Paul Makonda ateuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi

Mleteni na Saa Baya!!!
 
Makonda hakuwahi kufanya kazi ccm , huyu amezoea mabavu ya kutumia dola kwenye vyeo serikalini .
Pitia tena kumbukumbu zako, Makonda ametokea UVCCM. Ila nafikiri UVCCM ya kipindi fulani haikupika watu vizuri.
 
Tusigombane na MA X zetu pindi tukiachana uwezi jua atakuja kua nani.
Kazi ni kipimo cha utu
 
Nice and interesting move. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji1531][emoji1531]
 

[emoji120][emoji120]
 
"Siasa ni ngumu kuliko Fikizia" 😁
Naamini Paul amejirekebisha na amekua. He's a good guy off course.
 
Hatimaye mama Abdul asalimu amri kwa Sukuma Gang,siku si nyingi Luhaga Mpina ndani ya cabinet.
 
Hongera kwake.
Benchi aliyosugua bika shaka ameshajifunza mengi.

Ila hana buni kuomba msamaha kwa wote aliyowaumiza...Kaumiza na Kujeruhi wengi.
 
Aidha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, imefanya mabadiliko madogo ya Sekreterieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kwa kumteua Ndugu Paul Makonda kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa,
Kazi ya ukatibu si inahusu uandishi, sasa huyu ndugu tunaambiwa hana elimu atatuandikia nini kwenye chama chetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…