Breki ya Kenge
JF-Expert Member
- Jul 14, 2019
- 715
- 1,004
Chonde! Chonde! Mwenye nguvu mpisheKama wamarekani wamepiga marufuku viongozi wetu kwenda kwao na sisi tupige marufuku viongozi wao wasije Tanzania, hakuna namna
Ongeza sautiiKama wamarekani wamepiga marufuku viongozi wetu kwenda kwao na sisi tupige marufuku viongozi wao wasije Tanzania, hakuna namna
Kama wamarekani wamepiga marufuku viongozi wetu kwenda kwao na sisi tupige marufuku viongozi wao wasije Tanzania, hakuna namna
Kwanini hawakuweka wazi huo ushahidi, Kama zuio wameweka wazi tumeona huo ushahidi kinashindikana nini?Wamekwambia wana ushahidi wa jinsi alivyoshiriki kudhulumu uhaii wa watu mkuu,je unadhani wanasema porojo kama wanasiasa wa chadema?
Sent using Jamii Forums mobile app
Njaa haina baunsa 😂😂😂Tazania ni broken ass country! Lazima tuendelee kuwapigia magoti, chezea njaa wewe!
Kwa kweli huwezi kumjua mtu mpaka aongee.Kama wamarekani wamepiga marufuku viongozi wetu kwenda kwao na sisi tupige marufuku viongozi wao wasije Tanzania, hakuna namna
Mtoa mada ana masiharaWatalii hawatakuja. Baadae dola moja inaweza kuwa sawa na 238971 tshs
$1=tsh238971
Halafu huyo mwanae mbona anataka kufanana na Pombe?View attachment 1342759View attachment 1342761
Charles ble Goude zama za ubabe wake chini ya Raisi mbabe Laurent Bagbo
View attachment 1342764
Raisi mbabe Laurent Bagbo na Kijana wake Charles ble Goude wakiwa kizimbani ICJ kujibu mashtaka ya mauwaji Nchi Ivory coast
Picha hii inajirudia katika taifa hili la pwani ya Afrika mashariki.yaani hapahapa nyumbani
Huo ni uonevu dhidi ya kijana wetu mpendwa. Hatuwezi kukubaliAsante mabeberu kilio chetu mmekisikia.
BROKE A$$ SIO BROKEN A$$Tazania ni broken ass country! Lazima tuendelee kuwapigia magoti, chezea njaa wewe!