Paul Makonda ashindwa kufika Mahakamani katika kesi inayomkabili. Kesi yaahirishwa hadi 08 Feb 2022

Huyu pumbafu nae acheze yope Segerea nitafurahi sana.Na iwe funzo kwa vijana mkipewa madaraka msiojione mmekuwa ma VAN DAMME kwenye hivyo viti.Zipo pumbafu zingine kama ALI HAPI ,KENNED KIONGOSI ni vijana ambao walipewa fursa ya kuonesha ni namna gani wanaweza tengeneza Profile zao za uongozi wao wakajiona makomando Yosso.JPM ndo mpishi wa haya mavijana ya hovyo.
 
🤣🤣🤣Kakimbia nchi??
 
sinema kama sinema nyingine....kuna mahala ni muajiriwa..wakaulizwe mabosi wake..
 
sinema kama sinema nyingine....kuna mahala ni muajiriwa..wakaulizwe mabosi wake..
Kwa sabaya mlisema hivyo hivyo. Hii kesi hata isipomfunga zitakuja nyingine nyingi huko mbeleni tena atakuwa kashasahau
 
Aliyewapika hivyo sio Jpm ni chama chenyewe. Jpm tusimwonee kila kitu
 
Hofu aliyonayo ni Kubwa baada ya kuona mfano halisi kwa Counterpart wake 7ya.
 
Aliwahi kuwaambia wanaume wa Dar wote atawapima Tezi dume.Walilia Sana aisee
 
Tusimsingizie Jpm mbona wakati anampiga mtama Mzee Warioba Jpm alikuwa mbali
Ukweli CCM ndiyo mbaya wetu waTanganyika
 
Aliyewapika hivyo sio Jpm ni chama chenyewe. Jpm tusimwonee kila kitu
Mtiririko wa kupika mavijana ya Hovyo unaanzia na kijana mwenyewe kwa kupokea mapokeo ya kuchekewa chekewa na wakuu zao JPM hakwepi hii lawama maana alikuwa anajiita kiingozi kichaa so wale walikuwa watoto wa baba yao kichaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…