Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Kama wamarekani wamepiga marufuku viongozi wetu kwenda kwao na sisi tupige marufuku viongozi wao wasije Tanzania, hakuna namna
Ongeza sautii
loud.jpeg


Jr[emoji769]
 
Hao US hawamjui vizuri makonda..mtu aliyeweza kuileta meli ya kijeshi ya china hapa tanzania.ngoja waone atakavyowashukia kama mwewe wamarekani waishio daslama
 
Kama wamarekani wamepiga marufuku viongozi wetu kwenda kwao na sisi tupige marufuku viongozi wao wasije Tanzania, hakuna namna
Kwa kweli huwezi kumjua mtu mpaka aongee.
Wewe umeandika nini rafiki yangu??

Hivi ulifikiri kabla ya kuandika ama ulikurupuka na kujiandikia tu??

CCM wanaonekana watu wa ajabu kwa maneno ya kipuuzi kama haya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Gross violation of human rights", hapa watupe ufafanuzi
Lissu,Saa8,Azzory et al zinahusika?
 
Naunga mkono hoja, Tuanze kwanza kupiga ban yule Pompeo, Trump, Congress na Seneti wote na mwisho kabisa ifuate marufuku ya wananchi wote wa USA.
Tuwavue uraia na vibaraka wao wote pia.

Sisi Taifa huru wasitutishe.
 
Back
Top Bottom