Paul Makonda amtaka mwandishi kumuuliza mama yake baada ya kumhoji tuhuma za kumshambulia Lissu

Paul Makonda amtaka mwandishi kumuuliza mama yake baada ya kumhoji tuhuma za kumshambulia Lissu

CCM ni chama kilichojifia kitambo! Haiwezekani mpaka leo kinawatumia watu waliofoji vyeti vya kitaaluma kwenye nafasi zao za kiuongozi.
Kweli watu wenye tuhuma kuhusu elimu ni ngumu kuwa viongozi wazuri. Pale CHADEMA kuna matatizo makubwa zaidi kwa sababu viongozi wa juu karibu wote wana elimu duni. Mwenyekiti anatajwa kupata sifuri form six, huku Lema akitajwa kuishia kidato cha pili. Sugu ndo msomi pekee ambaye elimu yake imenyooka ya kidato cha nne.
 
Kweli watu wenye tuhuma kuhusu elimu ni ngumu kuwa viongozi wazuri. Pale CHADEMA kuna matatizo makubwa zaidi kwa sababu viongozi wa juu karibu wote wana elimu duni. Mwenyekiti anatajwa kupata sifuri form six, huku Lema akitajwa kuishia kidato cha pili. Sugu ndo msomi pekee ambaye elimu yake imenyooka ya kidato cha nne.
Ila wana maisha kukuzidi wewe PhD holder
 
Makonda amehojiwa na mwandishi wa habari kwamba Lissu amesema ulihusika na shambulia lake Dodoma

Jibu amepewa kamhoji MAMA YAKO

Bashite ameshindwa hata kukana kwamba hakufanya lile tukio, ni wazi jibu la kwanza ilikuwa ni kukataa kuhusika

Damu ya mtu ni nzito bana.

Jibu zuri sana kwa swali la kichonganishi kama hilo! safi sana Konda boy 😆
 
Lakini ndio majibu ya kiswahili hayo wala sishangai
Ila angeulizwa na mzungu angejibu kwa ufasaha na sidhani kama angejibu hivyo kwani inategemea nani anamuuliza na hilo jibu linaonesha limekaa sawa tu
 
Mama kayatimba kumteua konda kuwa mwenezi, ana maadui wengi watamzonga sn kwa maswali na ghiliba za namna hiyo atashindwa kufanya kazi zake vizuri hana mamlaka ya kuagiza vyombo vya dola kuwashikisha adabu wasio mtii...

Maadui wa ndani na nje ya chama chake wameshajua hana kifua cha kuvumilia kejeli wataenda nae kwa style hiyo mpaka kazi imshinde...ataanguka hataweza kufanya kazi zake sawasawa. Mamlaka yake ya uteuzi I'm imwondee mapema kwenye nafasi hiyo kabla mambo hayajaharibika.
 
Mama kayatimba kumteua konda kuwa mwenezi, ana maadui wengi watamzonga sn kwa maswali na ghiliba za namna hiyo atashindwa kufanya kazi zake vizuri hana mamlaka ya kuagiza vyombo vya dola kuwashikisha adabu wasio mtii...

Maadui wa ndani na nje ya chama chake wameshajua hana kifua cha kuvumilia kejeli wataenda nae kwa style hiyo mpaka kazi imshinde...ataanguka hataweza kufanya kazi zake sawasawa. Mamlaka yake ya uteuzi I'm imwondee mapema kwenye nafasi hiyo kabla mambo hayajaharibika.
Hv Mama hadi amekaa kamteua huyu Makonda kwani hakujua kama ana maadui wengi!? Hakujua kama atakutana na kejeli!? Yan watu wengne sjui huwa mnatumia nn kufikiria jmn khaa! Hapo hakuna kitu kipya shortly they saw all these freaks coming ahead.
 
Mama kayatimba kumteua konda kuwa mwenezi, ana maadui wengi watamzonga sn kwa maswali na ghiliba za namna hiyo atashindwa kufanya kazi zake vizuri hana mamlaka ya kuagiza vyombo vya dola kuwashikisha adabu wasio mtii...

Maadui wa ndani na nje ya chama chake wameshajua hana kifua cha kuvumilia kejeli wataenda nae kwa style hiyo mpaka kazi imshinde...ataanguka hataweza kufanya kazi zake sawasawa. Mamlaka yake ya uteuzi I'm imwondee mapema kwenye nafasi hiyo kabla mambo hayajaharibika.
Wakimzonga Makonda,Mama anapumua

Mishale yote ambayo ingeelekezwa kwa Mama sasa inaenda kwa Makonda

Acha Mama apumue
 
Mama kayatimba kumteua konda kuwa mwenezi, ana maadui wengi watamzonga sn kwa maswali na ghiliba za namna hiyo atashindwa kufanya kazi zake vizuri hana mamlaka ya kuagiza vyombo vya dola kuwashikisha adabu wasio mtii...

Maadui wa ndani na nje ya chama chake wameshajua hana kifua cha kuvumilia kejeli wataenda nae kwa style hiyo mpaka kazi imshinde...ataanguka hataweza kufanya kazi zake sawasawa. Mamlaka yake ya uteuzi I'm imwondee mapema kwenye nafasi hiyo kabla mambo hayajaharibika.
Wewe wasema!
 
Mama kayatimba kumteua konda kuwa mwenezi, ana maadui wengi watamzonga sn kwa maswali na ghiliba za namna hiyo atashindwa kufanya kazi zake vizuri hana mamlaka ya kuagiza vyombo vya dola kuwashikisha adabu wasio mtii...

Maadui wa ndani na nje ya chama chake wameshajua hana kifua cha kuvumilia kejeli wataenda nae kwa style hiyo mpaka kazi imshinde...ataanguka hataweza kufanya kazi zake sawasawa. Mamlaka yake ya uteuzi I'm imwondee mapema kwenye nafasi hiyo kabla mambo hayajaharibika.
Imwache tumhoji vizuri mwizi wetu, ili kesi ikianza baadae wajikaange vizuri kwa matamko yao
 
Huyo muhanga kisha wataja wangapi kwa tuhuma hizo hizo mpaka sasa?

Uungwana hufanyiwa waungwana, wahuni ufaidi uhuni.

Mtazamo wako hauwezi kuwa Sawa na wake kuhusu unyama ama ubinaadam kwenye tukio lolote.


Unapotuhumu mtu ni kazi yako wewe mtoa tuhuma kuthibitisha pasipo shaka tuhuma zako dhidi yake na sio kazi ya mtuhumiwa kutumia muda wake kukanusha tuhuma zako.
Kazi ya kuthibitisha tuhuma za jinai ni ya Jamhuri na siyo mwananchi. Mwananchi anakuwa shahidi tu.

Usichukulie ukimya wa Serikali za CCM awamu ya Magufuli na hii ya Samia ukahisi yamekwisha. Atatoka Samia madarakani na nakuhakikishia huyo Nyamitako atakabiliana na vyombo vya sheria na lazima ataingia jela. Labda afa mapema
 
Aliye mteuwa akajiangalie kwenye KIOO....
..
JamiiForums1603862920.jpg
 
Makonda amehojiwa na mwandishi wa habari kwamba Lissu amesema ulihusika na shambulia lake Dodoma

Jibu amepewa kamhoji MAMA YAKO

Bashite ameshindwa hata kukana kwamba hakufanya lile tukio, ni wazi jibu la kwanza ilikuwa ni kukataa kuhusika

Damu ya mtu ni nzito bana.

Jibu la kipuuzi sana kwa swali la kipuuzi sanaaa
 
Back
Top Bottom