Ibada zetu zinaongozwa na yaliyomo kwenye vitabu vyetu vitakatifu. Waislam wanaswali mara 5 kwa siku na swala zao hizo ni fupifupi tu dk 5 wakati anasubiri au anashuka kwenye ndege. Wakristo huwa wanasali siku za jumapili au jmosi tu, hivyo huhitaji kuweka kanisa ndani ya airport hapo ambalo halitatumika. sio kila kitu kinahitaji kubalance.
Tuache viwango vya kimataifa vitumike, na tuwaache wahandisi na michoro na ramani ifanye kazi, vinginevyo hakuna siasa hapo kwenye kila kitu
View: https://www.youtube.com/watch?v=IHztQrYAF0g