Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Huyo ni rais wako ajae au waziri mkuu mjiandae kisaikolojia acha uchaguzi wa 2025 upiteUnamtakia kwenda jehanam kama yule nduli wa Chato?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni rais wako ajae au waziri mkuu mjiandae kisaikolojia acha uchaguzi wa 2025 upiteUnamtakia kwenda jehanam kama yule nduli wa Chato?
Wanamwombea mabaya ila Mungu ndo muweza wa yote! Hakuna mwema wote tumepungukiwa na utukufu! Tuombeane mema si mabaya!Kwani mgonjwa huwa haponi? Mangula aliyewekewa sumu kafa?
Kwa nchi hii hata Ambaruty anaweza kuwa Rais na akapata chawa wa kumsifu anaupiga mwingiHuyo ni rais wako ajae au waziri mkuu mjiandae kisaikolojia acha uchaguzi wa 2025 upite
Siyo za kijinga tu bali za kijima na zilizojaa upumbavu. Ila mkuu kwa Tanzania yenye wajinga wengi, siyo rahisi kuona hivyo.Kiki za kijinga.
Na wewe potea tuone nani atakuulizia kama sio Bibi yako huko Kishumundu! Fanya mambo yako achana na Makonda muulize aliyezusha humu ndani kuhusu hilo!Siyo za kijinga tu bali za kijima na zilizojaa upumbavu. Ila mkuu kwa Tanzania yenye wajinga wengi, siyo rahisi kuona hivyo.
Ila wazuri hawafi hawawezi 🤣🤣🤣Kwa nchi hii hata Ambaruty anaweza kuwa Rais na akapata chawa wa kumsifu anaupiga mwingi
View: https://www.youtube.com/live/IHztQrYAF0g?si=aTpKZrIJOrQWndNq
Updates...
Kumepita ukimya wa takribani mwezi mmoja huku swali kuu likiwa yupo wapi Mkuu wa Mkoa wa Arusha, RC Paul Makonda lakini leo Agosti 16, 2024 swali hilo limejibiwa baada ya kuonekana kwa mara ya kwanza akikagua ujenzi wa Uwanja wa ndege wa Arusha uliopo eneo la Kisongo.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda alipotembelea Uwanja wa Ndege wa Mkoa Arusha na kukagua Ujenzi huo unaondelea kutekelezwa leo Agosti 16, 2024 ameeleza chanzo cha utanuzi wa Uwanja huo.
RC Makonda amelezea kuwa itakuwa chanzo cha utanuzi kwa Uwanja huo wa ndege ni kuongeza kundi kubwa la Watalii wanaoingia nchini kupitia mkoa wa Arusha kwa uwepo wa vivutio mbalimbali vya utalii ambapo itaongeza Uchumi kwa taifa letu na kujitangaza zaidi kupitia utalii.
RC Makonda ameeleza zaidi kuwa ifikapo Septemba Mosi Uwanja kuanza kutumika kuanzia Septemba mosi, 2024 ambapo idadi ya watalii inakadiriwa kuongezeka zaidi.
Mkandarasi
Moja ya Miradi ambayo itafanyika katika uwanja huyo wa ndege ni kufunga taa za kuongozea Ndege kwa sababu uwanja wa ndege uwe kufanya kazi masaa 24.
"Tumeshapata Mkandarasi tayari na tumeshamkabidhi na sasa yupo katika hatua ya kufanya usanifu wa mfumo wenyewe".
"Lakini tatizo ambalo tunalo ni hile ardhi ya kufunga hizo taa za aproch ya kutua ndege, kwa sababu kiwanja chetu kutoka pale mwisho tuna mita 200 na lakini tunahitaji mita 500".
Soma Pia: Bananga: Jana nimeongea na Makonda sasa yupo Arusha, amemaliza likizo yake
View: https://www.youtube.com/live/IHztQrYAF0g?si=aTpKZrIJOrQWndNq
Updates...
Kumepita ukimya wa takribani mwezi mmoja huku swali kuu likiwa yupo wapi Mkuu wa Mkoa wa Arusha, RC Paul Makonda lakini leo Agosti 16, 2024 swali hilo limejibiwa baada ya kuonekana kwa mara ya kwanza akikagua ujenzi wa Uwanja wa ndege wa Arusha uliopo eneo la Kisongo.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda alipotembelea Uwanja wa Ndege wa Mkoa Arusha na kukagua Ujenzi huo unaondelea kutekelezwa leo Agosti 16, 2024 ameeleza chanzo cha utanuzi wa Uwanja huo.
