela za wanachama kwa mgongo wa operations na kuwachangisha nyumbu na pia haitoshi limedhulumu hela za mirathi za marehemu baba yake limeua na kutesa watu wengi libakie kwenye uenyekiti na limeteka Ben saanane na kumuua Wangwe acheni ushenzi nyie misukule wa makengeze madalali
 
Tuliwanyang'anya wabunge woooote chama mfuuu hicho cha nn takataka faaraaaa kabisa misukule ya Mbowe nyie
Lile Jizi lenu linalolilia Ikulu toka enzi za 92 mpaka leo limewaweka mfukoni limekula hela za ruzuku likajengea watoto wake apartments Dubai hela za nyumbu wajinga limeiba hela za wanachama kwa mgongo wa operations na kuwachangisha nyumbu na pia haitoshi limedhulumu hela za mirathi za marehemu baba yake limeua na kutesa watu wengi libakie kwenye uenyekiti na limeteka Ben saanane na kumuua Wangwe acheni ushenzi nyie misukule wa makengeze madalali
 
Hao waliotumwa na magufuli Makonda ndio alikuwa kiongozi wa hilo. Makonda ni muhalifu, yaani ni mfungwa mtarajiwa.

Cc: Leak
Tuliwanyang'anya wabunge woooote chama mfuuu hicho cha nn takataka faaraaaa kabisa misukule ya Mbowe nyie
Lile Jizi lenu linalolilia Ikulu toka enzi za 92 mpaka leo limewaweka mfukoni limekula hela za ruzuku likajengea watoto wake apartments Dubai hela za nyumbu wajinga limeiba hela za wanachama kwa mgongo wa operations na kuwachangisha nyumbu na pia haitoshi limedhulumu hela za mirathi za marehemu baba yake limeua na kutesa watu wengi libakie kwenye uenyekiti na limeteka Ben saanane na kumuua Wangwe acheni ushenzi nyie misukule wa makengeze madalali
 
Tuliwanyang'anya wabunge woooote chama mfuuu hicho cha nn takataka faaraaaa kabisa misukule ya Mbowe nyie
Lile Jizi lenu linalolilia Ikulu toka enzi za 92 mpaka leo limewaweka mfukoni limekula hela za ruzuku likajengea watoto wake apartments Dubai hela za nyumbu wajinga limeiba hela za wanachama kwa mgongo wa operations na kuwachangisha nyumbu na pia haitoshi limedhulumu hela za mirathi za marehemu baba yake limeua na kutesa watu wengi libakie kwenye uenyekiti na limeteka Ben saanane na kumuua Wangwe acheni ushenzi nyie misukule wa makengeze madalali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…