kalale mzee. hakuna marefu yasiyokuwa na ncha. wakati sisi tunalalia mihogo wewe ulitamba hadharani kuwa hakuna mtu anayeenjoy duniani kama wewe. sasa mbona unalialia?Paul Makonda amesema haya....
“Nimepata pole nyingi sana kutokana na matokeo ya jana, kwanza nawashukuru kwa upendo wenu na maombi yenu ya kunitakia mafanikio katika kutimiza NDOTO yangu”...
Hilo vazi alivaa Zuchu dayAlichovaa!!!! anatoa message nyingine, iliyo kama viiiitaaaaa
kazi gani nyngne wakati tu anasifa ya kuwa mchungaji wa ngombeSahau, atapewa hata kazi nzuri kuliko ubunge! Huyu ni wa kufa na kuzikana!
kila kitu utasikia niombeeni sijui kwann wako hivoJana usiku wa manane nimeota kuwa huwa kuna muuaji fulani ambae huwa anapenda sana kumtaja taja Mungu!
All over look may beKwanza nimpe pole Makonda kwa matokeo ya jana!
But I’m confused, “Asanteni....na kunipa nafasi niwe sehemu ya Maisha yenu”. Is he in denial?
Yaan kwamba 'baba 'ake' anawapongeza wana Kigamboni kwa kumrahisishia kazi ya kumtumbua ex boss wa Dar?How mkuu? Mie leo nashangweka tu hapa
View attachment 1512682
Hiyo pua ina adjust ya ukweli
Dar haihitaji watu wasio na kazi zinazotambulika. Makonda ahojiwe na Mambosasa anafanya kazi gani Dar, sawa kama walivyoulizwa wabunge wa CHADEMA.Itabidi arudi mkoani maana hana kazi hapa Dar
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtamuua kwa pressure Bashite wa watu.Dar haihitaji watu wasio na kazi zinazotambulika. Makonda ahojiwe na Mambosasa anafanya kazi gani Dar, sawa kama walivyoulizwa wabunge wa CHADEMA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawezi kuwa PM hakuna PM wa kuteuliwa lazima ugombee ushinde kwa kura. Makonda ana hasara.yap na funzo kapata pia hata akiwa pm ila cha moto kakiona
Apewe ubalozi North Korea. CCM oyee.Ameacha U RC Dar ili aingie Bungeni halafu amekosa vyote.
Subiri tuone Baba J atampachika wapi.
You cant be serious.Aliyoyafanya makonda hadi kufikia dar es salaam ikawa ilivyo sasa czani km hastaili kuwa mshindi ktk mchakato huu.
Ndugulile kipindi cha covid-19 alitaka tufe km siyo ujasiri wa Mh Rais...
Haijalishi ujumbe umefika HAPENDWI NA WATANZANIA PERIOD!Sahau, atapewa hata kazi nzuri kuliko ubunge! Huyu ni wa kufa na kuzikana!
Hapa hapa Bongo Ila bushi.Apewe ubalozi North Korea. CCM oyee.