Mheikungu
JF-Expert Member
- Oct 15, 2018
- 215
- 451
kalale mzee. hakuna marefu yasiyokuwa na ncha. wakati sisi tunalalia mihogo wewe ulitamba hadharani kuwa hakuna mtu anayeenjoy duniani kama wewe. sasa mbona unalialia?Paul Makonda amesema haya....
“Nimepata pole nyingi sana kutokana na matokeo ya jana, kwanza nawashukuru kwa upendo wenu na maombi yenu ya kunitakia mafanikio katika kutimiza NDOTO yangu”...