Enzi na Enzi
JF-Expert Member
- May 29, 2020
- 888
- 821
dadi iz kamin
Aliyoyafanya makonda hadi kufikia Dar es Salaam ikawa ilivyo sasa czani km hastaili kuwa mshindi ktk mchakato huu.
Ndugulile kipindi cha covid-19 alitaka tufe kama sio ujasiri wa Mh Rais
Najua ndugulile kawateka wajumbe wengi kiushabiki.
Ila busala za wilaya na mkoa na taifa kwa ujumla ndio zitatoa mstakabari mzima.
Itabidi arudi mkoani maana hana kazi hapa DarUSA haendi DODOMA haendi na DAR pamoto.
Hizo connection ni za kinafiki, walimpenda akiwa kwenye kiti sahivi hana kiti nani atamuangalia, wanadamu umewasahau ehhAna kila kitu I think. Most important connection.
Hahahaha, umenichekesha.Adui yako muombee kura za maoni
Arudi kwao Koromije.USA haendi DODOMA haendi na DAR pamoto.
Iwe iwavyo anatakiwa ajue kwamba kwenye macho ya jamii taswira yake ni mbaya..Sahau,atapewa hata kazi nzuri kuliko ubunge! Huyu ni wa kufa na kuzikana!
Kiuhalisia wanakigamboni wangepata matunda mengi Kama wangemchagua makonda kuliko ndugulile, kwakuwa Ni mfatiliaji mzuri na annaconnection kubwa na vigogo, japokuwa anamapungufu mengi Ila bado Ni mchapa kazi.
Pia Kura hizi rushwa huwa zinatembea Sana, Kama huko mollel alianza kuwapa rushwa wajumbe kitambo Sana kabla hata ya mchakato.
Mimi pia siamini wanasiasa nisivyowaamini wanaume.Sijui lini nitakuja kuwaamini wanasiasa... ahahaa
Siwaamini Kama nisvyowaamini wanawake