Paul Makonda ateuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi

Paul Makonda ateuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi

Ni muda sasa wa wasanii kuonyesha unafiki wao. Wataanza kumpost na wengine kumwita Dady. Mwendazake Lemutuz angekuwa hai sijui ingekuwaje.. angeendelea kumuita Le Commandant? Natumaini safari hii Makonda hatafanya upuuzi tena aliofanya akiwa RC. Huyu jamaa alikuwa mtu safi sana wakati akiwa DC Kinondoni ila ukuu wa mkoa ulimpumbaza. Kwa hali ya hewa ya kisiasa CCM imefanya uamuzi sahihi kwasababu hadi hapo tayari genge la Sukuma limekufa rasmi. 2025 Mama ana uhakika wa kura toka kwenye kila kundi la watanzania wakiwemo BAWACHA, Sukuma gang, Bodaboda na wafuasi wengi wa Mbowe.
 
Usimkatie mtu tamaa, viva Makonda viva. [emoji123]
1697971528394.jpg
 
Back
Top Bottom