kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Shemeji hakutaka kelele wajifungie kimya mwezi wote ....tupunguze wivuMsambwanda kama wotee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shemeji hakutaka kelele wajifungie kimya mwezi wote ....tupunguze wivuMsambwanda kama wotee
Unataka kutuaminisha uwepo wako kwenye huu uzi si kwa sababu unamfuatilia?hata wanaomfuatili ni wajinga zaidi
Ya mwaka gani Komredi?Mbona kama video ya zamani
Labda Raisi wa klabu ya mpiraPunguza hasira na kubali ukweli. Usijiue hiyo ndio dunia. Amin usiamin. UzurJF wana tunza sana documents.
Sasa mkuu Benjamin unasahau Kufungua tu hii mada ni kutaka kufahamu habari za Makonda, meaning umeamua kumfatilia.hata wanaomfuatili ni wajinga zaidi
Sasa yeye mbona alitaka Lisu afe?Mashallah
Tusiombeane kifo jamani...
Mikono yako ikijaa damu za watu ni lazima tukuombee kifo kama yule shetani mkuu aliyetwaliwa kuzimu.Hata kama hatuipendi ccm tusiombeane vifoo...
View: https://www.youtube.com/live/IHztQrYAF0g?si=aTpKZrIJOrQWndNq
Updates...
Kumepita ukimya wa takribani mwezi mmoja huku swali kuu likiwa yupo wapi Mkuu wa Mkoa wa Arusha, RC Paul Makonda lakini leo Agosti 16, 2024 swali hilo limejibiwa baada ya kuonekana kwa mara ya kwanza akikagua ujenzi wa Uwanja wa ndege wa Arusha uliopo eneo la Kisongo.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda alipotembelea Uwanja wa Ndege wa Mkoa Arusha na kukagua Ujenzi huo unaondelea kutekelezwa leo Agosti 16, 2024 ameeleza chanzo cha utanuzi wa Uwanja huo.
RC Makonda amelezea kuwa itakuwa chanzo cha utanuzi kwa Uwanja huo wa ndege ni kuongeza kundi kubwa la Watalii wanaoingia nchini kupitia mkoa wa Arusha kwa uwepo wa vivutio mbalimbali vya utalii ambapo itaongeza Uchumi kwa taifa letu na kujitangaza zaidi kupitia utalii.
Mkandarasi
Moja ya Miradi ambayo itafanyika katika uwanja huyo wa ndege ni kufunga taa za kuongozea Ndege kwa sababu uwanja wa ndege uwe kufanya kazi masaa 24.
"Tumeshapata Mkandarasi tayari na tumeshamkabidhi na sasa yupo katika hatua ya kufanya usanifu wa mfumo wenyewe".
"Lakini tatizo ambalo tunalo ni hile ardhi ya kufunga hizo taa za aproch ya kutua ndege, kwa sababu kiwanja chetu kutoka pale mwisho tuna mita 200 na lakini tunahitaji mita 500".
MAKONDA BOMAYEEEEYule kilaza anayejifanya ndio mchawi wa JF alikuja na uzi wa kumtabiria kifo,nilipombana na maswali,chawa wake aliowashikia akili wakaanza kubweka,
Long Live Makonda.
Aah unasemea yule mtakatifu sio.......angekua kama mnavyotaka kuaminisha watu wakina Makonda wasingerudi.....,,,,tunashangaa kambi ya wazuri hawafi ndo inasambaratikaMikono yako ikijaa damu za watu ni lazima tukuombee kifo kama yule shetani mkuu aliyetwaliwa kuzimu.
Inaonekana unamuamini sana da'Mange😎Mbona kama video ya zamani
Mungu ameitikia maombi, rudi ujiandae kuwa JPM.Hahahah
Ova
Sema ikijaa tuhuma.Mikono yako ikijaa damu za watu ni lazima tukuombee kifo kama yule shetani mkuu aliyetwaliwa kuzimu.