Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Mungu atusamehe, huyu mchungaji aliye muombea mabaya Makonda hivi atabaki salama kweli? make alipanda uovu!
 
Ukitaka kumuudhi muamerika wewe ingilia haki za masuala ya LGBT. Muamerika atakurarua kama simba! Ukitaka awe rafiki yako ongelea raha za kuwa:
L = Lesbian = wanawake kusagana wenyewe kwa wenyewe.
G = Gay = wanaume kuchomekeana wenyewe kwa wenyewe.
B = Bisexual = wasagaji (L) kufanyana na wachomekeanaji (G).
T = Transgender = kubadli jinsia ya Me kuwa ya Ke au ya Ke kuwa ya Me mahospitalini.

Makonda alifanya makosa makubwa sana kwenye hayo masuala. Akienda USA hao ma LGBT watamumaliza. Hivyo ban hiyo ni kwa usalama wake.
Hivi unafahamu kuwa hapo kwenye "G" naye ni muhusika?
Kama huelewi uliza ueleweshwe.
 
Umenikumbusha mbali sana, makonda alikuwa akituma polisi wawakamate vijana ambao walionekana kuzunguka mjini (kwa kukosa kazi kwao) muda mwingi wanakuwa idle. aliwaita wazururaji, sasa ni wakati muafaka na yeye aone kama ni vizuri kuitwa mzururaji
Akamatwe Kwa mawili
1. Uzururaji Hana KAZI mjini hapa
2. Tuhuma za UGAIDI anazoshutumiwa na marekani
 
Hapo kuna hitilafu. Hizi ni habari za zamani. Zilichelewa wapi? Kwa nini tunazipata leo.
Hizo ni habari mbaya( kwa Makonda) kwa sababu Pompeo alikuwa DG wa CIA kabla ya kuhamia Department of State.
 
Kiukweli hawa mabeberu Wamarekani ni washenzi sana!, Wanamuonea bure Makonda tena kwasababu safari za Makonda US ni safari binafsi za yale mambo ya kifamilia, kumzuia Makonda kuingia US ni ukiukwaji wa haki ya msingi ya binaadamu.

Wito kwa Rais Magufuli, toa waraka hakuna kiongozi yoyote wa serikali yako ataomba Visa kuingia US, wanataka kutudhalilisha tuu, kwani Marekani ndio nini?. Twende China!.

To hell with America!. Let's say no to American with their filthy blood stained, stinking money except " kwa msaada wa watu wa Marekani" zikiwemo ARV.
P
Jamaa ulikuwa unajitoa ufahamu [emoji1]
 
asingelia alivyonyimwa visa tarehe 20 december FYI KABLA alishaendaga huko akala bata akaturingishia na mapicha na kuna nyingine hii hapa,MABEBERU YANANIFURAHISHA SANA JINSI YANAVYOWALA VIBOGA MATAGA ,NA BADO TUKO PAMOJA NA MABEBERU HADI MWISHO WA MCHEZO
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Haka kajamaa kanatisha sana, mjitaifa mkubwa km huo unamuongelea mwana kijiji wa Kolomije? hili taifa size yake Urusi, Iran, Ningekuwa mimi Makonda ningejidai sana, tena ningewalipizia nampiga mkwara huyo aliyetamka huo mkwala " kuwa na yeye asikanyage mkoa wangu wa Dar es salaam"

Sasa hivi hata kutoka nje ya dar anaogopa.
 
Back
Top Bottom