Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nape, Kamba na wahuni wengine watakomaComeback ya timu Magufuli inatisha
Nikwambie kuna watu leo ni siku yao mbaya sana! Lakini utashangaa nao wanaongelea mambo ya haki huku wameficha mapanga na kuombea watu kufa!Majizi yalifikiri atakufa shame on them
Mkuu yaani sisi tumegeuka Ngombe tena, laah ila yawezekana ikawa kweli eee - yaani tunaswagwa tu hatujui tutokapo wala tuendako.Wao waimarike tu maana unadhani bila CCM hizi Ng'ombe za Tanzania nani atazichunga!?
Sasa na wewe mbona unafatilia?hata wanaomfuatili ni wajinga zaidi
Nakubaliana na wewe kabisa.Wao waimarike tu maana unadhani bila CCM hizi Ng'ombe za Tanzania nani atazichunga!?
Hapa unafanyaje kwenye Uzi wa Makondo kurejea ?hata wanaomfuatili ni wajinga zaidi
Updates...
Kumepita ukimya wa takribani mwezi mmoja huku swali kuu likiwa yupo wapi Mkuu wa Mkoa wa Arusha, RC Paul Makonda lakini leo Agosti 16, 2024 swali hilo limejibiwa baada ya kuonekana kwa mara ya kwanza akikagua ujenzi wa Uwanja wa ndege wa Arusha uliopo eneo la Kisongo.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda alipotembelea Uwanja wa Ndege wa Mkoa Arusha na kukagua Ujenzi huo unaondelea kutekelezwa leo Agosti 16, 2024 ameeleza chanzo cha utanuzi wa Uwanja huo.
RC Makonda amelezea kuwa itakuwa chanzo cha utanuzi kwa Uwanja huo wa ndege ni kuongeza kundi kubwa la Watalii wanaoingia nchini kupitia mkoa wa Arusha kwa uwepo wa vivutio mbalimbali vya utalii ambapo itaongeza Uchumi kwa taifa letu na kujitangaza zaidi kupitia utalii.
RC Makonda ameeleza zaidi kuwa ifikapo Septemba Mosi Uwanja kuanza kutumika kuanzia Septemba mosi, 2024 ambapo idadi ya watalii inakadiriwa kuongezeka zaidi.
Mkandarasi
Moja ya Miradi ambayo itafanyika katika uwanja huyo wa ndege ni kufunga taa za kuongozea Ndege kwa sababu uwanja wa ndege uwe kufanya kazi masaa 24.
"Tumeshapata Mkandarasi tayari na tumeshamkabidhi na sasa yupo katika hatua ya kufanya usanifu wa mfumo wenyewe".
"Lakini tatizo ambalo tunalo ni hile ardhi ya kufunga hizo taa za aproch ya kutua ndege, kwa sababu kiwanja chetu kutoka pale mwisho tuna mita 200 na lakini tunahitaji mita 500".
Soma Pia: Bananga: Jana nimeongea na Makonda sasa yupo Arusha, amemaliza likizo yake
Safi kabisa,ujue nakupenda ,Fanya tuonane unipe penzi jamaniMambo Digba..😍
Kafanye mambo mengine ,acha kutupangia kipi chakufanyahata wanaomfuatili ni wajinga zaidi
cc britannicaBadala ya kujadili mambo ya msingi tunajadili ujinga wa mtu mpumbavu
Britanicca mimi nilimbishia sana maana ilionesha source yake ilikuwa ina taarifa za kimhemko juu ya Makonda japo jambo linaweza kuwepo!cc britannica
Kakausha kama hayupoBritanicca mimi nilimbishia sana maana ilionesha source yake ilikuwa ina taarifa za kimhemko juu ya Makonda japo jambo linaweza kuwepo!
Ibada zetu zinaongozwa na yaliyomo kwenye vitabu vyetu vitakatifu. Waislam wanaswali mara 5 kwa siku na swala zao hizo ni fupifupi tu dk 5 wakati anasubiri au anashuka kwenye ndege. Wakristo huwa wanasali siku za jumapili au jmosi tu, hivyo huhitaji kuweka kanisa ndani ya airport hapo ambalo halitatumika.
Tuache viwango vya kimataifa vitumike, na tuwaache wahandisi na michoro na ramani ifanye kazi, vinginevyo hakuna siasa hapo kwenye kila kitu
View: https://www.youtube.com/watch?v=IHztQrYAF0g