Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Nimeona taarifa kwamba mkuu wetu wa mkoa ni kinara wa kukiuka haki za binadamu

Je C.I.A wamemchimba vya kutosha na wakawasilisha faili lake kwa Trump ? Kwa nini kama kweli wana ushahidi wasimpeleke ICC? Kama wao ni wanaume,tukutane ICC au watoe hati ya kumkamata

Na kama kuna mtu mnamtafuta ila mmeanzia mbali,mseme
 
Mbona mnapiga mayowe kunyimwa msaada wa elimu toka WB.?

Unawajua wachina wewe? Unadhani wanakopesha kama wapo vikoba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa mabeberu waache kuingilia mambo yetu ya ndani, watuachie uhuru wetu.. Wao nani anawaingilie kwenye mambo yao..

USA hatuendi sio lazima, zipo nchi nyingi za kwenda zenye amani kuliko huko USA wanakouana kila siku..
Marekani siyo kwa kwenda, kuna wabwia Sembe wa kutosha
 
Safari moja huanzisha nyingine
Hawa mabeberu waache kuingilia mambo yetu ya ndani, watuachie uhuru wetu.. Wao nani anawaingilie kwenye mambo yao..

USA hatuendi sio lazima, zipo nchi nyingi za kwenda zenye amani kuliko huko USA wanakouana kila siku..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikio la kufa halisikii dawa! Hawa watu hawajui madhara ya kauli zao. Hakyanani nikiona hawa mapunguani wanaendeleza maujinga yao nauza nyumba ya urithi natafuta nchi ya kuhamia Afrika mashariki hata Kenya. Marekani wakikuamulia hauwezi baki salama..na hawa jamaa hawajui diplomasia kabisa.
 
tulia dawa ikuingie mwana Lumumba ,. Nahene
 
The message to the government is awesome. Hiyo ni kama sms. Yajayo.....
 
Natamani nihame Afrika niende zangu N.korea kwa Kim. maana Mia Afrika imejaa unafiki na majungu tu. Hii hii miafirika ndo ilimuua Muafrika mwenzao Gaddafi ili kuwafurahisha washenzi weupe. Leo hii walichoaminishwa watakipata hawajakipata na Wala hawana matumaini ya kukipata zaidi ya majuto tu.

Dhambi ya unafiki itaendelea kuwatafuna waafrika wengi Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…