Wabunge wanajenga kutoka kwenye Serikali za Vyama Vyao ,Sasa hamna Serikali mnategemea nini? ππ
hujaishi nao hao watu wanamambo ya kijinga sana kuzungukazunguka na kupinga miradi kama mabarambara wanatabia ya kuifuata wakati wa kutanua ili kumwaga lami wananza kuzungukazunguka wewe fikiria mtu anaotesha mgomba mpaka karibu na nguzo ya umeme hovyo sana
Wapinzani mkubwa wachache mtasimamia vipi uwajibikaji wa Serikali wakati hamna tool hiyo ambayo inawahitaji muwe wengi Ili mpate Nguvu ya maamuzi?
Mfano Serikali ikiwa inajibu tunatafuta hela miaka inaenda mtawafanyaje?
Hiyo ndio hasara ya kuchagua upande usio sahihi ambao hauwezi kuunda Serikali
CCM inaunda Serikali na kuwasimamia Watumishi.Kwa maana nyingine. CCM ndio inayojenga barabara na CCM hiyohiyo ndio inakusanya Kodi. So Rais alisema CCM ndio wanaiba makusanyo ya Kodi atakuwa sahihi.
Lema alishindwa kuwaletea maendeleo Wana Arusha sababu ilani yake haitekelezeki ππ
Hakuna Cha kodi kuliwa na wajanja.Mkuu tofautisha Chama Cha siasa na mbunge kama status au kazi. Unapokuwa mbunge kinachoangaliwa ni status yako na sio chama unachotokea. Hivyo mbunge anahaki sawa za kutatuliwa kero za Jimbo lake. Kama nyie mnaangalia mbunge kutokana na chama chake basi ndio maana Kodi inaliwa na wajanja.
fikiria eneo kama manispa ya USA hakuna huduma ya maji ya kulipia unafikiri kwa nini?Ok mkuu nimeelewa
Kwani maendeleo ni swala la siku Moja au miaka 60?
Ndio ,ilani ya Lema ni ya Chadema au Huwa unamuona na ilani ya CCM?Unachekesha Sana kama sio kusikitisha. Kwa hivyo Lema alikuwa na Ilani yake?. Aiseeh.
Hiyo miaka 10 hakuna alichofanya ,ilikuwa ni kurudi nyumaSasa kwanini unamlaumu Sugu aliyehudumu kwa miaka 10 pekee.
CCM inaunda Serikali na kuwasimamia Watumishi.
Kwa nini isifanye hivyo? Kwani ikoje hata Sasa? Serikali ni ya chama na chama kikiona Serikali haifanyi sawa kinatoa Maelekezo wakibisha kinawatimua kwenye chama unapoteza nafasi ya kiserikaliCCM iunde serikali halafu bado iisimamie hapo unadanganya.
Nilifikiri mimi peke yangu nimeona hiloNimeona kuna baadhi walikuwa wanapiga makofi. Inafikirisha sana!
Hakuna Cha kodi kuliwa na wajanja.
Hiyo hiyo status ya Mbunge ndio Ina play part.
Haiwezekani unadi sera X harafu mtekelezaji awe wa Chama Y,hakuna kitu kama hicho.
Ndio maana Sasa Serikali itakayoshinda itatatua Yale ambayo mgombea wake alikuwa anayanadi na Yale ya Mpinzani tutaacha Kwa sababu hayako kwenye ilani,tukifanya ujue ni bonus tuu ππ
Siasa za kijinga, eti kupata maendeleo lazima ujipendekeze kwa kiongozi aliyeko ikulu. Huko vijijini ambako huwa wanashuritishwa kuichugua ccm mbona ndio wanaongoza kwa umasikini?Ujinga huo huo ndio ulitokea Kwa Sugu akiwa Mbeya.Hatutaki tena saizi tunatamba naTulia na SSH ππ
Hoja ni maendeleo ya kiserikali sio maendeleo binafsi au hisia zako binafsi.Kwamba ili upate maendeleo lazima ushabikie na uwe mwanachama wa CCM
Kwamba ili uwe na amani uishi kama wanadamu wengine lazima uwe mwanachama wa CCM
Kuna makosa mengi ya kikauli kwa hawa viongozi wa CCM wanaongea wakidhani wanampaisha RAIS kumbe
kauli zao zinatengeneza shimo,sasa hii kauli na ile ya yule aliesema kura walizipiga,jumlisha na yule waziri wa habari alotumbuka, zinatofaut gani?
ifike hatua ccm viongozi wake wawekewe watu wakuwaandalia speech eneo lolote la public,alieweza kuongea point bila kusoma hii nchi ni NYERERE tu na JPM wengine wote waandikiwe isha wasome wakariri ndio wakaongeeee.
Hiyo miaka 10 hakuna alichofanya ,ilikuwa ni kurudi nyuma
Sio kujipendekeza Bali lazima uwe kwenye chama husika vinginevyo utapata tabu sana kama sio Kutengwa kabisaSiasa za kijinga, eti kupata maendeleo lazima ujipendekeze kwa kiongozi aliyeko ikulu. Huko vijijini ambako huwa wanashuritishwa kuichugua ccm mbona ndio wanaongoza kwa umasikini?
Ndio ,ilani ya Lema ni ya Chadema au Huwa unamuona na ilani ya CCM?
Saizi Mbunge ni Gambo ,ilani ya CCM inatekelezeka.
Wachague tena Chadema waone ππ