wapindue tuhamie chadema tumgalagaze tenaAnawahadaa huyu zero, kama hamujui basi mujue kuwa ndie mmbunge wa Kigamboni, hamutaamin baba atakavyopindua meza, ametoka nae mbali sana na dirty game zao wanajuana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wapindue tuhamie chadema tumgalagaze tenaAnawahadaa huyu zero, kama hamujui basi mujue kuwa ndie mmbunge wa Kigamboni, hamutaamin baba atakavyopindua meza, ametoka nae mbali sana na dirty game zao wanajuana
Siku hizi kuna zile BEFORE and AFTER, ungeweka hiyo kitu kwa vichache vilivyofanikishwa na muishimiwa huyo kama juhudi binafsi, namaanisha ukiondoa unaibu aliokuwa nao ili angalau kule kwenye sijui mkoa na kamati kubwa tusifanye makosa ya kumkata mpiga kazi.Aliyoyafanya makonda hadi kufikia dar es salaam ikawa ilivyo sasa czani km hastaili kuwa mshindi ktk mchakato huu.
Ndugulile kipindi cha covid-19 alitaka tufe km cyo ujasiri wa mh rais
Najua ndugulile kawateka wajumbe wengi kiushabiki.
Ila busala za wilaya na mkoa na taifa kwa ujumla ndio zitatoa mstakabari mzima.
Haibaidilishi matokeo ya jana. He will always be a loser, asubiri kubebwa na baba yake.Sahau, atapewa hata kazi nzuri kuliko ubunge! Huyu ni wa kufa na kuzikana!
Hapafai yaani...!Kigamboni pabaya Sana, wameuangusha ule muhimili wa kutunga sheria za Dar es salaam
We naona unamtafuta Bashite wewee..
Naona mmeanza kumsaliti.Ujinga mtupu ukivuliwa nguo chutama!
Yaaani yeye awe Mungu cheo kikubwa hivyo wakati baba yake ana cheo cha Yesu tuYeyey si ni Mungu wa DSM sasa mapenzi ya Mungu yupi? madaraka yasisababishw tuajisahau
PM lazima awe Mbunge mwenye JimboAkiwa PM au waziri wa mambo ya ndani?
Seems like moyo umeumia sana.Kiuhalisia wanakigamboni wangepata matunda mengi Kama wangemchagua makonda kuliko ndugulile, kwakuwa Ni mfatiliaji mzuri na annaconnection kubwa na vigogo, japokuwa anamapungufu mengi Ila bado Ni mchapa kazi.
Pia Kura hizi rushwa huwa zinatembea Sana, Kama huko mollel alianza kuwapa rushwa wajumbe kitambo Sana kabla hata ya mchakato.
Hilo linawezekana lakini, kwenye kupigiwa kura ameshindwa, awe wa kutegemea teuzi!!! Wakati kwa mbwembwe alizofanya akiwa RC, alijua kuwa huko atapita ki ulaiiini!!Sahau, atapewa hata kazi nzuri kuliko ubunge! Huyu ni wa kufa na kuzikana!
Kwani zile nafasi 10 za baba za uteuzi zitaathiliwa na Kura za maoni alizozipata usiyempendakushiriki mchakato kura za maoni kunajenga CV na kuonesha wakubwa uko fit na huogopi mikuki!! manake siasa zetu ni za majitaka chafua nikuchafue nani hana skendo??! nani msafi?
Ikumbukwe kuwa Bashite jumba bovu limemuangukia kwa ujeuri na ufedhuli wake wa kudharau position kubwa aliyopewa na Mungu kupitia Mr Mubashara wekeni kira kitu raiv bira chenga!! Nao Mzee kijana Slow times two na Katibu mkuu waliapa kunyoosha kina Bashite na Mnyeti walioasi!! tusubiri!..
yap na funzo kapata pia hata akiwa pm ila cha moto kakionaHilo linawezekana lakini, kwenye kupigiwa kura ameshindwa, awe wa kutegemea teuzi!!! Wakati kwa mbwembwe alizofanya akiwa RC, alijua kuwa huko atapita ki ulaiiini!!
Koromije panamhusuUSA haendi DODOMA haendi na DAR pamoto.
Umenena, maneno meeengi hayasaidii zaidi ya kuzidi kukuumbua. Kama Kigamboni wangekuona sehemu ya maisha yao wangekutema?Ujinga mtupu ukivuliwa nguo chutama!