Paul Makonda arejea, aibukia Uwanja wa Ndege Arusha uliopo eneo la Kisongo

Paul Makonda arejea, aibukia Uwanja wa Ndege Arusha uliopo eneo la Kisongo

Ibada zetu zinaongozwa na yaliyomo kwenye vitabu vyetu vitakatifu. Waislam wanaswali mara 5 kwa siku na swala zao hizo ni fupifupi tu dk 5 wakati anasubiri au anashuka kwenye ndege. Wakristo huwa wanasali siku za jumapili au jmosi tu, hivyo huhitaji kuweka kanisa ndani ya airport hapo ambalo halitatumika. sio kila kitu kinahitaji kubalance.

Tuache viwango vya kimataifa vitumike, na tuwaache wahandisi na michoro na ramani ifanye kazi, vinginevyo hakuna siasa hapo kwenye kila kitu
Siku zote nilidhani Waislamu wanawekewa sehemu za kuswali airport kwa sababu wanaogopa kupanda ndege kuliko Wakristo!😀
 
Ibada zetu zinaongozwa na yaliyomo kwenye vitabu vyetu vitakatifu. Waislam wanaswali mara 5 kwa siku na swala zao hizo ni fupifupi tu dk 5 wakati anasubiri au anashuka kwenye ndege. Wakristo huwa wanasali siku za jumapili au jmosi tu, hivyo huhitaji kuweka kanisa ndani ya airport hapo ambalo halitatumika. sio kila kitu kinahitaji kubalance.

Tuache viwango vya kimataifa vitumike, na tuwaache wahandisi na michoro na ramani ifanye kazi, vinginevyo hakuna siasa hapo kwenye kila kitu


View: https://www.youtube.com/watch?v=IHztQrYAF0g

Kwanza ilibidi wasiweke chochote kile cha kanisa wala msikitin ........kila mtu akifika apande ndege asepe.....
 
Ibada zetu zinaongozwa na yaliyomo kwenye vitabu vyetu vitakatifu. Waislam wanaswali mara 5 kwa siku na swala zao hizo ni fupifupi tu dk 5 wakati anasubiri au anashuka kwenye ndege. Wakristo huwa wanasali siku za jumapili au jmosi tu, hivyo huhitaji kuweka kanisa ndani ya airport hapo ambalo halitatumika. sio kila kitu kinahitaji kubalance.

Tuache viwango vya kimataifa vitumike, na tuwaache wahandisi na michoro na ramani ifanye kazi, vinginevyo hakuna siasa hapo kwenye kila kitu


View: https://www.youtube.com/watch?v=IHztQrYAF0g

Sadist! I see nothing wrong with his opinion!
Don waste your time hating everything on people you don like…. Its kills you much and becoming your illnesses
 
Sasa niombe vipi!? Hiyo ndo njia sahihi,nipe basi
Tafuta hiki kitabu
IMG_2783.png
 
Back
Top Bottom