Paul Makonda ateuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi




Your browser is not able to display this video.

Mama amelipa fadhila kumbe.
 
Na taarifa za chini chini ndani ya Chama ( CCM ) zinasema Uteuzi wa Paul Makonda umewakwaza wengi na huenda Mtu akaja Kuhujumiwa mazima kuelekea 2025.

Kazi ipo.....!!
 
Itakuwaje? Nauliza!

Kumbe ndiyo maana Wahenga walisema tuwe na akiba ya maneno! Usiongee yote!

Hakuna hakimu mzuri au mbaya Kama muda!
 
Bloomberg wamenena hii sisi tuko busy na katibu mwenezi mpya
 
Chadema walivoona taarifa Jamaa amerudi kazini tena nafasi nyeti wakapaniki Tunduma, nakuanza fujo!
 
Chadema walivoona taarifa Jamaa amerudi kazini tena nafasi nyeti wakapaniki Tunduma, nakuanza fujo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…