RC Makonda amelezea kuwa itakuwa chanzo cha utanuzi kwa Uwanja huo wa ndege ni kuongeza kundi kubwa la Watalii wanaoingia nchini kupitia mkoa wa Arusha kwa uwepo wa vivutio mbalimbali vya utalii ambapo itaongeza Uchumi kwa taifa letu na kujitangaza zaidi kupitia utalii.
RC Makonda ameeleza zaidi kuwa ifikapo Septemba Mosi Uwanja kuanza kutumika kuanzia Septemba mosi, 2024 ambapo idadi ya watalii inakadiriwa kuongezeka zaidi.
Mkandarasi
Moja ya Miradi ambayo itafanyika katika uwanja huyo wa ndege ni kufunga taa za kuongozea Ndege kwa sababu uwanja wa ndege uwe kufanya kazi masaa 24.
"Tumeshapata Mkandarasi tayari na tumeshamkabidhi na sasa yupo katika hatua ya kufanya usanifu wa mfumo wenyewe".
"Lakini tatizo ambalo tunalo ni hile ardhi ya kufunga hizo taa za aproch ya kutua ndege, kwa sababu kiwanja chetu kutoka pale mwisho tuna mita 200 na lakini tunahitaji mita 500".
Soma Pia: Bananga: Jana nimeongea na Makonda sasa yupo Arusha, amemaliza likizo yake
Yaani nikwambie lunch ya leo ni chungu sana! Wanjidai manabii wa maisha ya watu!Makamanda uchwara wamechukizwa kweli kweli na hii habari😎
Uwezo wa kuchambua hivyo hana. Mimi ni mkristo lakini sifikiri kama wanahitaji chumba. Waislam ni kwa sababu ya swala 5.Hapo kwamba kuwe na chumba cha sala pia kwa Wakristo, binafsi sioni kama ni ushauri unaofaa kwa mahali kama uwanja wa ndege. Sidhani kama Wakristo wanahitaji chumba kama hicho, ingawa kwa Waislamu wao wanahitaji, na wakihitaji chumba siyo lazima na Wakristo nao wahitaji. Ujenzi ungefuata ramani ilivyo na siyo mawazo ya nyongeza ya RC. Otherwise, wanaweza wakaweka na chumba cha Wakristo na kisitumike, labda wao kama wao ndiyo wangeomba, na siyo kwa mawazo ya RC. Huwezi ku'create, mahitaji ya imani ya watu wengine bila wao wenyewe kusema au kuhitaji.
Hii inasaidia nini mkuu kutaja idadi ya watu waliopo kwenye mada husika?58 people are here.....
Aliombewa kifo au alitaka kuuwawa?Ni kitu kibaya sana kuombea wenzako kifo, kama vile wewe una guarantee yoyote. Unamuombea mwenzako afe, then wewe unakufa kabla yake.
Umegundua kuwa wabongo ni wachawi?Ni kitu kibaya sana kuombea wenzako kifo, kama vile wewe una guarantee yoyote. Unamuombea mwenzako afe, then wewe unakufa kabla yake.
Yeye kaamua kutukia maana uvumi hajaanzisha yeye na huu mtindo ni mbaya sana maana hata Philip Mpang Makamu wa Rais walimzushia kifo! Kwa hiyo kukaa kimya pia ni jibu tosha wa wapuuzi kama hao!Kabisa, akili kubwa hii
Uchawa hauna umri kumbeKama unabisha shauri Yako
Hapo anasubiriwa Dr Bashiru na Komredi Polepole kutusukia Ilani ya Ushindi wa kishindo
Kwa kifupi Kazi imeisha Siasa ni Sayansi 😂😂
Pale bungeni ndugu Lukuvi ataweka kila kitu sawa
Huku kwa akina Mwabukusi na Matata sasa watakutana na nguli mwenyewe wa Katiba Prof Kabudi
Kule Arusha ndio itakuwa Kioo cha Jamii kwa Mambo ya Utawala Bora unaojali Watu wote, Kiboko ya Wahuni amerejea
Jumaa Mubarak 😃😃😃