Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Kenya tu hapo kuna maafisa kibao wamezuiwa kuingia marekani na wanaendelea kula maisha ndani ya Kenya,
Marekani siyo mbinguni kwamba usipoenda unakufa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Fikiria mbali zaidi usiwe mjinga Tanzania ilikua ni alama ya AMANI YA DUNIA Nyerere aliheshimika na Dunia kwa ujunzi wa Amani usawa na haki ya kujieleza nyinyi washamba toka Koromije mmekuja ichafua heshima ya Nchi hii ukisema Kenya kunaviongozi wamepigwa ban na wanaendelea kuvuruga huo ni ufhibitisho wa DIVISION ZÉRO mnazomiliki WAKOROMIJEE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes nilisha wahi kwenda USA, si ni pale baada ya Ngulelo, Tengeru, then USA, baada ya hapo ni Maji ya Chai, then KIA.

Marekani kama nchi, sijawahi kufika, ila nimevaa sana material zao na kitamba cha Marekani.
P

Acha utani Mayalla watu wameumizwa. Makonda kaumiza wasio na hatia na yeye bila kuchukuliwa hatua zozote.
 
Pasco nani aende China akaliwe na corona virus,
 
Taifa la marekani huwa naliona Kama Taifa la kishetani tu hapa duniani. Kwani Nani kawambia makonda ana uhitaji kwa kwenda kwenye nchi yao. Shenzi kabisa Serikali ya Trump wote Ni wahuni Hamna kiongozi wa maana[emoji35][emoji35]
Kwahiyo Bashite ndio kiongozi wa maana

Hahaha...huyo ndio Shetani Muuaji wa watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HIII N HAMIDA MWANAUKOME DAH
SHIKAMOO USA
 
KUPATA VICHEKESHO KAMA HIVI ANDIKA NENO "" POROJO" KWENDA NAMBA 155668
 
Majibu unayo wewe mwenyewe.Usiulize maswali ambayo majibu tayari unayo,Kufanya hivyo madhara yake unayafahamu.

Yanayazungumzwa humu unayajua?
 
Ukweli nimefarijika sana. Ukiristu unatufundisha upendo na kuvumiliana, mshenzi huyu huwa namuangalia anavyojipendekeza kwa viongozi wa dini kuficha maovu yake mwisho Marekani imemuanika peupeeee.
Mie naiomba Marekani iende mbali zaidi kama ilivyotumia ile Drones pale Iraki kwa Kassimu Suleiman watu dizaini ya Makonda. Na ninavyowapenda Marekani soon utasikia Uingereza,Ufaransa,Ujerumani na shoga yao Muisrael nae wanampa ban Bashite kukanyaga huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…