Mabeberu hayo.Ukoloni mamboleo bado unaendelea daaaaaa tutaendelea kukomaa tu bongo tz pazur mbona Kaka kubwa kaweza waache kutu nyanyasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunakushukuru sana mkuuatakua anatumwa na yuko na kikundi cha wasiojulikana nyuma ya lile jiwe la pembeni!
😆😆😆😆Alishirikiana na wewe kibaraka wa mabeberu. Si kila Siku huwa unawaombea!
kuuliza si ujinga .Usihusishe Majeshi yetu na ujinga wa wakina magufuli na makonda majeshi yetu yatabaki kuwa yetu wao wanapita tu ujinga waliofanya wawajibike wao kama wao majeshi utii kiapo cha amri tu.
Mungu wabariki MabeberuAlishirikiana na wewe kibaraka wa mabeberu. Si kila Siku huwa unawaombea!
Naona leo upo zamu ya usiku kumtetea BashiteHopeless unaweza ukamtofautisha Rais na Majeshi yetu? Unajua Amri Jeshi Mkuu ni nani hapa TZ??
Alishirikiana na wewe kibaraka wa mabeberu. Si kila Siku huwa unawaombea!
mtoto wa nyoka ni nyoka hivyo anafanya yote kwa mfano au msaada wa baba akeNi dhahiri kwamba Makonda binafsi hana uwezo wowote wa kufanya chochote kwa mtu yeyote , body structure yake haionyeshi uwezo wowote wa mwili wake kupambana na yeyote , ni mtu wa kawaida sana , hana ubavu wa kutenda uhalifu aliotajwa kuhusika nao wa kudidimiza demokrasia ama labda kuzima uhai wa yeyote .
Sasa napenda kujua , Je alipokuwa anatekeleza unyama wake huu alishirikiana na akina nani , ni kikundi chake cha kihalifu ama ni idara ya serikali , kwa maana ya Polisi , Tiss ama JW ?
Natanguliza shukrani
Kwani wale aliovamia nao Clouds walikuwa kina nani?maana walikuwa na machine nzito!Ni dhahiri kwamba Makonda binafsi hana uwezo wowote wa kufanya chochote kwa mtu yeyote , body structure yake haionyeshi uwezo wowote wa mwili wake kupambana na yeyote , ni mtu wa kawaida sana , hana ubavu wa kutenda uhalifu aliotajwa kuhusika nao wa kudidimiza demokrasia ama labda kuzima uhai wa yeyote .
Sasa napenda kujua , Je alipokuwa anatekeleza unyama wake huu alishirikiana na akina nani , ni kikundi chake cha kihalifu ama ni idara ya serikali , kwa maana ya Polisi , Tiss ama JW ?
Natanguliza shukrani
Hawezi kuumia sana maana kipindi hicho atakuwa gerezani guantanamoBashite ana wakati mgumu Sana baada ya Jiwe kumaliza muda wake
Unacheka kama zezeta! Vibaraka ndiyo walivyo walikuwepo hata Iraq na Libya wakifikiri wamarekani ni rafiki zao sasa hao hao wanaitwa na Trump kuwa ni Magaidi na kwamba walifanya makosa sana kuwaondoa Saddam na Gadaffi sasa hao vibaraka wanatafutwa na drones!
Hopeless unaweza ukamtofautisha Rais na Majeshi yetu? Unajua Amri Jeshi Mkuu ni nani hapa TZ??