Enzi na Enzi
JF-Expert Member
- May 29, 2020
- 888
- 821
dadi iz kamin
Aliyoyafanya makonda hadi kufikia dar es salaam ikawa ilivyo sasa czani km hastaili kuwa mshindi ktk mchakato huu.
Ndugulile kipindi cha covid-19 alitaka tufe km siyo ujasiri wa Mh Rais
Najua ndugulile kawateka wajumbe wengi kiushabiki.
Ila busala za wilaya na mkoa na taifa kwa ujumla ndio zitatoa mstakabari mzima.