Pre GE2025 Paul Makonda: Arusha hawakupata barabara kwa muda mrefu kwa sababu waliendekeza majungu, ushirikina na siasa uchwara!

Pre GE2025 Paul Makonda: Arusha hawakupata barabara kwa muda mrefu kwa sababu waliendekeza majungu, ushirikina na siasa uchwara!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wanao muita zezeta muda mwingine wako sahihi kabisa anajiimbisha hizo taraabu alafu anajisahaulisha ni wao ccm mara zote wamekua wakisema hawawezi kupeleka maendeleo sehemu ambazo zilichagua wapinzani kwakua wao ndio wenye mamlaka, wanacho waza wao ni chama sio wananchi
 
Acha uchawa na upumbavu. Unaifahamu Ar vizuri?? Makao Mapya, Kaloleni, Unga Ltd Mwanama relini hayo ni mifano michache wakati wa Mh Lema.

Hapo anaongea na watu wazima wanaelewa malengo yake ni yepi na yuko Ar kwa kazi gani. Yeye ndiye mwenye majungu na siku zote mchawi ndiye wakwanza kufika msibani.
Tuletee clip inayoonyesha Lema akionyeshe mkakati ya ujenzi wa barabara maenro husika?
 
Lema alikuwaga mbunge kwa miaka kumi kumbe hakuweza piga debe kuhusu barabara za hili jiji letu namba mbili hapa nchini?🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
Lema ndiye alikuwa mwenyekiti wa bodi ya barabara/road fund?Na yule aliyesema wakichaguliwa wapinzani hapeleki maendeleo ulimzika na ujinga wake?
 
Ujinga ni mzigo jamani. Eti huyo naye kiongozi.
Mnachukua Kodi mnakula mnasingizia vitu non sense.
Je wapi huko pasipo na majungu penye bara bara nzuri Tanzania hii?
Mbona Kila mahali panafanana?
Tunahitaji mabadiliko makubwa sana kama tunataka kuendelea.
Tukiendelea na Hawa watu tusahau kupiga hatua.
 
Huyu mjinga hajui kuwa barabara bora ni haki ya kila mwananchi.

Si zawadi kwa anayejipendekeza kwa viongozi.

Mwaka 2015 Mahakama Kuu ya Bombay India ilitoa hukumu kwamba barabara nzuri zisizo na mashimo ni haki ya uraia kwa kila mtu.

Mwanzoni mwa karne ya 20 Marekani kulikuwa na "The Good Roads Initiative" iliyotaka kuunganisha sehemu zote za vijijini kwa barabara nzuri.

Yani Makonda bado hajafika wenzetu walipokuwa miaka 100 iliyopita.

Hizi kauli za Makonda ni za mtu ambaye hajaelimika, analimbuka bado.
😄

Ova
 
Acha uchizi Mangi ,alipokuwa anaomba kura za ubunge aliahidi wanchi kitu gani ?kama sio kazi ya mmbunge kuwakilisha wanachi bungeni kwa niaba unadhani kazi ya ubunge ninkwenda kunywa chai ehe?

Umeelewa swali langu?. Mbunge asipoifatilia serikali kuhusu kujenga barabara serikali nayo haijengi hiyo barabara? Nani wa kulaumiwa hapo? Maana unadai Lema hakufuatilia ujenzi wa barabara, ndio nikauliza mbunge akipiga kimya serikali haifanyi chochote?
 
Ujinga ni mzigo jamani. Eti huyo naye kiongozi.
Mnachukua Kodi mnakula mnasingizia vitu non sense.
Je wapi huko pasipo na majungu penye bara bara nzuri Tanzania hii?
Mbona Kila mahali panafanana?
Tunahitaji mabadiliko makubwa sana kama tunataka kuendelea.
Tukiendelea na Hawa watu tusahau kupiga hatua.
Dodoma hakuna jimbo hata moja la upinzani ila kuna miundombinu mibovu kupita maelezo same kwa ruvuma, lindi, na mikoa mingi
 
Kumbe shida ni chama?. Halafu mama yenu analia Kodi inaishia kwenye mifuko ya wajanja. Si aseme Kodi walipe CCM pekee yao. Punguzeni unafiki na ubaguzi kwenye mambo ya kitaifa.
Chama kinachoshika Dola ndio kinawapa utaratibu maana ndio kimepewa ridhaa so utake au usitake kutafuta huo utaratibu.

Wale waliochagua ambao hawawezi kuwaletea maendeleo imekula kwao.

Huwezi chagua Wapinzani wakati ukijua hawataunda Serikali ya kukuletea maendeleo utakuwa taahira
 
Back
Top Bottom